CHADEMA Pwani

Sam Seaborn

Member
Aug 20, 2011
98
39
kwa nini hatusikii maandamano na mwamko wa CHADEMA mikoa ya Pwani? CHADEMA inaonekana iko very active mikoa ya KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI

Pwani inajumuisha:

BAGAMOYO
KIBAHA VIJIJINI
KIBAHA MJINI
KISARAWE
RUFIJI
MKURANGA
MAFIA

Kwa sababu kimaendeleo hawa ndio wako nyuma kuliko eneo lolote lile Tanzania na ingekuwa wepesi zaidi kwa watu wa mikoa hii kuamka na kuanza kulalamika juu ya serikali au tuseme kuwa watu wa PWANI hawana muda na CHADEMA?

Hivi statistically kwenye elections zilizopita CHADEMA ilipata asilimia ngapi Pwani na wilaya zipi ilishinda kwa wingi kati ya hizo hapo juu?
 
kibaha mjini Habib mchange alishinda uchaguzi koka akachakachuka
 
mkoa wa pwani lindi mtwara tanga wengi wao vichwa ngumu hata uwachemshe na magadi hawalainiki, ila taabu zikiendelea watafunuka............. ccm haitaweza kuwadanganya milele iko siku danganya yao itafika mwisho. ILA WATU WA PWANI FUNGUKENI ACHENI KULALA LALA HAWA CCM WATAWAKAMEROOOOOOOOOOON
 
kwa nini hatusikii maandamano na mwamko wa CHADEMA mikoa ya Pwani? CHADEMA inaonekana iko very active mikoa ya KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI

Pwani inajumuisha:

BAGAMOYO
KIBAHA VIJIJINI
KIBAHA MJINI
KISARAWE
RUFIJI
MKURANGA
MAFIA

Kwa sababu kimaendeleo hawa ndio wako nyuma kuliko eneo lolote lile Tanzania na ingekuwa wepesi zaidi kwa watu wa mikoa hii kuamka na kuanza kulalamika juu ya serikali au tuseme kuwa watu wa PWANI hawana muda na CHADEMA?

Hivi statistically kwenye elections zilizopita CHADEMA ilipata asilimia ngapi Pwani na wilaya zipi ilishinda kwa wingi kati ya hizo hapo juu?
Umeiandika kiusanii ili ionekane kuw hizo sehemu za Pwani ni nyingi sana na hivyo chama hicho hakina sapoti ya wananchi wengi.

Ungesema tu ukanda wa pwani vs hizo kanda nyingine ulizotaja,tatizo umetaja kanda tatu vs "kanda za pwani" ulizozianzisha kama hiyo Bagamoyo,Mafia nk.
Hizo nazo ni kanda?
 
mleta mada kauliza maswali ambayo nadhani anajua fika wana CHADEMA wa JF hawana majibu.

In short hawana stats za performance yao mwaka jana Pwani zingekuwepo wangezileta

stay tuned for conspiracy theories wakati watu bado wanasubiri data na stats
 
Umeiandika kiusanii ili ionekane kuw hizo sehemu za Pwani ni nyingi sana na hivyo chama hicho hakina sapoti ya wananchi wengi.

Ungesema tu ukanda wa pwani vs hizo kanda nyingine ulizotaja,tatizo umetaja kanda tatu vs "kanda za pwani" ulizozianzisha kama hiyo Bagamoyo nk.

sidhani kama kakosea

na nadhani alikuwa na maana yake kutaka kujua MIKOA hiyo na si UKANDA angetaka kujua ukanda angeuliza tuuu

hebu leteni stats na supporting data

ili tufanye tathmini
 
sidhani kama kakosea

na nadhani alikuwa na maana yake kutaka kujua MIKOA hiyo na si UKANDA angetaka kujua ukanda angeuliza tuuu

hebu leteni stats na supporting data

ili tufanye tathmini
Binafsi sina haja kabisa na hizo stats kwasababu naamini si lazima watu wa Pwani wote waichague CDM ndo waweze kushinda uchaguzi.Hata hivyo siamini kwene kuwapatiliza kama ccm wanavyofanya kwa wale wasioichagua.
Niliona tu kuwa ame compare this...
CHADEMA inaonekana iko very active mikoa ya KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI

VS. This...

BAGAMOYO
KIBAHA VIJIJINI
KIBAHA MJINI
KISARAWE
RUFIJI
MKURANGA
MAFIA

Badala ya this...

KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI
VS This...
Je umeweza kuona utofauti?Ama kuelewa nilicho maanisha?

Kwenye mlinganisho wa kwanza, ni 2 CDM vs 7 none CDM...Na hiyo ni namba wise, ni pyschological issue,mleta mada si mjinga...Kwa makusudi kabisa ama kwa kutokujuwa,mleta mada amelinganisha mikoa ya Pwani kwa idadi ya vs kanda kwa idadi yake. Definetly not apple to apple!

