CHADEMA Ruvuma kimenuka

CHADEMA Ruvuma kimenuka

Status
Not open for further replies.
jamaa wameona fuime tunamkubali kwa umahili wa kukijenga chama, wameanza kumkashifu mara eti ana sauti ya kike mara mrembo. Kiukweli tunamkubali sana fuime kwani toka mwezi august jamaa anapiga mamikutano wilaya nzima ya songea. Mboogolo alivyo na wivu hajahuzulia mkutano wa fuime hata mmoja.

fuime jembe la ukweli,kwa kujenga chama anajitolea sana,pia ni mtu anaejitambua.
 
Du majamaa(maCCM) yameanzisha thread yenyewe yanachangia yenyewe.
 
Hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa.

Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae Mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba.

Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine.

Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa Mbogolo.

Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa CHADEMA kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe.

Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya CHADEMA kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe,kundi hilo linaongozwa na Fuime
Hilo kundi la Zito, halina haja ya kutangaza eti wanahama! Kinana si yupo maeneo hayo? Wamwalike awapatie kadi!
 
hou ni uongo wa hali ya juu hamna sual kama hiloFuime na Mbogolo hwana mgogoro japokuwa kuna watu walikuwa wanasugest Fuime agombee ubunge kwa sababau Mbogoro kagopmbea mara3 na kaukosa huyo mfamaji alikuwa TLP kagombea sana kata ya mfaranyaki kabla ya kuhamia CDM hali ni shwari na watu wanaunga mkono maamuzi ya kamati kuu
 
Hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa.

Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae Mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba.

Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine.

Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa Mbogolo.

Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa CHADEMA kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe.

Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya CHADEMA kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe,kundi hilo linaongozwa na Fuime

CDM inatakiwa itoke kwenye chama cha ufuasi na kuwa na chama cha wafuata msingi.
 
Ndugu zangu wanachadema inasumbua sana mara zote kujibu mambo ya uongo na uzushi kama huu wa bwana kitambiheshima.Lakini inatupasa kujibu kila aina ya uzushi tunaozushiwa.Kwanza hakuna ukweli juu yaliyosemwa na msemaji, sikweli kuwa chadema mkoa Ruvuma kimepasuka kutokana na kamati kuu ya chama Taifa kumvua uongozi ndani ya chama mhe,ZZK.Pia sio kweli mimi Fuime nimetangaza kugombea ubunge jimbo la songea mjini, nasina ugovi na mhe,Mbogoro.Pia mwandishi amechomekea hili jambo kwahofu ileile ya kuogopa mshikamano huu ndani ya chadema ukiendelea hadi 2015 Magamba hawana chao mkoa
 
Hadi hv sasa ninashindwa kuweka kwenye matabaka nabaki najiuliza kama CDM ni chama cha siasa

Vyama vina ngazi zake. Huanzia ukoo, kijiji, kabila, kanda na hatimaye kupanda hadi kuwa chama cha siasa.

CHADEMA bado hakijafikia kuwa chama cha siasa, kinajitutumua kufikia huko. Tusubiri baada ya purukushani hili. Kama kitasurvive huenda kikawa chama cha siasa, lakini yumkini kubwa ni kusambaratika.

Kwaheri CHADEMA.
 
Ndugu zangu wanachadema inasumbua sana mara zote kujibu mambo ya uongo na uzushi kama huu wa bwana kitambiheshima.Lakini inatupasa kujibu kila aina ya uzushi tunaozushiwa.Kwanza hakuna ukweli juu yaliyosemwa na msemaji, sikweli kuwa chadema mkoa Ruvuma kimepasuka kutokana na kamati kuu ya chama Taifa kumvua uongozi ndani ya chama mhe,ZZK.Pia sio kweli mimi Fuime nimetangaza kugombea ubunge jimbo la songea mjini, nasina ugovi na mhe,Mbogoro.Pia mwandishi amechomekea hili jambo kwahofu ileile ya kuogopa mshikamano huu ndani ya chadema ukiendelea hadi 2015 Magamba hawana chao mkoa

NA MBOGOLO TAMKO LAKE LIKOWAPI? Au yeye haujui mtandao wa JF. hAYA KAENI MKAO WA KULA.
 
Hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa.

Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae Mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba.

Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine.

Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa Mbogolo.

Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa CHADEMA kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe.

Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya CHADEMA kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe,kundi hilo linaongozwa na Fuime

Aaaaaaa wapi, hakuna cha mpasuko wala nini!!! Mahaini wameng'olewa na chama kiko shwari!!! Si mlitegemea maandamano kupinga???? Matokeo yake mmeyaona mwenyewe!! Hata huyo ZZK wenu haini na msalimi hatutegemea ubaridi wa wanachadema kuhusiana na hli. ZZK wenu alishachokwa muda mrefu na kwa tokeo hili ameamini kuwa hakuna anayemshobokea!!! Alifikiri yeye ni kila kitu CDM kumbe wapi. Mchukueni sasa mkampe nafasi ya Mwigulu Nchemba!!! Kafie mbali na mamluki wako Zitto!!!! Zimetimia na aibu ni kwako na masalia wako!!!
 
Wakuu BAK Zogwale Mungi Matola njooni huku muone team MM na baadhi ya ma CCM yamejianzishia thread na kuishia kuchangia wao kwa wao na kugongeana like za hapa na pale...wanajitekenya na kucheka wenyewe...
Wanatia huruma aisee....

Mkuu Bramo, kula tano!!! Hayo ni matokea ya mtu kutaka kuzama huwa anajitupatupa huku na kule!! Kwa kifupi mathread yao yote tangu SALITI na HAINI lao ZITTO litupwe nje ya uongozi wa chama basi wanatapatapa kama wanataka kukata roho!!! Hakika roho zao hazitatoka kabisa ili waendelee kuteseka mioyo yao tu. Hawakutegemea kuona kuwa Saliti hajaungwa mkono hata kidogo na wanachadema!!! Pili, masuala ya watu kuanza kuonesha nia ya kugombea mbona hata kule CCM kila kukicha ni URAIS na ubunge tu!!! Watu kila wakati kwenye media wanakashifiana!!! Atueleze hali ya Lowasa, Sumay, Sitta, Januari Makamba, yani list ni ndefu!!! Wameshaanza kuhonga wengine hadi makanisani na misikitini. Alete habari nyingine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom