CHADEMA ni Imara zaidi kuliko CCM

CHADEMA ni Imara zaidi kuliko CCM

Uimara wa chama unapimwa kwa kuwa na Jengo? Unajua kwamba TANU kabla ya kushika madaraka ya dola kilikuwa kinatumia majumba ya watu kwa ajili ya kazi za chama hicho. Unajua kwamba pamoja na majengo lukuki CCM waliyopora toka kwa watanzania wote chenyewe bado kinategemea kuchukua wanachama wa CHADEMA ili kujiimarisha!!?
Akili za vijana wa uvccm haziko salama. Mfano ni yule mwenyekiti wao.
 
Kuna siku niliuliza kama Mbowe anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ya Uenyekiti (itafika siku ataondoka tu) nani achukue nafasi yake. sijawahi kupata jibu. Lakini bado kila wakati likitoea jambo ndani ya CHADEMA lazima jina la Mbowe litajwe na kusemwa yanayotokea ni kwa kuwa yeye ni Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA.

Lakini uimara wa kitu hupimwa kutokana na mashambulizi ama majaribu inachokumbana nayo. CHADEMA tangu baada ya kujiuhisha (Rebranding) mwaka 2006 kimekuwa ni chama kinachopanda na kuoenesha uimara wa kupambana na matatizo yanayosababishwa na CCM pamoja na dola dhidi yake!

Kila likitokea jambo wapinzani wa CHADEMA hulifanya jambo hilo kama ni jipya na litaisambaratisha CHADEMA. Kama viongozi wa chama kutoka CHADEMA na kujiunga CCM wameshatoka hadi viongozi wa kitaifa na bado CHADEMA inasonga mbele.

Kwa ulinganifu CHADEMA ni chama Imara sana kuliko CCM kwa kuwa chenyewe kinafanya siasa bila ya kutegemea dola dhidi ya CCM ambayo bila ya kutegemea dola ni chama dhaifu sana kuliko hata TLP ya Mrema.
KUTOKA TARIME MKOANI MARA  Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe anawahutubi.jpg
 
Ccm ni kama mwanaume mwenye pesa anachukua mwanamke ampendaye kutoka kwenu, Mnajiona mko sawa na TLP mkose hata Banda?

Dunia ya leo hata Umoja wa Mabodaboda unajenga ofisi zao nyie mmekaa kuzungusha mikono.

Kuna sehemu kwenye vichwa vyenu haiko sawa.
Binafsi nitaamini tuna CCM iliyo imara siku watakapoamua kujipama kwenye sanduku la kura katika uwanja ulio huru. kwa sasa tusijiaminishe kuwa tunapendwa, mitaani tunavyosemwa ni tofauti mno! Sitaki niwaongelee CDM lakini CCM iliyo imara bado sijaiona!
 
HUWA NAJIULIZA:
Hivi ikitokea mtu MUME akawa anampiga MKEWE kila siku, kisha siku moja akaona jinsi askari wanavyomkung'uta au kuwakunguta raia wakiwa wanadai haki zao. Najiuliza Je! mtu MUME huyu anayo haki ya kuwaonea huruma wale wanaopigwa?

BEING NUTRAL DURING INJUSTICE IS EQUIVALENT TO BE SIDE OF THE OPPRESSOR
 
Chadema kama hawana tatizo vile, wakati wanachama wanazidi kukimbia!
Kwani CHADEMA ina wanachama wangapi? Kwa nini wanachama wanapotoka CCM na kujiunga CHADEMA huwa haionekani kama CCM inakufa? Iweje kifo kiwe kwa CHADEMA peke yake?
 
Kumtoa Mbowe CHADEMA ni kilio cha Muda mrefu cha waoga na wanaojua umuhimu wa Mbowe ndani ya Chama kwa muda huu
 
Write your reply...

Wacha kukimbia, watu wamekufa, wengine wana kesi kibao mahakani.
Wengine wapo Hsp majeruhi, lakini CHADEMA ipo full gado.
Kujenga demokrasia kunahitaji ujasiri.
Bila CDM Mhs Rais Magufuli asingekuwa kwenye hiyo position, CCM wangeendeleza wizi kama kawa ila waliogopa opposition wakafanya hivyo.
Kuwa mwelewa Tanzania tujikomboe!!
 
Hata mimi niliwahi kuwa kama wewe kushabikia huo upuuzi.

Mwanaume akianza kuweka makazi sehemu anajenga kabisa au kununua mali isiyoweza kuhamishika kirahisi ila kwenu Chadema hata nyumba hamna na bado mnajidai chama kikuu cha upinzani.

Jengeni nyumba mnatia aibu.
Wajenge halafu mpitishe bomoabomoa na kufuta hati zao za umiliki maana uwezo mnao.
 
Hata mimi niliwahi kuwa kama wewe kushabikia huo upuuzi.

Mwanaume akianza kuweka makazi sehemu anajenga kabisa au kununua mali isiyoweza kuhamishika kirahisi ila kwenu Chadema hata nyumba hamna na bado mnajidai chama kikuu cha upinzani.

Jengeni nyumba mnatia aibu.
CCM walijenga lini na wapi? Au wanakuficha walivyopora majengo ya serikali. Pole sana.
 
Kuna siku niliuliza kama Mbowe anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ya Uenyekiti (itafika siku ataondoka tu) nani achukue nafasi yake. sijawahi kupata jibu. Lakini bado kila wakati likitoea jambo ndani ya CHADEMA lazima jina la Mbowe litajwe na kusemwa yanayotokea ni kwa kuwa yeye ni Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA.

