CHADEMA ni "professional"

CHADEMA ni "professional"

...full respect cdm na ukawa,full respect wabunge wa bunge maalum la katiba kambi ya ukawa,shambulio lenu moja tu limewavuruga maccm na hawajielewi mpaka sasa....


Watu hasa Maccm hayana point siku zote nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali inayotolewa na viongozi wa upinzani UKAWA na wale wa CCM nikagundua Maccm hawana point kabisa. na nikakubaliana na hoja ya Mch. Msigwa kuwa wabunge wasomi walioko ccm akili wanaziweka mfukoni na wanajifanya hawanazo kwa muda ili mradi wapo ccm.

Kwanza kumbukeni kampeini za uchaguzi mkuu mwaka 2010 kwenye kipindi cha mchakato majimboni kilichokuwa kinarushwa na TBC muda huo na mkurugenzi wake alikuwa TIDO MUHANDO.Mnakumbuka kuwa wagombea wa ccm walikuwa hawatokei muda wa mdahalo na hatimaye kikawekewa mizengwe hakikufana vizuri. na baada ya uchaguzi TIDO MUHANDO alisimamishwa kazi TBC.Hapo mtajua kuwa hawa jamaa ni wepesi ,waoga, hawajiamini mbele ya hoja za msingi.

Pigeni chini maccm hawana kitu nchi yetu imeendelea kuwa maskini kwa muda mrefu tumechoka. October iwe ndo mwisho wao na wawe wapinzani.
 
Wabunge,Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na viongozi wa CHADEMA wanastahili sifa. Katika maslahi ya Taifa,wako tayari kuungana na yeyote popote ili mradi tu maslahi ya Taifa yanalindwa na kutetewa. Wanaweza kushirikiana na mwanasiasa,mwanazuoni,mwanaharakati,mpendanchi na mzalendo yeyote na katika wakati wowote.

Wapo wanaoshangazwa na CHADEMA sasa kushirikiana na CUF na NCCR-Mageuzi katika kutetea Katiba mpya yenye masahi kwa wananchi wote.Wapo katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Pamoja na kuwa kila chama kilichopo UKAWA kila sera na malengo yake,tofauti zao zimewekwa kando kwa muda huu wa kuitafuta Katiba mpya. UKAWA wameivana na kuelewana kama waliotoka chama kimoja.

Wanasiasa wanapaswa kujifunza kwa CHADEMA.Wanapaswa kujua kuwa siasa ni hoja za wakati fulani ambazo si lazima zifanane kila uchao. Siasa ni mazingira na namna ya kujenga mantiki kutokana na mazingira yaliyopo. Siasa si kung'ang'ania jambo moja kwa muda wote eti tu kwasababu lina manufaa ya sasa. Vipi kuhusu baadaye?

Na wanasiasa wengine wangekuwa kama hawa wa CHADEMA,nchi hii ingekuwa mbali sana. Kila la kheri CHADEMA!

Kuungana na yeyote ni kiini macho Mkuu, tumeshuhudia kejeli za wabunge wachadema, dhidi ya wabunge wa CUF, tumeshuhudia jinsi walivyo kuwa wakijisifu na kujigamba wao ndio wenye idadi kubwa ya wabunge hivyo hawahitaji kuungana na chamachochote na wakafanya hivyo, tumeshuhudia matusi kutoka kwa, Mchungaji Msingwa dhidiya CUF, tumeshuhudia matusi ya Mh. Wenje dhidi ya upinzani, tumemshuhudia mwanadada machachari wa chadema Halima Mdee nae akiwakejeli wapinzani ndani yabunge, achilia mbali kejeli na dharau zaMh. Mkurugenzi wa sheria sijui Tundu Lisu dhidi ya CUF na upinzani wote.
Sasa Baada yakupoteza nguvu ya ushawishi na mvuto kwa wananchi, iliwalazimu Chadema kurudinyuma na kula matapishi yao wenyewe. Hapa inaonyesha Chama hiki hakipo kwamaslahi ya umoja wao huo ulioundwa kwa mgongo wa katiba mpya, laiti kamawangalikua na uwezo wa kusimama wenyewe wasingeli mkaribisha mtu yeyote Yule.
Tunasubiri kwa hamu kubwa kuona kama watakubali ProfesaLipumba awe mgombea wa UKAWA, hapa sasa zitaanza kutolewa sababu kibao ilituwajitenge.
 
Kuungana na yeyote ni kiini macho Mkuu, tumeshuhudia kejeli za wabunge wachadema, dhidi ya wabunge wa CUF, tumeshuhudia jinsi walivyo kuwa wakijisifu na kujigamba wao ndio wenye idadi kubwa ya wabunge hivyo hawahitaji kuungana na chamachochote na wakafanya hivyo, tumeshuhudia matusi kutoka kwa, Mchungaji Msingwa dhidiya CUF, tumeshuhudia matusi ya Mh. Wenje dhidi ya upinzani, tumemshuhudia mwanadada machachari wa chadema Halima Mdee nae akiwakejeli wapinzani ndani yabunge, achilia mbali kejeli na dharau zaMh. Mkurugenzi wa sheria sijui Tundu Lisu dhidi ya CUF na upinzani wote.
Sasa Baada yakupoteza nguvu ya ushawishi na mvuto kwa wananchi, iliwalazimu Chadema kurudinyuma na kula matapishi yao wenyewe. Hapa inaonyesha Chama hiki hakipo kwamaslahi ya umoja wao huo ulioundwa kwa mgongo wa katiba mpya, laiti kamawangalikua na uwezo wa kusimama wenyewe wasingeli mkaribisha mtu yeyote Yule.
Tunasubiri kwa hamu kubwa kuona kama watakubali ProfesaLipumba awe mgombea wa UKAWA, hapa sasa zitaanza kutolewa sababu kibao ilituwajitenge.

Nani kakwambia kuwa ni lazima Prof Lipumba awe mgombea? Wewe unajitungia ngonjera kama kawaida yenu. kn hata hivyo ni ishara nzuri kwa vyama vidogo kuona umuhimu wa kukusanya nguvu kwa manufaa ya walalahoi kam sisi. Ninajua inawezekana unatukajeli kwa ID yako maana nyie ndoy wenye nchi pamoja na mali nyingi! Mkuu angalia nafsi yako isije kukusuta siko zijazo za mbele!
 
Back
Top Bottom