Uzeni Vitanda kabisa msije mkashawishika mkalala maana 'hakitaeleweka' milele kwa nguvu zake Issa bin Maryam!
Dj alitegemea kupata rafiki rais,
Viongozi wa CDM ambao walituma vikosi vya Kumsaidia Odinga wameumbuliwa na Matokeo ya Uhuru kuibuka Kidedea.
Walionyesha wazi kumuunga Odinga huku wakimponda swaiba wa Odinga Magufuri kuwa alitumwa na CCM.
Kwenye mitandao waliandika Matokeo ya kenya ndiyo refrection ya 2015. Yetu macho! KAZI IPO TANZANIA, akili nyingi maarifa hatuna.
Tunatafakari mambo mazito na kuyapa uwepesi. Huu ni uvivu wa kufkiri. Tuijenge Tz, siasa Mwisho wake kwa ushabiki huu siyo Mzuri.
Dj alitegemea kupata rafiki rais,
Hivi haya kweli yametokea maana nimesikia atyi CD<M walituma Ujumbe kenya kumuunga mkono Odinga!... sijui wanaweza utuambia ni kwa sababu gani? je kuna mahusiano ya kimrengo au basi tu..
katika makosa makubwa na yaloushangaza ulimwengu kisiasa ambayo yamewahi kutokea ni pamoja na uchaguzi huu wa Kenya 2013, ambapo watuhumiwa wakubwa wa UKABILA (UHURU na ODINGA) wamekuwa ndio wagombea wakubwa na nawahakikishia kabisa ya kwamba uchaguzi wote wa Kenya umefanyika kwa kufuata UKABILA..watakana na kujivuta vumbi za uso lakini ukweli unabakia kwamba kabila ndicho kigezo kikubwa cha uchaguzi huo...Yale makabila mengine yamemchagua UHURU ama ODINGA kwa kuchuja bora Zimwi likujualo kuliko..
Mtakuja nambia...
Mkuu hizi pumba zako zitaisha lini ? Vipi umeshamaliza kuogesha watoto ?
Upuuzi mtupu badala ya vyama hivi kujishughulisha na matatizo ya wananchi wake inakwenda tumia fedha kwa vitu visivyowahusu..Hii ni sawa na kutumia fedha ktk harusi ya jirani wakati watoto wako hawana ada ya shule...Ni ukweli usiotiliwa shaka kuwa CCM inainjinia uchaguzi wa Kenya, na ipo upande wa Uhuru mmoja wa wagombea urais wa Kenya,
Vivyo hivyo chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA, kimejikita katika siasa za kimataifa kwa hapo Kenya huku karata yake kikiitupa miguuni mwa Raila Odinga mmoja wa wagombea anaepewa nafasi kubwa ya kushinda kupitia muungano wa vyama ndugu.
Vita hii tunaiangaza kama ni ya mapambano ya CHADEMA na CCM kuelekea 2015 hasa kila mmoja akisafisha njia ya kuungwa mkono kumataifa,
Ikiwa ni hivyo tayari CCM na CHADEMA kila mmoja ashashinda kete moja moja, kwanza ni CHADEMA Zambia kwa bwana Satta, na CCM Congo kwa kijana Kabila ambako dhahiri utawala unakula huku umeshikilia sahani mkononi kwani hakuna tumaini la kuweka mezani chakula chini ya M23.
Je ni CHADEMA (Odinga) ama CCM (Uhuru)
Karata yangu naitua kwa CHADEMA.
Hivi haya kweli yametokea maana nimesikia ati CDM walituma Ujumbe Kenya kumuunga mkono Odinga!... sijui wanaweza utuambia ni kwa sababu gani? je kuna mahusiano ya kimrengo au basi tu..
katika makosa makubwa na yaloushangaza ulimwengu kisiasa ambayo yamewahi kutokea ni pamoja na uchaguzi huu wa Kenya 2013, ambapo watuhumiwa wakubwa wa UKABILA (UHURU na ODINGA) wamekuwa ndio wagombea wakubwa na nawahakikishia kabisa ya kwamba uchaguzi wote wa Kenya umefanyika kwa kufuata UKABILA..watakana na kujivuta vumbi za uso lakini ukweli unabakia kwamba kabila ndicho kigezo kikubwa cha uchaguzi huo...Yale makabila mengine yamemchagua UHURU ama ODINGA kwa kuchuja bora Zimwi likujualo kuliko..
Mtakuja nambia...
Dj alitegemea kupata rafiki rais,
Viongozi wa CDM ambao walituma vikosi vya Kumsaidia Odinga wameumbuliwa na Matokeo ya Uhuru kuibuka Kidedea.
Walionyesha wazi kumuunga Odinga huku wakimponda swaiba wa Odinga Magufuri kuwa alitumwa na CCM.
Kwenye mitandao waliandika Matokeo ya kenya ndiyo refrection ya 2015. Yetu macho! KAZI IPO TANZANIA, akili nyingi maarifa hatuna.
Tunatafakari mambo mazito na kuyapa uwepesi. Huu ni uvivu wa kufkiri. Tuijenge Tz, siasa Mwisho wake kwa ushabiki huu siyo Mzuri.
Hahaaa Yale yaliyoandikwa namba kuanzia 65 Kama vyumba vya hoteli ili waonekane wana magari mengi?Kuna magari ya M4C yamekwama Kisumu.
Hongera mkuu tumekuona unajua kusoma na kuandika.