CHADEMA Pwani

nadhani kuna haja ya CDM kujitazama upya katika hizi kanda zikizotajwa na wahusika, coz tunatak akiwe na sura ya kitaifa zaidi...but waliyoyafanya mpaka sasa mimi nayakubali sana ! they smart in everything !
 
kwa namana yoyote ile mwandishi alitaka aeleweke,cdm wakaze buti kufungua matawi nchi nzima,mikoa kama morogoro,dodoma,singida, na shinyanga bado ni ngome muhimu sana kwa ccm,that is war,fight it wisely.
 
Back
Top Bottom