Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mtafanya nini zaidi ya kuacha mafarakano? Maana taifa lina hitaji amani na mshikamano.
Sheria imefuata mkondo, mwamba yupo mahabusu. Hapa ni kusubiri sheria ifuate mkondo.
Hakuna haja ya kuwa na vinyongo, ungeni juhudi ili taifa lipate maendeleo. Hii ina maanisha kuwa mkubali matokeo na kuacha sheria ifuate mkondo.
Ungeni juhudi ili wananchi wapate maji, umeme, chakula na utawala bora.
Hili taifa ni la watanzania wote.
Sheria imefuata mkondo, mwamba yupo mahabusu. Hapa ni kusubiri sheria ifuate mkondo.
Hakuna haja ya kuwa na vinyongo, ungeni juhudi ili taifa lipate maendeleo. Hii ina maanisha kuwa mkubali matokeo na kuacha sheria ifuate mkondo.
Ungeni juhudi ili wananchi wapate maji, umeme, chakula na utawala bora.
Hili taifa ni la watanzania wote.