Waliojiandikisha ku pita Ukraine in 70,000,walloping a Jura 20,000.kura 50,000 zimenunuliwa na ccm sass mnashangilia mini Kama sio ujuha wenu 2015 kitaeleweka.tuko kwenye tatu ya marehemu chagadema, tunasubiri kuanua tanga
Waliojiandikisha ku pita Ukraine in 70,000,walloping a Jura 20,000.kura 50,000 zimenunuliwa na ccm sass mnashangilia mini Kama sio ujuha wenu 2015 kitaeleweka.tuko kwenye tatu ya marehemu chagadema, tunasubiri kuanua tanga
Ni aibu kijana kuwa hivyo.. Labda kama ni mzee..lkn km kijana ujipange uwe na uwezo wa kujenga hoja
ES
Kwa hiyo kila mwananchi anayetaka kurejeshwa kwa Tanganyika amekosa kura Zanzibar! What a simple inference Mkuu!
Jambo moja ambalo ni la kushangaza ni kwamba CDM wamekuwa ni watu wa siasa za matukio, hawana msimamo hususani katika sera za chama chao,mf CDM na vyama vya upinzani ndio waliokuwa watu wa kwanza kuishutumu tume ya katiba kwamba imechaguliwa na mwenyekiti wa CCM hivyo itawakilisha maslahi ya CCM, leo CDM na washirika wake ndio wamekuwa watu wa kumtukuza Jaji warioba kwamba ni mtu asiyestahiki kupingwa kwa jambo lolote ! lakini walisahau kwamba wao hawakulioni hilo mwanzo wakati Rais amemteua Warioba kuwa mwenyekiti.
Sasa huu kama sio unafiki ni nini? ina maana CDM wapo kupinga jambo lolote ambalo CCM watalisema hata kama ni jema kiasi gani, vipi jaji walioba anaonekana shujaa wakati kina LISU na wenzake waliikosoa sana tume hii?
Wabunge,Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na viongozi wa CHADEMA wanastahili sifa. Katika maslahi ya Taifa,wako tayari kuungana na yeyote popote ili mradi tu maslahi ya Taifa yanalindwa na kutetewa. Wanaweza kushirikiana na mwanasiasa,mwanazuoni,mwanaharakati,mpendanchi na mzalendo yeyote na katika wakati wowote.
Wapo wanaoshangazwa na CHADEMA sasa kushirikiana na CUF na NCCR-Mageuzi katika kutetea Katiba mpya yenye masahi kwa wananchi wote.Wapo katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Pamoja na kuwa kila chama kilichopo UKAWA kila sera na malengo yake,tofauti zao zimewekwa kando kwa muda huu wa kuitafuta Katiba mpya. UKAWA wameivana na kuelewana kama waliotoka chama kimoja.
Wanasiasa wanapaswa kujifunza kwa CHADEMA.Wanapaswa kujua kuwa siasa ni hoja za wakati fulani ambazo si lazima zifanane kila uchao. Siasa ni mazingira na namna ya kujenga mantiki kutokana na mazingira yaliyopo. Siasa si kung'ang'ania jambo moja kwa muda wote eti tu kwasababu lina manufaa ya sasa. Vipi kuhusu baadaye?
Na wanasiasa wengine wangekuwa kama hawa wa CHADEMA,nchi hii ingekuwa mbali sana. Kila la kheri CHADEMA!
Yaani wabongo kwa unafiki huyu jamaa kuna post amejidai hana chama lakini post zake ni kusifia chadema tu! watanzania wa kusifia sifia unajua wametucost sana (unafiki mbaya) hili bandiko lako kama hujui historia vile na mgeni wa JF. Wenzie walikuwa wanawaita wake wenza/ wameolewa na viongozi wako waliwatupilia mbali katika serikali kivuli sema wamesoma alama za nyakati na hakukuwa na option nyingine. Viongozi wa Chadema hawako tayari kuungana na ukawa imekaa kichuga chuga.
Muungano utavunjwa na wanaojifanya kuulinda huku ukiwa na matatizo kibao.Ni kama kila siku kusuluhisha na kushawisi wanandoa waendelee kuishi pamoja huku kila mmoja akiwa hamtaki tena mwenzake. Matendo yetu kama watanzania ndiyo yatakayovunja Muungano
Yaani wabongo kwa unafiki huyu jamaa kuna post amejidai hana chama lakini post zake ni kusifia chadema tu! watanzania wa kusifia sifia unajua wametucost sana (unafiki mbaya) hili bandiko lako kama hujui historia vile na mgeni wa JF. Wenzie walikuwa wanawaita wake wenza/ wameolewa na viongozi wako waliwatupilia mbali katika serikali kivuli sema wamesoma alama za nyakati na hakukuwa na option nyingine. Viongozi wa Chadema hawako tayari kuungana na ukawa imekaa kichuga chuga.
