CHADEMA (Odinga) vs CCM (Uhuru) siasa za nje!

CHADEMA (Odinga) vs CCM (Uhuru) siasa za nje!

Magamba bwana..msijali Uhuru atawachotea ela ya kampeni ila tambueni kuwa kura sio fedha
 
Viongozi wa CDM ambao walituma vikosi vya Kumsaidia Odinga wameumbuliwa na Matokeo ya Uhuru kuibuka Kidedea.

Walionyesha wazi kumuunga Odinga huku wakimponda swaiba wa Odinga Magufuri kuwa alitumwa na CCM.

Kwenye mitandao waliandika Matokeo ya kenya ndiyo refrection ya 2015. Yetu macho! KAZI IPO TANZANIA, akili nyingi maarifa hatuna.
Tunatafakari mambo mazito na kuyapa uwepesi. Huu ni uvivu wa kufkiri. Tuijenge Tz, siasa Mwisho wake kwa ushabiki huu siyo Mzuri.


Naona hapo unapiga rangi upepo. Viongozi Gani walioenda kupiga kampeni kenya? Acheni siasa na hoja za kwenye kahawa. Leteni hoja za msingi na si hoja za kishabiki kama ushabiki wa mpira.
Tuhoji CCM wamefanya nini na Tuzungumze Chadema watafanya nini na si kuzungumzia watu ambao tayari wana barabara za juu na chini sisi bado tunapembua kiuwakinifu na tunakaribia kwenye mchakato na serikali iko mdahaloni.
Hapo unasemea watu wenye sekondari zinazoitwa sekondari zaidi ya 4000 sisi na CCM yetu tuna majengo yanayoitwa sekondari chini ya 1000. Tusiwe kama mbayuwayu tutafakari na kuchanganua wewe na mimi tunakwenda wapi na kizazi kijacho tunakiachia nini?

 
Hivi haya kweli yametokea maana nimesikia ati CDM walituma Ujumbe Kenya kumuunga mkono Odinga!... sijui wanaweza utuambia ni kwa sababu gani? je kuna mahusiano ya kimrengo au basi tu..

katika makosa makubwa na yaloushangaza ulimwengu kisiasa ambayo yamewahi kutokea ni pamoja na uchaguzi huu wa Kenya 2013, ambapo watuhumiwa wakubwa wa UKABILA (UHURU na ODINGA) wamekuwa ndio wagombea wakubwa na nawahakikishia kabisa ya kwamba uchaguzi wote wa Kenya umefanyika kwa kufuata UKABILA..watakana na kujivuta vumbi za uso lakini ukweli unabakia kwamba kabila ndicho kigezo kikubwa cha uchaguzi huo...Yale makabila mengine yamemchagua UHURU ama ODINGA kwa kuchuja bora Zimwi likujualo kuliko..
Mtakuja nambia...
 
Mambo ya Kenya waachiwe wakenya baada ya matokeo. Tuna mengi yanatusibu hapa Bongo petu! Tusipoteze muda na ya Kenya sasa. Hata kama tulikuwa tunaunga mkono mtu fulani, Wakenya wameamua na tunaheshimu uamuzi wao!
 
Hivi haya kweli yametokea maana nimesikia atyi CD<M walituma Ujumbe kenya kumuunga mkono Odinga!... sijui wanaweza utuambia ni kwa sababu gani? je kuna mahusiano ya kimrengo au basi tu..

katika makosa makubwa na yaloushangaza ulimwengu kisiasa ambayo yamewahi kutokea ni pamoja na uchaguzi huu wa Kenya 2013, ambapo watuhumiwa wakubwa wa UKABILA (UHURU na ODINGA) wamekuwa ndio wagombea wakubwa na nawahakikishia kabisa ya kwamba uchaguzi wote wa Kenya umefanyika kwa kufuata UKABILA..watakana na kujivuta vumbi za uso lakini ukweli unabakia kwamba kabila ndicho kigezo kikubwa cha uchaguzi huo...Yale makabila mengine yamemchagua UHURU ama ODINGA kwa kuchuja bora Zimwi likujualo kuliko..
Mtakuja nambia...

