CHADEMA ni Wacheza Disko - Prof. Lipumba

CHADEMA ni Wacheza Disko - Prof. Lipumba

Alishaambiwa hakuna wa saizi yake CDM,,, Naona yeye anacheza kiduku tu. Anaandamwa na mzimu wa kukosa nafasi ya Mbatia kwa kuvunga.... Nadhani anafiki waTZ watamwamini kwa kuishambulia CDM.
 
Hivi kati ya JK na Chadema nani bingwa wa kucheza disko hapa nchini?
Lipumba aliwahi kusema JK ni mcheza mitindo na kuwa akishinda urais angempa wizara ya starehe. Baada ya matokeo, Lipumba akaridhia chama chake kiingie ndoa ya mkeka na CCM.
Kama kweli Lipumba kasema maneno haya (maana gazeti lenyewe Mzalendo!); kama kweli kasema kuwa CDM ni wacheza disko, basi yeye Lipumba ni DJ wa disko linalochezwa na CDM. Sasa DJ na mchezaji nani zaidi?
 
maprofesa mara nyingi sana huwa wanajichanganya sana sijajua tatizo lao nini!wengi wanalazimisha vipara kwa kunyoa nywele kuelekea nyuma ya vichogo kama anavyofanya lipumba,wamezoea kumeza vitabu tu halafu wanatembea wakijionesha kuwa wamesoma kumbe pumba tu zimebaki,aangalie asije akaona amesimama kumbe kesha anguka!
 
lipumba angekua nawashauri angeacha siasa.namuhurumiaga sana bas tu kafanya siasa muda now lakin mafanikio hamna.siamfukuze hamad rashid kwanza kabla hajaitukana cdm jaman mbona hivyo?
 
aaaagh shiiiit!!! nimeumiza macho yangu kusoma huu uzi nilidhani habari imepatikana kwenye source ya maana, kumbe imeandikwa kwenye Mzalendo?
 
Prof. atakuwa anajikomba ili aupate ubunge km mbatia, wote walewale.
Hili nadhani ndiyo tarajio. Lakini dalili za haya zilianza kuonekana wazi siku ile ya kumpongeza Kikwete kwa ushindi. Alipomkabidhi Kikwete kopi ya Itikadi ya chama cha CUF. Alionekana kama mwanafunzi anayekabidhi risala fulani hivi kwa mwalimu Mkuu. Kama uliona vizuri ile program kwenye TV hata former Mr. Clean alimcheka na kumshangaa sanaa. Profesa mzima Hovyoo!
 
Hivi Lipumba ni mwenyekiti wa CUF bara au hata visiwani? Mbona simuoni tena visiwani akitoa hata hotuba.

Katumika kama toilet paper na baada ya Seif kuwa ndani ya Serikali, Prof. Lipu katupwa chooni!
 
SCRAP EVER, Watawanenea kila jambo baya, watawatukana na kuwaita majina yote mabaya duniani, lakini msijali kwa kuwa niko pamoja nanyi, na pale mtakapokamilisha safari yenu, watagundua huyu ndiye yule alitebariwa kuwakomboa wananchi waliokuwa gizani kwa miaka 50... M4C as yesterday....
 
Hivi CCM B imebadili wenyeviti mara ngapi tangu ianze?? Nahisi hili ndilo tatizo la CCM B
 
Kama disko la chadema linasaidia kutetea rasilimali zetu,kututajia mafisadi wanao baka rasilimali zetu,kuchochea ccm kuiga sera kama katiba mpya,vita ya ufisadi nk wacha cdm waendelee kulicheza hili disko maana litatuvusha ng'ambo Watanzania!
 
Nakubaliana na gazeti, Chadema bana.....

Kapuya4.jpg
 
Alikuwa anamaanisha nini huyu mzee?,kumbe hata Kama umesoma sana haisaidii eeh?kwa kauli hiyo ya Lipumba na usomi wake tumtafsiri vipi?

I do not believe my ears if such statemet came from the mouth of the Proffesor.
Ndio maana anaogopa kugombea hata ubunge kwao Tabora!
 
Back
Top Bottom