jamaa wameona fuime tunamkubali kwa umahili wa kukijenga chama, wameanza kumkashifu mara eti ana sauti ya kike mara mrembo. Kiukweli tunamkubali sana fuime kwani toka mwezi august jamaa anapiga mamikutano wilaya nzima ya songea. Mboogolo alivyo na wivu hajahuzulia mkutano wa fuime hata mmoja.
Du majamaa(maCCM) yameanzisha thread yenyewe yanachangia yenyewe.
Hilo kundi la Zito, halina haja ya kutangaza eti wanahama! Kinana si yupo maeneo hayo? Wamwalike awapatie kadi!Hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa.
Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae Mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba.
Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine.
Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa Mbogolo.
Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa CHADEMA kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe.
Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya CHADEMA kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe,kundi hilo linaongozwa na Fuime
Tunashukuru kwa taarifa nzuri hizi kitambiheshima, tunaomba uzidi kufuatilia utupe taarifa kamili.
Kama inawezekana naomba ni-PM no ya sim ya Fuime
Hadi hv sasa ninashindwa kuweka kwenye matabaka nabaki najiuliza kama CDM ni chama cha siasa
Hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa.
Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae Mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba.
Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine.
Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa Mbogolo.
Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa CHADEMA kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe.
Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya CHADEMA kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe,kundi hilo linaongozwa na Fuime
...huyo jamaa akishafukuzwa hakuna atakayepotea hata mmoja mkuu. usiwe na hofusiasa za mkumbo zitapoteza washabiki wote siku moja!!
Hadi hv sasa ninashindwa kuweka kwenye matabaka nabaki najiuliza kama CDM ni chama cha siasa
Ndugu zangu wanachadema inasumbua sana mara zote kujibu mambo ya uongo na uzushi kama huu wa bwana kitambiheshima.Lakini inatupasa kujibu kila aina ya uzushi tunaozushiwa.Kwanza hakuna ukweli juu yaliyosemwa na msemaji, sikweli kuwa chadema mkoa Ruvuma kimepasuka kutokana na kamati kuu ya chama Taifa kumvua uongozi ndani ya chama mhe,ZZK.Pia sio kweli mimi Fuime nimetangaza kugombea ubunge jimbo la songea mjini, nasina ugovi na mhe,Mbogoro.Pia mwandishi amechomekea hili jambo kwahofu ileile ya kuogopa mshikamano huu ndani ya chadema ukiendelea hadi 2015 Magamba hawana chao mkoa
Sio bure unafikiri kitambi ndio ujanja...
Mtu atakaye bishana na wewe ni mjinga.
Hauko sawa upstairs.
Hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa.
Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae Mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba.
Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine.
Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa Mbogolo.
Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa CHADEMA kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe.
Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya CHADEMA kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe,kundi hilo linaongozwa na Fuime