Kwani kasema uongo?
Lipumba kimba kweli mpinzani anadis wapinzani kweli huyu ni ccm damu ku.........................ye zake!
Kwani kasema uongo?
CCM je?
Vaa gwanda
Lipumba kimba kweli mpinzani anadis wapinzani kweli huyu ni ccm damu ku.........................ye zake!
Hujui kama CUF ina tawala?
Magwanda nimeyavaa kabla chadema hawajaanza kuvaa yale magwanda ya wawindaji (wachungaji) wa kiingereza.
Yetu ya kijani.
Sasa hivi tunavaa uzalendo.
Hujui kama CUF ina tawala?
Magwanda nimeyavaa kabla chadema hawajaanza kuvaa yale magwanda ya wawindaji (wachungaji) wa kiingereza.
Yetu ya kijani.
Sasa hivi tunavaa uzalendo.
Nyie mnavaa yale matenge yenu ambayo yana fanana na DDT
Hujui wameshabadilisha jina la Chama na kuwa UAMSHO?
Magwanda nimeyavaa kabla chadema hawajaanza kuvaa yale magwanda ya wawindaji (wachungaji) wa kiingereza.
Yetu ya kijani.
Sasa hivi tunavaa uzalendo.
Hujui ulisemalo, muulize, bibiyo hajawahi kuvaa hayo "matenge".
Hujui ulisemalo, muulize, bibiyo hajawahi kuvaa hayo "matenge".
Ni kweli bibi yangu anayavaa kwavile CCM ni ya Mabibi ambao wamebakia wachache kwi! kwi! kwi!