CHADEMA (Odinga) vs CCM (Uhuru) siasa za nje!

CHADEMA (Odinga) vs CCM (Uhuru) siasa za nje!

Viongozi wa CDM ambao walituma vikosi vya Kumsaidia Odinga wameumbuliwa na Matokeo ya Uhuru kuibuka Kidedea.

Walionyesha wazi kumuunga Odinga huku wakimponda swaiba wa Odinga Magufuri kuwa alitumwa na CCM.

Kwenye mitandao waliandika Matokeo ya kenya ndiyo refrection ya 2015. Yetu macho! KAZI IPO TANZANIA, akili nyingi maarifa hatuna.
Tunatafakari mambo mazito na kuyapa uwepesi. Huu ni uvivu wa kufkiri. Tuijenge Tz, siasa Mwisho wake kwa ushabiki huu siyo Mzuri.


Hivi Uhuru naye siyo mtu wa kaskazini, au anakuwa wakaskazini anapokuwa CDM? Teh teh, ccm kweli ni boti linalotitia majini!

Odinga na Uhuru wote ni watu wa kaskazini, tofauti ni kwamba ushindani wao unatokana na maslahi ya makabila yao, na siyo itikadi za kisiasa, in which case wapo CDM waliounga mkono Uhuru na wapo waliounga mkono Odinga kutokana na kushabiana kwa asili zao.

CCM wanaojaribu kutengeneza alliance na Wakikuyu wanapoteza muda wao tu, wale hawana siasa zenu za pwani ya mwambao, mipasho mingiii, wale wanaangalia maslahi ya kiuchumi siyo kucheza ngoma.

Tatizo la viongozi wengi na watu wengi wa TZ hatuna maslahi makubwa ya kiuchumi, utakuta interest zao kubwa ni either wanasomesha watoto wao Kenya, wameoa au kuolewa na wakenya au wanyumba ndogo zao huko.

Swali la kiuchokozi, hivi Wazanaki wanauhusiano na Wajaluo?
 
2015 tuikodi IEBC ituendeshee uchaguzi.
Wameonesha ufanisi walao.
 
Magamba tulien mtakiona 2015,wakenya ukabila umewaponza sasa ninyi tumewashitukia na sela yenu kwa kuwalagai wa tz kwamba cdm wanaudin wap point nyepec sana jiandaen kuitapika nchi.
 
Viongozi wa CDM ambao walituma vikosi vya Kumsaidia Odinga wameumbuliwa na Matokeo ya Uhuru kuibuka Kidedea.

Walionyesha wazi kumuunga Odinga huku wakimponda swaiba wa Odinga Magufuri kuwa alitumwa na CCM.

Kwenye mitandao waliandika Matokeo ya kenya ndiyo refrection ya 2015. Yetu macho! KAZI IPO TANZANIA, akili nyingi maarifa hatuna.
Tunatafakari mambo mazito na kuyapa uwepesi. Huu ni uvivu wa kufkiri. Tuijenge Tz, siasa Mwisho wake kwa ushabiki huu siyo Mzuri.

Kama hamjui utamaduni wa kimnataifa wa urafiki wa vyama bora ukae kimya,
Kama hujui siasa za kimataifa na misimamo ya vyama mbalimbali bora unyamaze unajitia aibu.

Narudia na mimi kusema, uchaguzi wa kenya ni taswira ya kutazama tufikapo 2015 hasa kwa kuzingatia maamuzi yatakayotolewa na kenya supreme court kwenye kesi ya Odinga dhidi ya matokeo haya ya uraisi.
Hii ni afya ya demokrasia ya nchi za africa mashariki.
Hii ni afya kwa vyama vyote vinavyotukuza demokrasia ya kweli na sio chadema pekee.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tusiwe tunaonyesha kiherehere chetu kwenye mambo ya msingi, itakuja kutu cost kama hii ya kenya,haijakaa vizuri kabisa
 
Kama hamjui utamaduni wa kimnataifa wa urafiki wa vyama bora ukae kimya,
Kama hujui siasa za kimataifa na misimamo ya vyama mbalimbali bora unyamaze unajitia aibu.

