Huyu Lipumba atatokwa na povu sana tu mwaka huu.
Ataongea sana. M4C ni twanga kotekote. Tukitoka kusini tunaenda Tanga..hahahaaaaa...mia
huyu Prof. anajishusha thamani ni bora aachane na siasa anako elekea ni kubaya, na usomi wote huo bado ana-bwabwata!
Kwani kasema uongo?