Umenifurahisha hhrhheh haya ngoja tusubiri
 
Ni ukweli usiotiliwa shaka kuwa CCM inainjinia uchaguzi wa Kenya, na ipo upande wa Uhuru mmoja wa wagombea urais wa Kenya,

Vivyo hivyo chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA, kimejikita katika siasa za kimataifa kwa hapo Kenya huku karata yake kikiitupa miguuni mwa Raila Odinga mmoja wa wagombea anaepewa nafasi kubwa ya kushinda kupitia muungano wa vyama ndugu.

Vita hii tunaiangaza kama ni ya mapambano ya CHADEMA na CCM kuelekea 2015 hasa kila mmoja akisafisha njia ya kuungwa mkono kumataifa,

Ikiwa ni hivyo tayari CCM na CHADEMA kila mmoja ashashinda kete moja moja, kwanza ni CHADEMA Zambia kwa bwana Satta, na CCM Congo kwa kijana Kabila ambako dhahiri utawala unakula huku umeshikilia sahani mkononi kwani hakuna tumaini la kuweka mezani chakula chini ya M23.

Je ni CHADEMA (Odinga) ama CCM (Uhuru)

Karata yangu naitua kwa CHADEMA.
Upuuzi mtupu badala ya vyama hivi kujishughulisha na matatizo ya wananchi wake inakwenda tumia fedha kwa vitu visivyowahusu..Hii ni sawa na kutumia fedha ktk harusi ya jirani wakati watoto wako hawana ada ya shule...
 
Hivi haya kweli yametokea maana nimesikia ati CDM walituma Ujumbe Kenya kumuunga mkono Odinga!... sijui wanaweza utuambia ni kwa sababu gani? je kuna mahusiano ya kimrengo au basi tu..

katika makosa makubwa na yaloushangaza ulimwengu kisiasa ambayo yamewahi kutokea ni pamoja na uchaguzi huu wa Kenya 2013, ambapo watuhumiwa wakubwa wa UKABILA (UHURU na ODINGA) wamekuwa ndio wagombea wakubwa na nawahakikishia kabisa ya kwamba uchaguzi wote wa Kenya umefanyika kwa kufuata UKABILA..watakana na kujivuta vumbi za uso lakini ukweli unabakia kwamba kabila ndicho kigezo kikubwa cha uchaguzi huo...Yale makabila mengine yamemchagua UHURU ama ODINGA kwa kuchuja bora Zimwi likujualo kuliko..
Mtakuja nambia...


Mpaka sasa sijaona ushahidi wowote unaoonyesha CDM walipeleka timu kumuunga mkono Odinga. Kwa nini tusitajiwe majina? Kila mtu anafahamu kuwa Mh. John Pombe Magufuri alikwenda kumuona mkono Odinga. Katibu wa chama ilisemekana alikuwa Nairobi kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
 
Viongozi wa CDM ambao walituma vikosi vya Kumsaidia Odinga wameumbuliwa na Matokeo ya Uhuru kuibuka Kidedea.

Walionyesha wazi kumuunga Odinga huku wakimponda swaiba wa Odinga Magufuri kuwa alitumwa na CCM.

Kwenye mitandao waliandika Matokeo ya kenya ndiyo refrection ya 2015. Yetu macho! KAZI IPO TANZANIA, akili nyingi maarifa hatuna.
Tunatafakari mambo mazito na kuyapa uwepesi. Huu ni uvivu wa kufkiri. Tuijenge Tz, siasa Mwisho wake kwa ushabiki huu siyo Mzuri.

nnawasiwasi ile twite ya ccm wewe ndiyo uliandika
 
jamani si lazima wote tuanzishe thread,wengine ni vema tukabaki wachangiaji tu!
 
Back
Top Bottom