tzcountry I love
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 729
- 641
Wanachama hawakimbii wanahongwa na vyeo ccm!
Kwa hiyo mnataka Mbowe atoe hela yake mfukoni awahonge?
Watakaobaki chadema baada ya 2020 ni waumini wa kweli wa democrasia.
Bahati mbaya wengi walio ndani ya.ccm ni walinda tumbo zao tu!
Kwa hiyo shida ni kotekote!!!
Kwa hiyo mnataka Mbowe atoe hela yake mfukoni awahonge?
Watakaobaki chadema baada ya 2020 ni waumini wa kweli wa democrasia.
Bahati mbaya wengi walio ndani ya.ccm ni walinda tumbo zao tu!
Kwa hiyo shida ni kotekote!!!