Lakini uimara wa kitu hupimwa kutokana na mashambulizi ama majaribu inachokumbana nayo. CHADEMA tangu baada ya kujiuhisha (Rebranding) mwaka 2006 kimekuwa ni chama kinachopanda na kuoenesha uimara wa kupambana na matatizo yanayosababishwa na CCM pamoja na dola dhidi yake!

Kila likitokea jambo wapinzani wa CHADEMA hulifanya jambo hilo kama ni jipya na litaisambaratisha CHADEMA. Kama viongozi wa chama kutoka CHADEMA na kujiunga CCM wameshatoka hadi viongozi wa kitaifa na bado CHADEMA inasonga mbele.

Kwa ulinganifu CHADEMA ni chama Imara sana kuliko CCM kwa kuwa chenyewe kinafanya siasa bila ya kutegemea dola dhidi ya CCM ambayo bila ya kutegemea dola ni chama dhaifu sana kuliko hata TLP ya Mrema.
Kweli...yan ccm tangu Mwenyekiti hadi Polepole wako kwenye panic...watu wanaongoza serikali lkn wako kwenye panic!
 
Ccm ni kama mwanaume mwenye pesa anachukua mwanamke ampendaye kutoka kwenu, Mnajiona mko sawa na TLP mkose hata Banda?

Dunia ya leo hata Umoja wa Mabodaboda unajenga ofisi zao nyie mmekaa kuzungusha mikono.

Kuna sehemu kwenye vichwa vyenu haiko sawa.
Waambie CCM wakuonyeshe nyumba moja waliojenga. Baada ya ndo uzungumze, usije ukawa kichekesho ewe mfia chama.
 
Uimara wa chama unapimwa kwa kuwa na Jengo? Unajua kwamba TANU kabla ya kushika madaraka ya dola kilikuwa kinatumia majumba ya watu kwa ajili ya kazi za chama hicho. Unajua kwamba pamoja na majengo lukuki CCM waliyopora toka kwa watanzania wote chenyewe bado kinategemea kuchukua wanachama wa CHADEMA ili kujiimarisha!!?
Anayejua historia ya nchi hii hawezi sema CCM ina mali hata moja. Tunajua zimetoka wapi.
 
Wenzao wanatafuna ruzuku wao ni kukata viuno.
Umekaa kubwabwaja hapo wanatoka watu chadema wanakuja kuwa viongozi wenu na nyie mpo tuu. Manake wapi Kuna vichwa ???? Jipeni moyo. Ngoja wafanye kazi ya upinzani ndani mwenu humohumo. Mjikute chama linasambaa Kama barafu
 
Uimara wa chama unapimwa kwa kuwa na Jengo? Unajua kwamba TANU kabla ya kushika madaraka ya dola kilikuwa kinatumia majumba ya watu kwa ajili ya kazi za chama hicho. Unajua kwamba pamoja na majengo lukuki CCM waliyopora toka kwa watanzania wote chenyewe bado kinategemea kuchukua wanachama wa CHADEMA ili kujiimarisha!!?
True
 
Kuna siku niliuliza kama Mbowe anapaswa kuondoka kwenye nafasi yake ya Uenyekiti (itafika siku ataondoka tu) nani achukue nafasi yake. sijawahi kupata jibu. Lakini bado kila wakati likitoea jambo ndani ya CHADEMA lazima jina la Mbowe litajwe na kusemwa yanayotokea ni kwa kuwa yeye ni Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA.

Lakini uimara wa kitu hupimwa kutokana na mashambulizi ama majaribu inachokumbana nayo. CHADEMA tangu baada ya kujiuhisha (Rebranding) mwaka 2006 kimekuwa ni chama kinachopanda na kuoenesha uimara wa kupambana na matatizo yanayosababishwa na CCM pamoja na dola dhidi yake!

Kila likitokea jambo wapinzani wa CHADEMA hulifanya jambo hilo kama ni jipya na litaisambaratisha CHADEMA. Kama viongozi wa chama kutoka CHADEMA na kujiunga CCM wameshatoka hadi viongozi wa kitaifa na bado CHADEMA inasonga mbele.

Kwa ulinganifu CHADEMA ni chama Imara sana kuliko CCM kwa kuwa chenyewe kinafanya siasa bila ya kutegemea dola dhidi ya CCM ambayo bila ya kutegemea dola ni chama dhaifu sana kuliko hata TLP ya Mrema.
bila kujitoa fahamu huwezi kunena haya
 
Tulioshuhudia mapito ya NCCR ya Mkapa tunashuhudia the same thing kwa Chadema ya JPM...Tunachoshangaa ni majasiri kama nyie mnaoamini Chadema ni ile ile ....badala ya kushtuka na kuchukua hatua ....tuliomjua Lamwai hatukuamini siku moja atakwenda CCM ....
Je unaamin ccm nje ya kubebwa na nguvu ya dola ni imara??
 
Chadema chini ya Mbowe ni imara mno, hata rais jiwe analijua hili ndio maana kwa hofu kubwa akapiga marufuku shughuli za vyama vya siasa kasoro chama chake kinyume kabisa na katiba ya nchi, anajua akiipa Chadema uhuru wa kufanya siasa zake kama matakwa ya katiba na sharia za nchi yalivyo hakika itakuwa aibu kwake yeye binafsi kama rais na chama chake
Umesema ukweli kama huyo jamaa kwenye avatar yako😀👍🏽
 
Back
Top Bottom