Narudia na mimi kusema, uchaguzi wa kenya ni taswira ya kutazama tufikapo 2015 hasa kwa kuzingatia maamuzi yatakayotolewa na kenya supreme court kwenye kesi ya Odinga dhidi ya matokeo haya ya uraisi.
Hii ni afya ya demokrasia ya nchi za africa mashariki.
Hii ni afya kwa vyama vyote vinavyotukuza demokrasia ya kweli na sio chadema pekee.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Hawa watu wasivyo na akili utafikiria wanafikiria kwa masaburi,mtu kaenda mahakamani badala ya kusubiri maamuzi ya mahakama yatoke kwanza ndipo waanze kuongea wanapiga kelele saa hivi,niwaulize endapo Mahakama itatengua uamuzi wa tume ya uchaguzi hivi mtaficha wapi sura zenu? na mtalii yuko Africa Kusini ameshatuma pongezi yakibadilika Je?
Halafu nafikiri ni bora kujiuliza kwamba kutokana na uchaguzi ule tumejifunza nini,sababu sio muda tutaingia kwenye uchaguzi je kipi ambacho tumejifunza kwani bado hatuna katiba mpya,tume ya uchaguzi mbovu inatakiwa iwe independent na isiwe inawajibika kwa rais kama ilivyo sasa hivi,watu wamekalia umbea tu kwamba Chadema walituma watu Kenya hivi mnao uthibitisho wa hayo mnayoyaongea?:A S 13:
 
Tazama citizen tv sasa utapata majibu raila yupo live

MAsikini Raila ni sawa na ng'ombe wa masikini asivyozaa. Baba yake alikataa kupokea uhuru wa kenya hadi Mzee Kenyatta afunguliwe toka gerezani. Mzee Kenyatta akafunguliwa na kupewa Uhuru kisha akamtupa mkono Jaramogi Oginga Odinga. Mzee wa watu akawa mpinzani baadaye vyama vikapigwa marufuku akabaki analia na kuomba apewe Urais japo kwa siku moja. Miaka ya tisini vyama vingi vikaruhusiwa mzee wa watu akaanzisha chama lakini Prof. wa siasa za Kenya akawashinda mwaka 1992.Mzee wa watu akafariki huku akililia Urais wa Kenya. Mwanaye Raila akadhani atamfuta Marehemu Baba yake machozi kwa kutwaa Urais lakini imekuwa ndoto naye huenda akaitwa mbele za haki bila kuukwaa urais.

Slogan ya Digital (kwa maana ya vijana UhuRuto) dhidi ya analogia (Raila na akina Kosgey) naona imefanya kazi sahihi. Kwa Tanzania tuangalie mwaka 2015 wazee wanaweza kuishia kulia dhidi ya wagombea vijana.
 
Mfa maji Mkuu....wanataka kujibabatiza na goli la mkono la Kenyatta eti na wao walihusika!!!! Duh!!!!! Hawana jipya watakumbatia hata visivyostahili kukumbatia ali mradi tu wapige mayowe.

Kweli Magambaz hamnazo, mmeshindwa kutatua matatizo yenu ya ufisadi, Rushwa, kushuka kwa kiwango cha elimu, ukosefu wa huduma za afya, n.k badala yake mnajipatia sifa za kijinga ati ushindi wa Uhuru umetokana na Umafya wa CCM katika uchakachuaji wa kura.
Pole yako mkuu, Mh. Mbowe yupo mjini Musoma akiisulubu CCM. Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Ha ha haa.......na huyu alimtambua?

11251.JPG
huyu ndo mwizi wa pesa za rambirambi kwenye misiba ya kina kanumba
 
Wana Jamii forum sikosa Tukalitafakari hili kwa pamoja,

Kwanza kabisa napenda kuwapongeza wananchi wa KENYA kwa kufanikiwa kupata Kiongozi ambaye ni chaguo lao.Napenda kumpa pole JK na serikali yake kwani ujumbe waliomtuma MAGUFULI kwa ODINGA umeshindwa na UHURU AMEFANIKIWA KUWA RAISI.

UNAFIKI MWENGINE NI WA CDM pale walipo mtuma MWNYEKITI WAO MBOWE kwenda kumpa SHAVU ODINGA KWANI NAO PIA UMESHINWA.

MWISHO mtaweka wapi nyuso zenu mbele ya MWANAMUME HUYU WA SHOKA UHURU KENYATTA. Eti JAKAYA KIKWETE UTAKWENDA kuhudhuria KUAPISHWA KWA UHURU KENYATTA NA MANENO YAPI YA KUMPONGEZA?
 
Hay jaluo kashindwa na Uhuru ni Raisi wa kenya tayari mbona wote hamrudi kuendela na hoja... Hii ndio Tz banaa
 
Back
Top Bottom