😛😛😛😛😛
Si wanasema siasa lazima uwe flexible
😛😛😛😛😛
Kwaiyo jamaa yupo flexible?😛😛😛😛😛
Si wanasema siasa lazima uwe flexible
hahahaha Yericko hakika dish lake limeyumbaMakaburi yanayofukuliwa ya uyu jamaa ni mengi sana View attachment 561658
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio. 😀😀😀😀
Dan haaaa haaa haaaa bora hata huyu jamaa nafsi ingemsutà matapishi yote haya jamaa anayarudisha tumboni kweliii aaaghhhhh. PfuuuuuuMakaburi yanayofukuliwa ya uyu jamaa ni mengi sana View attachment 561658
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi nyumbani kajenge hoja za ndani, usikimbilie Diaspora!Ni ukweli usiotiliwa shaka kuwa CCM inainjinia uchaguzi wa Kenya, na ipo upande wa Uhuru mmoja wa wagombea urais wa Kenya,
Vivyo hivyo chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA, kimejikita katika siasa za kimataifa kwa hapo Kenya huku karata yake kikiitupa miguuni mwa Raila Odinga mmoja wa wagombea anaepewa nafasi kubwa ya kushinda kupitia muungano wa vyama ndugu.
Vita hii tunaiangaza kama ni ya mapambano ya CHADEMA na CCM kuelekea 2015 hasa kila mmoja akisafisha njia ya kuungwa mkono kumataifa,
Ikiwa ni hivyo tayari CCM na CHADEMA kila mmoja ashashinda kete moja moja, kwanza ni CHADEMA Zambia kwa bwana Satta, na CCM Congo kwa kijana Kabila ambako dhahiri utawala unakula huku umeshikilia sahani mkononi kwani hakuna tumaini la kuweka mezani chakula chini ya M23.
Je ni CHADEMA (Odinga) ama CCM (Uhuru)
Karata yangu naitua kwa CHADEMA.
Dan haaaa haaa haaaa bora hata huyu jamaa nafsi ingemsutà matapishi yote haya jamaa anayarudisha tumboni kweliii aaaghhhhh. Pfuuuuuu
Mhenga uyu anajifanya zwazwa mkuu.
Huyu jamaa yaani wewe ni mjinga sana, anawakilisha bavicha wengi sana!
Huyu jamaa huwa hana aibu kabisa.Dan haaaa haaa haaaa bora hata huyu jamaa nafsi ingemsutà matapishi yote haya jamaa anayarudisha tumboni kweliii aaaghhhhh. Pfuuuuuu
Acha kumuumbua jamaa, makaburi yake yaliyofukuliwa mpaka sasa yanatosha!
Jasusi lenye zero brain!Jasusi Yericko Nyerere unaitwa huku.
Duh.Jasusi lenye zero brain!