CHADEMA ni Wacheza Disko - Prof. Lipumba

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
attachment.php
 

Attachments

  • SAM_2770.JPG
    SAM_2770.JPG
    114.2 KB · Views: 6,654
Alikuwa anamaanisha nini huyu mzee?,kumbe hata Kama umesoma sana haisaidii eeh?kwa kauli hiyo ya Lipumba na usomi wake tumtafsiri vipi?
 
Ukisikia Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Jua Limempata! Kauli za Lipumba tumeshazizoea wakati wa kampeni 2010 alisema Dr Slaa ni sisimizi hawezi kufananishwa nae yeye ni bora zaidi Lakini Box la kura lilimuumbua, sasa analia alidhani anawatu Kusini M4C imemaliza kazi kusini na kumwacha mtupu ni lazima atukane ameishiwa wanachama na hoja pia
 
huyu Prof. anajishusha thamani ni bora aachane na siasa anako elekea ni kubaya, na usomi wote huo bado ana-bwabwata!
 
Back
Top Bottom