Kumbe gamba sugu.. Ndo maana huwezi jenga hoja.. Ndo maana diaspora walikua wanapoteza muda wao kukufafanulia mambo madogo..ccm inaabishwa na ninyi ambao hamwezi kujenga hoja.. Ni kutukana tukana tu na kutoa mipasho..
kumba jamaa wa ujiji huyoo
Niliwahi ishi kwa miaka kama mitatu niwa nasoma Muungano primary school na baadae kigoma sekondary barabara zilikuwa mbili kutoka ujiji kwenda bandarini na kutoka mwandiga kwenda mwenga na haya yalikuwa ni maendelo ya takribani miaka (2003-1961)=42 year of development with CCM madarakani
kiwango cha lami ya mwandiga to kigoma mjini kilikuwa cha chini,nikiwa namaanisha baada ya kuweka viwango fulani vya moram sand na kushindilia huwa inamwagwa lami the kokoto ndogondogo by that time watu wa kigoma along that road walifurahi lakini kwa ukweli lami ilikuwa kwa kiwango cha chini sana
labda bosi anipatie upade ya kigoma .....................kwa maana anaipenda CCm na mdogo wake ACT may be there is a change
Walimpinga kabla ya kufanya kazi lakini wameona kazi yake imefanyika kwa uadilifu na ndiyo maana wamempongeza.Lakini wale waliomuamini toka mwanzo leo wanamtolea macho ndicho kitu cha kujiuliza kulikoni?
Nlijua tu utashindwa kupangua hoja.. Ni hasara kwa taifa kuwa na vijana kama wwwabeba box mna hali ngumu sana kiuchumi
wabeba box mna hali ngumu sana kiuchumi
chadema watanzania wameichoka .. ACT NDIO HABARI YA MUJINI
Mantiki gani iliyowaongoza kumpinga kabla ya kuona kazi yake ? ndio maana nikasema CDM wanafanya mchezo wa kuigiza ama wanataka kuhalalisha jina walinalo la wapinzani wakidhani kwamba kila jambo linalofanywa na CCM basi lazima lipingwe.ukitazama kwa umakini utagundua upinzani umempa support Warioba kwa sababu tu maoni yake yamekwenda kinyume na mtazamo wa CCM , laiti kama Warioba angetoa mapendekezo ya serikali 2 kama CCM wanavyotaka hakika leo hii sifa ya usomi na umakini wa Jaji warioba ungekuwa kituko kwa CDM.
Kimsingi nakubaliana na ukweli kwamba mazingira yamebadilika sana tangu muungano wetu uasisiwe, na hili ni jambo la kawaida,waasisi wa muungano wetu walikuwa sahihi kwa wakati wao kufanya yale waliyoona yanafaa kwa wakati wao, ni wajibu wetu sisi tuliopo sasa kuchukua hatua ya kuboresha mapungufu ya waasisi wetu wa muungano huu.kufikilia kwamba kuirudisha Tanganyika ndio kuuboresha muungano huu kwa maoni yangu sioni kma ni sawa, kwa sababu kuirejesha Tanganyika pia kutakaribisha changamoto zingine ambazo wakati tukiwa Tanzania bara hazikuwepo mf,sasa hivi tunasema sisi ni watanganyika kwa sababu tupo ndani ya muungano ndio maana tunataka au tunajitambulisha kama Tanganyika, lakini nje ya muungano sio watanganyika tu, bali kutakuwa na wabara na wapwani,mikoa iliyopiga hatua kimaendeleo na iliyonyuma, wasukuma , wachaga makabila makubwa na madogo.
Tanganyika itaibua tena utambulisho wa uchifu, umwinyi, lakini pia itarudisha nyuma harakati za kiuchumi za kikanda maana lazima mchakato mzima wa mashirikiano ya kiuchumi na mataifa mengine itasimama.
wakati tunajifunza kutoka katika mataifa mengine juu ya miundo na mifumo mbalimbali ya kiutawala, ni vyema pia tukajifunza yale mabaya yaliyokuta wengine, mf SUDAN kabla ya kujitoa kwa Sudan ya kusini walikuwa wamoja, ikaibuka hoja ya wakusini na kaskazini, matokeo yake Sudan ya kusini ikajitenga kutoka Sudan kaskazini wakati huo wanapambana na Sudan wajiita wao wasudan weusi wakusini wanaopigania maslahi ya weusi.
Kupitia azimio la umoja wa mataifa Sudan kusini ikawa nchi kamili miaka 3 iliyopita, sasa wale waliokuwa wanasema walikuwa wamoja kama Sudan ya kusini sio wamoja tena, kila mmoja ni shahidi kwa yale yanayotokea,tutakuwa ni watu wa ajabu tukidhani kwamba sisi ni watu wa pekee hatuwezi kupatwa na masaibu yanayowapata wengine kwa makosa yaleyale waliyowafanya wenzetu, ebu tujiulize ndugu zangu tunajifunza nini katika hilo?
Hivi umesahau kuwa hivyo vyama mnavyo jiunga navyo mlisema viliolewa na ccm?