KATIBA KWANZA majungu BAADAYE !
we msukule umeshaamka?
KATIBA KWANZA majungu BAADAYE !
wajua kaka yangu tatizo walilonalo wawakilishi wa muungano wa serikali mbili wamegubikwa na uwoga wa kutotaka kuzungumza na kuargue.hakika hakuna kitu kizuri kama maelewano,lakini kwa kulazimisha hatufiki kokote,mwisho wa sikuwajiuliza hivi hwa kwa nini wanatulazimisha?na hapo ni moja muungano utavunjika kwa vurugu,mauaji ambapo haya yote yangeweza kuepukika.
Hebu jiulize kwa nini tusikubaliane katika kutokubaliana?watoa hoja wachache na wengi wakubaliane kwenye hoja za msingi.tatizo litatuliwe kwa hoja?hivi katika hiyo katiba hata uwajibikaji,uadilifu na uwazi nao ni unafiki wa tume ya warioba kuyaweka?hivi kwenye hiyo katiba hakuna mzuri ya kuyafikiria zaidi ya muungano wa serikali mbili.tatu,moja nne nk.
Mwisho woga wa cdm ulikuwa valid sababu wateuliwa wengi wa rais hawatendi haki na uajibikaji ipasavyo.waangali wenyeviti wa tume ya uchaguzi,ya vyama vya siasa nk,hawatendi haki kwa vyama vya upinzani ndiyo maana wakawa na uwoga huo.wanasema mtu akiumwa na nyoka basi hata unyasi ukimgusa lazima apige mayowe na kutoa mbio,sawa ndugu.
Tushindane kwa hoja tupate katiba ya watanzania na siyo katiba ya ccm
we msukule umeshaamka?
msalimie mwigamba , mpe ujumbe kwamba ndiyo kishapotea hivyo ! bwana alitoa na bwana ametwaa ! Kwi! Kwi! Kwiii!!! Kuanzisha chama mchezo !
msalimie mwigamba , mpe ujumbe kwamba ndiyo kishapotea hivyo ! bwana alitoa na bwana ametwaa ! Kwi! Kwi! Kwiii!!! Kuanzisha chama mchezo !
Rasimu inasema serekali tatu wewe mbili zatoka wapi jibu huna.
Mimi si mnafiki.Labda wewe mwenzangu.Narudia tena,mimi sina chama chochote cha siasa nchini Tanzania na kwingineko.Kumbuka uanachama ni kadi. Nasimamia ukweli daima.Kwa wanaonijua wanaweza kushuhudia hapa. Kama kuongea ukweli ni unafiki,somo la kidini na kiraia halikukuingia vyema.
Ngoja nikuonyeshe unafiki wako ulipo, mwambie mtu ukweli hata kama una mahaba naye ili ajirekebishe kuliko kujifanya nice guy. Mara baada ya uchaguzi humu JF ilikuwa mwiko mtu kutaja au kupongeza NCCR na CUF kuna majina mlikuwa mmewapa kama CCM B & C, na mlifika mbali kuwaita CUF ni mke wa CCM. Kambi ya upinzani iliwakataa ktk kutengeneza wizara kivuli. Sasa huu uprofessional umetoka wapi? kwenye bunge la katiba au mngeanza kuwaomba radhi kwanza.
Maelezo haya mafupi yanakuelekeza kuwa ulichosema sio ukweli na rejea thread za wakati huo na tulikuwa tunawakataza msiseme hayo badale yake mlitushambulia na leo mmesahau. Kibongo bongo uanachama ni zaidi ya kadi na ndio maana mtu anahama chama na arudishi kadi. Wakereketwa na washabiki wa vyama ni zaidi ya uanachama hata CCM inaongoza nchi kutokana na wakereketwa, wafurukutwa na washabiki. Petro wewe hata kama huna kadi na kutokana na michango na thread zako wewe ni mfurukutwa na automatic chamani humo.
chadema wamesababisha ukawa imepoteza mvuto
wajumbe wa bunge la katiba kutoka ccm hata hawajui wameenda dodoma kufanya nini ? Aibu sana ! Wanalishwa hata visivyoliwa !
ACT anzisheni UKAWAMAKI- Umoja wa Katiba ya Wananchi Maustadh wa Kigoma ili mpate mvuto
ACT- Inlalilahi wa Inlailaihi rajioon
Waonee huruma,usiwe mkali sana!Naona hata wao wenyewe wameisha ona wanatatizo kwenye maoni yao
kalenga hadi chalinze bila bila
mijitu mingine ina elimu ya kutosha lakini unakuta inaburuzwa na mtu kama lukuvi !