CHADEMA Ruvuma kimenuka

CHADEMA Ruvuma kimenuka

Status
Not open for further replies.
we unaetaka sosi bwe..ge nini!. Mi nakupa kitu toka jikoni. Na sos ni mimi mwenyewe!

umelazwa nje wewe, unaota tafadhali amka uone ulivyozingirwa na wanakijiji wanakushangaa, oyaaaaaaa amka ukague kabang kama imesalimika.
 
Mbowe na Slaa wamejitia kitanzi wenyewe kwa uchu na tamaa isiyo na mfano.

Kuna kila uwezekano kuwa Mbowe anaogopa kuwachia uenyekiti mpaka ampate ataeficha siri zake za ubadhirifu, kwani waraka unasemaa yeye ndio "purchaser" na yeye ndio "supplier".

Hapo sasa.
 
Hahaha unawapa stress

Stress ziko magambani,CHADEMA shwariiii!"magamba mtataga" kwani muyaombeayo kwa chadema katu asilani hayatatokea sanasana yanawarudia kuwafedhehesha nyinyi wenyewe.~~~♥♥♥"CHADEMA NI IMARA KULIKO MDHANIAVYO".
 
Vijana wa chadema hivi siasa mnajifunzia wap?
chadema ukijua maneno pipozi pawa, fisadi, magamba na msaliti tayari wewe umekuwa mwanasiasa. Hakuna sharti jingine ni hilo tu mkuu. Ndo maana kumejaa wenye jazba na wavimba uso tupu!
 
nyie matomaso subirini hadi kesho kitakaponuka na kuripotiwa kwenye media ndo mtarudi kucomment. Maana kuna vijitu hum vinadhani wote ni wakurupukaji.

Masela eeh, huyu janki akizinduka tu tumsisitize akague kabang hapa hapa, manake alizimika na kupoteza netiweki, sasa anaanza kuzinduka, si mnamsikia maneno yaake!!!! kwisha habari yake.
 
chadema ukijua maneno pipozi pawa, fisadi, magamba na msaliti tayari wewe umekuwa mwanasiasa. Hakuna sharti jingine ni hilo tu mkuu. Ndo maana kumejaa wenye jazba na wavimba uso tupu!

wajua alipo alhaji kapuya!!
 
Jifurahisheni tuu ila hapa hatuchoki hadi kieleweke
tatizo kubwa watz wengi hawajielewi wala kujitambua
Ni kwa nini usijiulize wazungu waliwezaje na adi sasa wameweza kupata huduma zote
Ni kwa nini wazungu wanaishi maisha mazuri na haki sawa kwa wote why not us?
hii yote ni kwa sababu ya maccm imeakikisa elimu wanayoipata watz ni ya kukremu tuu
Sio elimu yakumwezesha mtanzania kujielewa, kujitambua na ata kufikiri anapopata na tatizo
Huwa mara nyingi watz tuna kurupuka bila kujua nini hatima yake
Ukiona hata majirani wameanza kushtuka ujue wameshatuelewa
Embu nenda ata masokoni uone watz wasivyojua kuhoji au kuuliza haki zao
Utakuta wafanyabiashara wanalipa kodi tena kubwa kila mwezi ila soko ni cafu ajabu
hakuna ata mahali pa kukaa mvua ikinyesa
Wafanyabiasara hawa hawa wanashindwa kujielewa na kuhoji kulikoni kodi zetu kila mwezi
Tutafika tuu na Mungu zaidi
Watz wenangu tuamke
 
hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa. Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba. Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine. Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa mbogolo. Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa chadema kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe. Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya chadema kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe. Kundi hilo linaongozwa na Fuime

Teamzitto@work,lakini wana roho ngumu sana kama paka shume.Kila mwenye akli timamu Asome waraka uliowavua hawa wasaliti nyadhifa zao then wajipime wamesimama wapi?
ZZK kwa hali hii jihesabu kuwa Pesa ya TISS uliyokuwa unapokea basi ikufae kwa UASLITI WAKO lakini kama ni siasa pole sana .ULIMUAMINI SANA WASIRA na TISS.haata kama ni utoto ukikua hutaacha!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mbowe na Slaa wamejitia kitanzi wenyewe kwa uchu na tamaa isiyo na mfano.

