johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
ACT Wazalendo ina wabunge 4 wa kuchaguliwa.
CHADEMA ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa
CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa.
CHADEMA haina mbunge wabunge wa viti maalumu wanadai walishawafukuza.
J J Mnyika anasema CHADEMA ina wajibu kama chama kikuu cha upinzani.
Ndio nauliza CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo gani?
Kuuliza siyo ujinga
Maendeleo hayana vyama!
CHADEMA ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa
CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa.
CHADEMA haina mbunge wabunge wa viti maalumu wanadai walishawafukuza.
J J Mnyika anasema CHADEMA ina wajibu kama chama kikuu cha upinzani.
Ndio nauliza CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo gani?
Kuuliza siyo ujinga
Maendeleo hayana vyama!