wamehishiwa hojaJuzi tu hapo alikuwa kwenye Mkutano wa KK sambamba na Lowassa, Mbowe na wengineo, Unataka kuniambia hukumuona??
Au unataka kuuliza swali gani labda?
Na wewe nikuulize swali, Bernad Membe yuko wapi?
BACK TANGANYIKA
Unafiki unawalipa sana?Prof Safari anatengwa sababu ya dini yake na asili yake.. Ukanda na udini ndio sera ya Chadema.
Hivi kwanini kila uchao Lumumba hamuishi kuiota CHADEMA? Kila thread ya mwana Lumumba ni CHADEMA/UKAWA vipi habari za tingatinga hazilipi?
Unafiki kitu kibaya sana hapa alikuwa kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema ndipo walipotoka na Azimio la kuanzia operesheni (UKUTA ) vitu vingine kama hujui uwe unauliza siyo kutoa majibu ya kukurupukaSafi prof safari ,waache bavichaaa washike UKUTA kivyao . ndio maisha waliyoyachagua
Naona huyu mwanamke anataka ashikishwe UKUTAkwani hukumwona kwenye ile picha ya kamati kuu iliyozaa UKUTA?
kwani hukumwona kwenye picha ya kamati kuu iliyozaa UKUTA?
Huyu mwanamke anataka ashikishwe UKUTAwe mwanamke una matatizo sana...unamtafuta je mume wa mtu kwenye mitandao ya kijamii?
Kimbia udiniProf Safari anatengwa sababu ya dini yake na asili yake.. Ukanda na udini ndio sera ya Chadema.
Kweli hii ni Double standard hivi fanya uwiano Kati ya wafuasi wa Chadema na CCM nani anaongoza kwa kuleta habari zisizo muhusu.. Habari za CCM zikiletwa na Ukawa sawa, mfano kipindi JK ajakabiz Uenyekiti kila siku mlikua mnazua, mara ngapi hapa mnazua kuhusu CCM, au viongozi wa CCM.. Ila zikiletwa habari za Chadema mnakimbilia kujenga ukuta wa makuti.. Utasikia mnamuota Lowasa, au CHADEMA, au Mbowe.. Ni kiwango cha chini cha ukutaHivi kwanini kila uchao Lumumba hamuishi kuiota CHADEMA? Kila thread ya mwana Lumumba ni CHADEMA/UKAWA vipi habari za tingatinga hazilipi?
Nawewe ni kinyaa tuuKweli hii ni Double standard hivi fanya uwiano Kati ya wafuasi wa Chadema na CCM nani anaongoza kwa kuleta habari zisizo muhusu.. Habari za CCM zikiletwa na Ukawa sawa, mfano kipindi JK ajakabiz Uenyekiti kila siku mlikua mnazua, mara ngapi hapa mnazua kuhusu CCM, au viongozi wa CCM.. Ila zikiletwa habari za Chadema mnakimbilia kujenga ukuta wa makuti.. Utasikia mnamuota Lowasa, au CHADEMA, au Mbowe.. Ni kiwango cha chini cha ukuta
Prof Safari anatengwa sababu ya dini yake na asili yake.. Ukanda na udini ndio sera ya Chadema.
Kweli hii ni Double standard hivi fanya uwiano Kati ya wafuasi wa Chadema na CCM nani anaongoza kwa kuleta habari zisizo muhusu.. Habari za CCM zikiletwa na Ukawa sawa, mfano kipindi JK ajakabiz Uenyekiti kila siku mlikua mnazua, mara ngapi hapa mnazua kuhusu CCM, au viongozi wa CCM.. Ila zikiletwa habari za Chadema mnakimbilia kujenga ukuta wa makuti.. Utasikia mnamuota Lowasa, au CHADEMA, au Mbowe.. Ni kiwango cha chini cha ukuta
Kama ni shanga labda umevaa wewe si mimi.
Nashukuru ngoja nirekebishe= ulifaulu
Wewe mnafiki uliyekuwa unamuulizia umeshamwona?= ulifaulu