Angetaja na hiyo mikoa iiyoko kwenye hizo kanda nyingine ndo alinganishe na mikoa iliyoko Pwani.

Ingekuwa fair analysisi angefana hivyo.
 
watu wa pwani elimu ndogo wanachukua muda mrefu kutafakari jambo ndio aana nyerere alitoka bara kaamia dar 1953 akachukua uhuru mikononi mwao
 
CHADEMA huko pwani inakubalika sana na katika kuthibitisha hilo CHADEMA ilipata wabunge wawili huko maeneo ya pwani moja likiwa Ubungo na lingine lilkiwa Kawe. Majimbo hayo mawili yapo ukanda wa pwani ya Tanzania. Pia CHADEMA ilipata madiwani kadhaa pamoja na kutoa upinzani mkali kwa vyama vingine kwenye majimbo ya Kibaha, Segerea, n.k. Kwa ujumla CHADEMA imekuwa ikiongeza idadi ya wanachama kwenye mikoa ya pwani kila mwaka na utakubaliana na mimi kuwa mwaka 2010 ilipata kura nyingi mikoa ya pwani kwa ujumla wake kuliko mwaka 2005. Hiyo ni ishara tosha ya kuonesha kuwa CHAMA hiki makini kinazidi kuimarika huko maeneo ya pwani
 
Inabidi ule kitimoto na mbege ili u-support CHADEMA!!!!!!! Hizo sehemu ulizotaja hawagusi hivyo vitu!!!!
 
kwa nini hatusikii maandamano na mwamko wa CHADEMA mikoa ya Pwani? CHADEMA inaonekana iko very active mikoa ya KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI

Pwani inajumuisha:

BAGAMOYO
KIBAHA VIJIJINI
KIBAHA MJINI
KISARAWE
RUFIJI
MKURANGA
MAFIA

Kwa sababu kimaendeleo hawa ndio wako nyuma kuliko eneo lolote lile Tanzania na ingekuwa wepesi zaidi kwa watu wa mikoa hii kuamka na kuanza kulalamika juu ya serikali au tuseme kuwa watu wa PWANI hawana muda na CHADEMA?

Hivi statistically kwenye elections zilizopita CHADEMA ilipata asilimia ngapi Pwani na wilaya zipi ilishinda kwa wingi kati ya hizo hapo juu?

Dar kwa ujumla wake ukiondoa kwa Mnyika na Mdee, inaonekana Dar hali ya maisha imebana sana hawana muda wa kujishughulisha na mageuzi zaidi ya kufukuzia mkate wa siku. Kama Dar wameshindwa kanda zingine zinasubiri viongozi wa CDM watangaze Benghazi ya Bongo rasmi tuanze kukichafua!
 
Wakati wa Kikao cha Bunge kilichopita DR alikuwa Kisarawe, Manelomango,Mkuranga & co. Kafungua
Matawi mengi sana, au unataka na wao waandamane ndio ufunguke Macho.
 
mkoa wa pwani lindi mtwara tanga wengi wao vichwa ngumu hata uwachemshe na magadi hawalainiki, ila taabu zikiendelea watafunuka............. ccm haitaweza kuwadanganya milele iko siku danganya yao itafika mwisho. ILA WATU WA PWANI FUNGUKENI ACHENI KULALA LALA HAWA CCM WATAWAKAMEROOOOOOOOOOON

ukweli ni kwamba chadema kina udini na ndio maana hawafiki huko kwa waislam wengi na pia watu wa pwani ni wastaarabu siasa za vurugu za watu wa bara kwao hazina tija.
 
Waswahili tu hao tuachane nao ndiyo wanatucheleweshea maendeleo ya nchi hii sawa na wazaramo tu
 
CHADEMA huko pwani inakubalika sana na katika kuthibitisha hilo CHADEMA ilipata wabunge wawili huko maeneo ya pwani moja likiwa Ubungo na lingine lilkiwa Kawe. Majimbo hayo mawili yapo ukanda wa pwani ya Tanzania. Pia CHADEMA ilipata madiwani kadhaa pamoja na kutoa upinzani mkali kwa vyama vingine kwenye majimbo ya Kibaha, Segerea, n.k. Kwa ujumla CHADEMA imekuwa ikiongeza idadi ya wanachama kwenye mikoa ya pwani kila mwaka na utakubaliana na mimi kuwa mwaka 2010 ilipata kura nyingi mikoa ya pwani kwa ujumla wake kuliko mwaka 2005. Hiyo ni ishara tosha ya kuonesha kuwa CHAMA hiki makini kinazidi kuimarika huko maeneo ya pwani

majimbo uliyoyataja sikuhizi wamejaa wachaga ... wenyeji wa pwani siasa uchwara za vurugu hawafagilii
 
Asili ya watu wa pwani pamoja na deen zao lazima watakuwa mashabiki wakubwa wa chama cha KAFU aka chama cha marafiki wa Alshaabab
 
Back
Top Bottom