Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,350
- 271,739
Unajua siyo Lukuvi tu,leo ungemsikiliza Kigwangalla ndiyo ungejua ni namna gani hata ukiwa na madegree mengi tu lakini kama Uzalendo wako uko mashakani lazima uonekane kituko.
Kwa hiyo siyo makosa yao ni makosa yetu kuwapa nafasi ya kutuongoza lakini wametuona tu wajinga au shule yetu ni ya kuuliza na wao tu ndiyo walioelimika,wakati wengi wao kupata tu huo Ubunge wamehonga mpaka basi lakini wanajiona wako juu ya sheria.
Sikutegemea mtu daktari mzima anashindwa kuargue anabaki kufanya vihoja Bungeni.
HAMIS ni mtu wa kiwango cha chini sana !