Kuna kila uwezekano kuwa Mbowe anaogopa kuwachia uenyekiti mpaka ampate ataeficha siri zake za ubadhirifu, kwani waraka unasemaa yeye ndio "purchaser" na yeye ndio "supplier".

Hapo sasa.

Nyerere alipotenganisha kofia ya uenyekiti na urais ili aendelee kuwa mwenyekiti ulikuwa ni WOGA WA KUPINDUKIA,

kuna mambo mengi ya kujifunza, wewe unatakiwa kujifunza kuelewa.
 
gwanda acha kulialia hapa unapewa ukweli wa mambo yanavyokwenda huku Ruvuma. Na kesho Mungu akipenda nitawatwanga updates za kufa mtu. Nami ni mjumbe kwenye kikao hicho.
 
Teamzitto@work,lakini wana roho ngumu sana kama paka shume.Kila mwenye akli timamu Asome waraka uliowavua hawa wasaliti nyadhifa zao then wajipime wamesimama wapi?
ZZK kwa hali hii jihesabu kuwa Pesa ya TISS uliyokuwa unapokea basi ikufae kwa UASLITI WAKO lakini kama ni siasa pole sana .ULIMUAMINI SANA WASIRA na TISS.haata kama ni utoto ukikua hutaacha!

Mlipanga siku nyingi kumfukuza Zitto. Mlianzisha visa kitambo. Mlichokifanya juzi ni mpango wenu wa muda mrefu.
 
Comrade Kinana Punguza Kasi ya Kujenga Chama, Jamaa wamepagawa mbaya sasa mwendo ni kufukuzana na kukamatana Uchawi, Kila siku Mipasho Idara ya Habari maelezo!
 
chadema ukijua maneno pipozi pawa, fisadi, magamba na msaliti tayari wewe umekuwa mwanasiasa. Hakuna sharti jingine ni hilo tu mkuu. Ndo maana kumejaa wenye jazba na wavimba uso tupu!

Kaama wewe mwemye avatar ya utupu!malaya mkubwa we!
 
Teamzitto@work,lakini wana roho ngumu sana kama paka shume.Kila mwenye akli timamu Asome waraka uliowavua hawa wasaliti nyadhifa zao then wajipime wamesimama wapi?
ZZK kwa hali hii jihesabu kuwa Pesa ya TISS uliyokuwa unapokea basi ikufae kwa UASLITI WAKO lakini kama ni siasa pole sana .ULIMUAMINI SANA WASIRA na TISS.haata kama ni utoto ukikua hutaacha!

Think Tank yenu Slaa kashindwa kutafuta kosa kwenye Waraka kaishia kusema Katiba hairuhusu mipango ya Siri wakat kashindwa kuonesha wapi kwenye Katiba inakataza hiyo mipango ya siri, Ule waraka umewakamata vilivyo sasa Lissu kaenda ku delute maneno kasema atatoa Remix ya Waraka ili achomoe na kuchomeka atakavyo kama walivofanya kwenye katiba yenu ya 2004 mlivochomoa ukomo wa Uenyekiti
 
tusiangalie zito aondoke,tuangalie sababu za kufukuzwa kwake zina mashikogani kwawenye akili?

Ila kwawale vifaranga hilo walisha panga.tujaribu kuangalia nani anatetea maslahi ya cdm?nani anatetea maslahi ya familia yake na kikundi chake?tuache chuki za kijinga vijana
 
Think Tank yenu Slaa kashindwa kutafuta kosa kwenye Waraka kaishia kusema Katiba hairuhusu mipango ya Siri wakat kashindwa kuonesha wapi kwenye Katiba inakataza hiyo mipango ya siri, Ule waraka umewakamata vilivyo sasa Lissu kaenda ku delute maneno kasema atatoa Remix ya Waraka ili achomoe na kuchomeka atakavyo kama walivofanya kwenye katiba yenu ya 2004 mlivochomoa ukomo wa Uenyekiti

Aisee...team MM mna roho ngumu kama Nyau shume aisee....yaani Kubwa lenu la maadui lishaangamizwa lakini wafuasi bado tu mnatoa mapovu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom