CHADEMA Pwani

CHADEMA Pwani

nasdaz naungamkono bandiko lako hapo kwa mara ya kwanza naomba nikubaliane na wewe kuwa chadema bado haijafanya bidii ya kujitangaza huko na siku ikifanya hivyo naamini itakuwa na wafuasi tena wengi tu..

Hiyo ni ONE STEP FOWARD kwavile umeuona ukweli ambao wengine hawataki kuukubali!!!! Nakumbuka mwaka jana alikuja ndugu yangu kutoka bush (ndiko nilikosema ni miongoni mwa vijiji vikubwa kabisa).....dogo kila unachoongea nae ni CUF! CUF! CUF! kimsingi, hataki hata kuisikia hiyo CCM. Nikamuuliza kuhusu CDM, akasema hakuna kabisa CDM kule....kwakweli nilikuwa very disappointed. Na labda nikupe siri leo hii; wakati huo nilikuwa naifagilia sana CDM ingawaje kwa sasa lazima nikiri kwamba SIIPENDI!!!! Nikapata nafasi ya kwenda kule; nikayashuhudia kwa macho yangu niliyoambiwa na yule dogo; ikaniuma sana kwamba chama kama CDM hakipo kabisa kule. Nikaja hapa jamvini na kutoa angalizo ni namna gani CDM wanaweza kujitanua na maeneo mengine.....nilitumia maneno kwamba, POLITICS is almost like ujasiriamali; kwamba penye matatizo kuna political opportunity kwavile ni rahisi kuwaambia wananchi kwamba....mnaona hii, ni kwa sababu ya hawa watu!!!! Wasiopenda kukubali ukweli na kuamini ktk dhahania wakaishia kukandia kwamba watu wa pwani na kusini hawajasoma ndio maana hawajui chochote badala ya kujadili mada husika....nikaja kuwa completely disappointed pale Slaa alipoenda kwenye kampeni za urais.....alitumia just couple of hours kwa mikoa miwili; tena ni kama tu alienda kutoa lawama...hapo ndipo nikaja fahamu kwamba; ehee, kumbe jamaa (CDM) si wenzetu!!!! Huwezi kukaa pamoja na watu msioongea lugha moja, nikaamua kuchana na wana magwanda!!!!

 
Chadema makini sana data kama hizo ukiingia kwenye website yao utazikuta zote zipo

wao hawafichi kitu
 
wao ni ma hewala bwamkubwa. Hata shida zenyewe hawazijui isipokuwa uwanyime kucheza ngoma zao za kuozesha watoto. Hapo watakuwa wakali kuliko Chadema na si ajabu wakaanzisha chama chao ambacho kitakuwa ni maalumu kwa kutetea uchezaji ngoma uruhusiwe tena mfulilizo hadi mwezi mchana na usiku.
 
cdm kina ajenda ya siri ndio maana hakikubaliki kwa watu
 
Hiyo ni ONE STEP FOWARD kwavile umeuona ukweli ambao wengine hawataki kuukubali!!!! Nakumbuka mwaka jana alikuja ndugu yangu kutoka bush (ndiko nilikosema ni miongoni mwa vijiji vikubwa kabisa).....dogo kila unachoongea nae ni CUF! CUF! CUF! kimsingi, hataki hata kuisikia hiyo CCM. Nikamuuliza kuhusu CDM, akasema hakuna kabisa CDM kule....kwakweli nilikuwa very disappointed. Na labda nikupe siri leo hii; wakati huo nilikuwa naifagilia sana CDM ingawaje kwa sasa lazima nikiri kwamba SIIPENDI!!!! Nikapata nafasi ya kwenda kule; nikayashuhudia kwa macho yangu niliyoambiwa na yule dogo; ikaniuma sana kwamba chama kama CDM hakipo kabisa kule. Nikaja hapa jamvini na kutoa angalizo ni namna gani CDM wanaweza kujitanua na maeneo mengine.....nilitumia maneno kwamba, POLITICS is almost like ujasiriamali; kwamba penye matatizo kuna political opportunity kwavile ni rahisi kuwaambia wananchi kwamba....mnaona hii, ni kwa sababu ya hawa watu!!!! Wasiopenda kukubali ukweli na kuamini ktk dhahania wakaishia kukandia kwamba watu wa pwani na kusini hawajasoma ndio maana hawajui chochote badala ya kujadili mada husika....nikaja kuwa completely disappointed pale Slaa alipoenda kwenye kampeni za urais.....alitumia just couple of hours kwa mikoa miwili; tena ni kama tu alienda kutoa lawama...hapo ndipo nikaja fahamu kwamba; ehee, kumbe jamaa (CDM) si wenzetu!!!! Huwezi kukaa pamoja na watu msioongea lugha moja, nikaamua kuchana na wana magwanda!!!!


unakataa kinachokukataa,wewe ulikuwa huna msaada wowote cdm,na kwa kukata tamaa kwa njia hata maisha yatakushnda
 
kaka kimsingi sisi watu wa pwani tumeweka sana kwapani udini na ukanda yaani ni bora apatikane mtu wa pwani asiyeelewa lolote awe mwakilishi wa kila kitu kuliko mtu wa bara mwenye upeo hili ni tatizo
 
alshabab ni neno la kiarabu linamaanisha vijana .... shukran kwa kuisifia cuf kutokana na ulimbukeni wako... ila you are right about one thing watu wa pwani asilimia kubwa ni waislam ndio maana chadema kamwe haitokuja kufanya juhudi zozote ikubalike since ni chama cha kanisa

pengo*katoliki; anampigia debe pinda,k.k.k.t wanampigia debe lowasa for2015 sasa chadema ni kanisa gan?..maana nnavojua mimi kanisa katoliki ni mshirika mkubwa wa ccm..rejea kauli za ask.kilain 2005...memorundum of as 92..lowasa na makanisa..sijui chadema walikuwepo?
 
hivi 2015 ccm wakiweka mgombea mkristo,ndugu zangu waislam mtapiga kwa chama gan?..lingine, mnadai mmetengwa na kunyanyaswa na serikali tangu uhuru,je serikali iliyowatenga ni ya chadema ee? Kweli kumtawala mpumbav ni rahic..elim ni ki2 cha msing sana
 
They a're so cheap to buy. Kibaba kimoja cha mchele atakuimba mwaka. Arusha mtu anataka ale nundu ya ng'ombe na bia nne kila siku utaweza/
 
mleta mada kauliza maswali ambayo nadhani anajua fika wana CHADEMA wa JF hawana majibu.

In short hawana stats za performance yao mwaka jana Pwani zingekuwepo wangezileta

stay tuned for conspiracy theories wakati watu bado wanasubiri data na stats
kwanini ukaangaike na vichwa vigumu wakati ukiwajumlisha wakazi sehemu zote ulizotaja ni sawa na wapiga kura wa jimbo moja yaani ubungo tu.
 
kwa nini hatusikii maandamano na mwamko wa CHADEMA mikoa ya Pwani? CHADEMA inaonekana iko very active mikoa ya KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI

Pwani inajumuisha:

BAGAMOYO
KIBAHA VIJIJINI
KIBAHA MJINI
KISARAWE
RUFIJI
MKURANGA
MAFIA

Kwa sababu kimaendeleo hawa ndio wako nyuma kuliko eneo lolote lile Tanzania na ingekuwa wepesi zaidi kwa watu wa mikoa hii kuamka na kuanza kulalamika juu ya serikali au tuseme kuwa watu wa PWANI hawana muda na CHADEMA?

Hivi statistically kwenye elections zilizopita CHADEMA ilipata asilimia ngapi Pwani na wilaya zipi ilishinda kwa wingi kati ya hizo hapo juu?

Pwani sio kanda, ni MKOA, na hizo ulizotaja ni WILAYA. Yenyewe iko KANDA ya mashariki pamoja na Dar, na Morogoro. CHADEMA ina nguvu sana KANDA ya Mashariki. Imeshinda ubunge katika majimbo ya Kibaha mjini (Pwani), Ubungo, Kawe, Segerea (Dsm), Ulanga Mashariki, Morogoro mjini (Morogoro).
 
mkoa wa pwani lindi mtwara tanga wengi wao vichwa ngumu hata uwachemshe na magadi hawalainiki, ila taabu zikiendelea watafunuka............. ccm haitaweza kuwadanganya milele iko siku danganya yao itafika mwisho. ILA WATU WA PWANI FUNGUKENI ACHENI KULALA LALA HAWA CCM WATAWAKAMEROOOOOOOOOOON

Wallahi mie picha yako nikiitazama nabata ushungu wallahi, wapatikana wapi ww nikutafute ?

 
majimbo uliyoyataja sikuhizi wamejaa wachaga ... wenyeji wa pwani siasa uchwara za vurugu hawafagilii

nikweli majimbo hayo wameja wachaga na na makabila mengine ya kaskazini magharibi. ndomana cdm wameshinda.
 
Je wanatofautisha dini na siasa? And then wana elimu kiasi gani?
 
Back
Top Bottom