nadhani kuna haja ya CDM kujitazama upya katika hizi kanda zikizotajwa na wahusika, coz tunatak akiwe na sura ya kitaifa zaidi...but waliyoyafanya mpaka sasa mimi nayakubali sana ! they smart in everything !
kwa namana yoyote ile mwandishi alitaka aeleweke,cdm wakaze buti kufungua matawi nchi nzima,mikoa kama morogoro,dodoma,singida, na shinyanga bado ni ngome muhimu sana kwa ccm,that is war,fight it wisely.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.