CHADEMA ni "professional"

CHADEMA ni "professional"

- Kutetea kuvunja Muungano ndio kutetea masilahi ya wananchi, kwa vile tu hawawezi kupata kura Zanzibar ndio basi tuvunje muungano unasema ni kutetea masilahi ya wananchi, really?

- CUF walioko kwenye muafaka at one time mliwaita Mashoga then mkuangana nao, ila sasa mpo pamoja kudai masialhi ya wananchi kwa kutaka uvunja muungano, duh!!

ES

Yani maccm tabu 2u naomba sasa wanachadema hamna haja ya kuyajibu wala kuongea nayo kwa ukali bali 2yaelimishe 2u yataelimika. ila kiukweli chadema big up let us be unity and be together for the benefit of us with next generation. 2achane na maccm kwani yana uliza swali ukiyajibu yanasema umeyatukana.
 
- Muungano unatakiwa kurekebishwa sio kuuvunja kisa hamjawahi kupata kura Zanzibar ni wabaguzi wakubwa na wabinafsi wakubwa, kila uchaguzi mnashindwa halafu sasa kati kati ya mchezo mnataka kuhamisha magoli ili mshinde tu uchaguzi hatawezekana,

es

Yani wewe cjui kwani ni mzito sana kuelewa rasimu iko wazi haijasema muungano uvunjwe bali ufanyiwe marekesho kwa kuufanya uwe wa serekali tatu sasa wewe unadaka maelekezo ya mfalme jua na kusema muungano utavunjika acha uoga kuwa na critical analysis kijana nakuwa na mashaka wewe.
 
Napoona mtu anasifia na kushabikia wauwaji natamani kumchapa viboko. Chadema imemwagia watu tindikali, imelisha watu sumu, imelipua watu kwa mabomu, leo unatuletea siasa uchwara hapa

Angalia na huyu tena yani unasahau anayefanya vitendo hivi ni nani unakumbuka ya Mwangosi,ulmboka,mvungi na wengine acha ujuha kijana kama mheshima wenu. af mbona cku hizi achekicheki tena.
 
CDM ni chaguo la Mungu..

mara nyingi tukisema hivi huwa hawatuelewi , LAKINI KUFICHUKA KWA KILA NJAMA OVU DHIDI YA CDM SI BURE , ni mpango wa mungu kuwaumbua maharamia wa lumumba .
 
- Kutetea kuvunja Muungano ndio kutetea masilahi ya wananchi, kwa vile tu hawawezi kupata kura Zanzibar ndio basi tuvunje muungano unasema ni kutetea masilahi ya wananchi, really?

- CUF walioko kwenye muafaka at one time mliwaita Mashoga then mkuangana nao, ila sasa mpo pamoja kudai masialhi ya wananchi kwa kutaka uvunja muungano, duh!!

ES

Sasa naona unazeeka vizuri leo ujataja kabisa neno WARIOBA hapa kwa comment yako hongera sana
 
Watu wanashabikia serikali 3 kwakuwa tu Chadema inataka, always Chadema wako against na CCM! Ingekuwa CCM inataka serikali 3 Chadema wangetaka 2! Hawana sababu, Leo lao ni kuungana ili wachukue nchi maana Chadema Zanzibar haikubariki, Chadema iko kupotosha wananchi tu, viongozi wake wameshindwa kukiendesha chama itakuwa nchi? Chadema haina nguvu tena ndiyo maana wameamua kuungana na vyama peke yao hawawezi! Na Chadema ndiyo kiko mwishoni, na msitegemee serikali 3 hakuna kitu kama hicho.
 
Ivi CHADEMA si ndio waleee Mnaowaita CUF ,CCM B, na Mnauhakika hawa CUF kupitia UKAWA wana lengo moja . ( mfumo wa serikali ,nao CUF wanasupport Serikali tatu au!??
 
Alafu kumbe leo hata katiba yetu inatambua shirikisho sema CCM wenyewe ndo hawaelewi hilo wao wanadhani ni serikali 2 kumbe ni 3 japo si rasmi
 
Ivi CHADEMA si ndio waleee Mnaowaita CUF ,CCM B, na Mnauhakika hawa CUF kupitia UKAWA wana lengo moja . ( mfumo wa serikali ,nao CUF wanasupport Serikali tatu au!??
Binaadam mwenye akili huwa anakwenda na nyaki!
Na kama huwezi soma nyakati wewe ni sawa na mtambo unaohitaji muongozo yaani katiba mpya na serekali 3 ili ubongo wako usigande na kukupelekea kishindwa hata kupumua !
Pia unahijaji ushauri!
 
Wabunge,Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na viongozi wa CHADEMA wanastahili sifa. Katika masahi ya Taifa,wako tayari kuungana na yeyote popote ili mradi tu maslahi ya Taifa yanalindwa na kutetewa. Wanaweza kushirikiana na mwanasiasa,mwanazuoni,mwanaharakati,mpendanchi na mzalendo yeyote na katika wakati wowote.

Wapo wanaoshangazwa na CHADEMA sasa kushirikiana na CUF na NCCR-Mageuzi katika kutetea Katiba mpya yenye masahi kwa wananchi wote.Wapo katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Pamoja na kuwa kila chama kilichopo UKAWA kila sera na malengo yake,tofauti zao zimewekwa kando kwa muda huu wa kuitafuta Katiba mpya. UKAWA wameivana na kuelewana kama waliotoka chama kimoja.

Wanasiasa wanapaswa kujifunza kwa CHADEMA.Wanapaswa kujua kuwa siasa ni hoja za wakati fulani ambazo si lazima zifanane kila uchao. Siasa ni mazingira na namna ya kujenga mantiki kutokana na mazingira yaliyopo. Siasa si kung'ang'ania jambo moja kwa muda wote eti tu kwasababu lina manufaa ya sasa. Vipi kuhusu baadaye?

Na wanasiasa wengine wangekuwa kama hawa wa CHADEMA,nchi hii ingekuwa mbali sana. Kila la kheri CHADEMA!

Jambo moja ambalo ni la kushangaza ni kwamba CDM wamekuwa ni watu wa siasa za matukio, hawana msimamo hususani katika sera za chama chao,mf CDM na vyama vya upinzani ndio waliokuwa watu wa kwanza kuishutumu tume ya katiba kwamba imechaguliwa na mwenyekiti wa CCM hivyo itawakilisha maslahi ya CCM, leo CDM na washirika wake ndio wamekuwa watu wa kumtukuza Jaji warioba kwamba ni mtu asiyestahiki kupingwa kwa jambo lolote ! lakini walisahau kwamba wao hawakulioni hilo mwanzo wakati Rais amemteua Warioba kuwa mwenyekiti.

Sasa huu kama sio unafiki ni nini? ina maana CDM wapo kupinga jambo lolote ambalo CCM watalisema hata kama ni jema kiasi gani, vipi jaji walioba anaonekana shujaa wakati kina LISU na wenzake waliikosoa sana tume hii?
 
Binaadam mwenye akili huwa anakwenda na nyaki!
Na kama huwezi soma nyakati wewe ni sawa na mtambo unaohitaji muongozo yaani katiba mpya na serekali 3 ili ubongo wako usigande na kukupelekea kishindwa hata kupumua !
Pia unahijaji ushauri!

Naomba unishauri basi ndugu yangu ...nami niende na wakati .. sasa ukinilaumu kiasi hicho badala ya kunishauri ..utakua una maana gani .
 
Back
Top Bottom