Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,232
Mzee Kivuitu alishafariki? Ama kweli dhambi hulipwa hapa hapa.
Baba wa taifa alishafariki?Ama kweli dhambi hulipwa hapa hapa.
Mzee Kivuitu alishafariki? Ama kweli dhambi hulipwa hapa hapa.
Ni ukweli usiotiliwa shaka kuwa CCM inainjinia uchaguzi wa Kenya, na ipo upande wa Uhuru mmoja wa wagombea urais wa Kenya,
Vivyo hivyo chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA, kimejikita katika siasa za kimataifa kwa hapo Kenya huku karata yake kikiitupa miguuni mwa Raila Odinga mmoja wa wagombea anaepewa nafasi kubwa ya kushinda kupitia muungano wa vyama ndugu.
Vita hii tunaiangaza kama ni ya mapambano ya CHADEMA na CCM kuelekea 2015 hasa kila mmoja akisafisha njia ya kuungwa mkono kumataifa,
Ikiwa ni hivyo tayari CCM na CHADEMA kila mmoja ashashinda kete moja moja, kwanza ni CHADEMA Zambia kwa bwana Satta, na CCM Congo kwa kijana Kabila ambako dhahiri utawala unakula huku umeshikilia sahani mkononi kwani hakuna tumaini la kuweka mezani chakula chini ya M23.
Je ni CHADEMA (Odinga) ama CCM (Uhuru)
Karata yangu naitua kwa CHADEMA.
Hahaaa nimecheka bila kutaka mkuu,Thread hii ni sawa na watoto wamekaa pembeni ya barabara wantambishiana magari yanayopita," gari hii ya kwangu ona inavyokimbia".
Baba wa taifa alishafariki?Ama kweli dhambi hulipwa hapa hapa.
no research.............
No right to speak
Hahaaa nimecheka bila kutaka mkuu,
Umenikumbusha mbali sana, na hii ndiyo dhamira yangu halisi katika uzi huu,
Ni ukweli usiotiliwa shaka kuwa CCM inainjinia uchaguzi wa Kenya, na ipo upande wa Uhuru mmoja wa wagombea urais wa Kenya,
Vivyo hivyo chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA, kimejikita katika siasa za kimataifa kwa hapo Kenya huku karata yake kikiitupa miguuni mwa Raila Odinga mmoja wa wagombea anaepewa nafasi kubwa ya kushinda kupitia muungano wa vyama ndugu.
Vita hii tunaiangaza kama ni ya mapambano ya CHADEMA na CCM kuelekea 2015 hasa kila mmoja akisafisha njia ya kuungwa mkono kumataifa,
Ikiwa ni hivyo tayari CCM na CHADEMA kila mmoja ashashinda kete moja moja, kwanza ni CHADEMA Zambia kwa bwana Satta, na CCM Congo kwa kijana Kabila ambako dhahiri utawala unakula huku umeshikilia sahani mkononi kwani hakuna tumaini la kuweka mezani chakula chini ya M23.
Je ni CHADEMA (Odinga) ama CCM (Uhuru)
Karata yangu naitua kwa CHADEMA.
Kama CDM ni Raila mbona alikaribishwa na Magufuli?
Kwa hiyo na Magufuli ni CDM?
Sipati picha hapa.
Duuuh mkuu maneno mengine weka akiba ya uzeeni ndugu,nathubutu kusema kuwa wewe ni mpumbavu. kwa nini tunajadili uchaguzi wa wakenye kwa biasness? sisi sio wakenya, tuache kusapoti upande wowote na tuheshimu maamuzi ya wakenya. yoyote watakaemchagua sisi kama waTz tutamuunga mkono kama rais wa majirani zetu. nashangaa nyie wapumbavu mnaendeleza huu ujinga wakuchagua upande. pamoja na uswahiba mkubwa wa marekani na uk au israel, umewahi kuona yeyote katika nchi hizo akishabikia kiupande? kwa nini usifikirie hata hiki kitu kidogo tu. ama kweli JF kuna mataahira wengi na wewe ukiwemo.