CHADEMA ni chama cha kisichothamini wanasiasa vijana

CHADEMA ni chama cha kisichothamini wanasiasa vijana

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,573
Ni kitendo ambacho siyo kizuri kwa vyama vya siasa kushindwa kuwapa fursa wanasiasa vijana kuweza kufanya kazi za siasa. Ni kitendo cha aibu na ambacho siyo cha kiungwana kwa chama cha siasa kikubwa kama chadema kuendelea kuwakandamiza na kuwanyima fulsa wanasiasa vijana kufanya kazi za siasa pengine ni kwa hofu ya nafasi zao walizonazo kwenye vyama wanavyoviongoza.

Mfano mzuri ni pamoja na Zitto Kabwe ambaye ameonesha ushujaa katika kujenga hoja mbalimbali, lakini kafanyiwa hujuma na baadhi ya viongozi ndani ya chadema. wengine ni Ally Bananga na John Millya ambao chadema iliwahamisha kutoka CCM kwenda chadema na kimeweza kuwatumia kwa mda mchache na badaye kuwadampo na sasa hata kusikika tu hawasikiki tena.

Pia mipango inaendelea kusukwa kumwegua Halima mdee asigombee tena jimbo la kawe badala yake agombee Josefine mshumbushi, ni tetesi ambazo zina ukweli ndani yake.

Wito wangu kwa wanasiasa ni vema vijana wakapewa nafasi kuliko kuwabania kwani siasa za leo siyo za wazee bali vijana wanahitajika kushika siasa za taifa hili.
 
Ni kitendo ambacho siyo kizuri kwa vyama vya siasa kushindwa kuwapa fursa wanasiasa vijana kuweza kufanya kazi za siasa. Ni kitendo cha aibu na ambacho siyo cha kiungwana kwa chama cha siasa kikubwa kama chadema kuendelea kuwakandamiza na kuwanyima fulsa wanasiasa vijana kufanya kazi za siasa pengine ni kwa hofu ya nafasi zao walizonazo kwenye vyama wanavyoviongoza.

Mfano mzuri ni pamoja na Zitto Kabwe ambaye ameonesha ushujaa katika kujenga hoja mbalimbali, lakini kafanyiwa hujuma na baadhi ya viongozi ndani ya chadema. wengine ni Ally Bananga na John Millya ambao chadema iliwahamisha kutoka CCM kwenda chadema na kimeweza kuwatumia kwa mda mchache na badaye kuwadampo na sasa hata kusikika tu hawasikiki tena.

Pia mipango inaendelea kusukwa kumwegua Halima mdee asigombee tena jimbo la kawe badala yake agombee Josefine mshumbushi, ni tetesi ambazo zina ukweli ndani yake.

Wito wangu kwa wanasiasa ni vema vijana wakapewa nafasi kuliko kuwabania kwani siasa za leo siyo za wazee bali vijana wanahitajika kushika siasa za taifa hili.
944504_10200976768556913_667316611_n.jpg
 
Hivi kwako kijana ni umri gani ? mbona unajiaabisha, mimi kwa uelewa wangu more than 80 percent viongozi CHADEMA ni vijana, aibu yako
 
Kama naibu katibu mkuu anaweza kunyimwa fursa , sijui kwanini alipewa cheo kikubwa hivyo au kunyimwa fursa ndio unamaanisha kitu gani?
 
Ni kitendo ambacho siyo kizuri kwa vyama vya siasa kushindwa kuwapa fursa wanasiasa vijana kuweza kufanya kazi za siasa. Ni kitendo cha aibu na ambacho siyo cha kiungwana kwa chama cha siasa kikubwa kama chadema kuendelea kuwakandamiza na kuwanyima fulsa wanasiasa vijana kufanya kazi za siasa pengine ni kwa hofu ya nafasi zao walizonazo kwenye vyama wanavyoviongoza.

Mfano mzuri ni pamoja na Zitto Kabwe ambaye ameonesha ushujaa katika kujenga hoja mbalimbali, lakini kafanyiwa hujuma na baadhi ya viongozi ndani ya chadema. wengine ni Ally Bananga na John Millya ambao chadema iliwahamisha kutoka CCM kwenda chadema na kimeweza kuwatumia kwa mda mchache na badaye kuwadampo na sasa hata kusikika tu hawasikiki tena.

Pia mipango inaendelea kusukwa kumwegua Halima mdee asigombee tena jimbo la kawe badala yake agombee Josefine mshumbushi, ni tetesi ambazo zina ukweli ndani yake.

Wito wangu kwa wanasiasa ni vema vijana wakapewa nafasi kuliko kuwabania kwani siasa za leo siyo za wazee bali vijana wanahitajika kushika siasa za taifa hili.

unarap?
 
hizi thread nyingine hazipaswi hata kuendelea kuchangi , tuna mambo muhimu ya kujadili na wala si upuuzi kama huu
 
Sijui unataka kusikia nini hasa.Kuandika huku bila facts ni kushusha credibility ya JF.Do you know what entails to be a GT?

nini ambacho hujui ben kuhusu zito, twambie ambacho hujui kuhusu shonza au umeanza kujifanya ntoto.
 
elizea zitto afanyiwa nn? Chadema ni chama ambacho kina kinaongoza kwa vijana wengi kuliko chama kingine tz bisha nikuletee fact..
 
hizi thread nyingine hazipaswi hata kuendelea kuchangi , tuna mambo muhimu ya kujadili na wala si upuuzi kama huu

upi ni upuuzi na upi siyo upuuzi kama hutaki kujadili bora usepe mapema ,
 
elizea zitto afanyiwa nn? Chadema ni chama ambacho kina kinaongoza kwa vijana wengi kuliko chama kingine tz bisha nikuletee fact..

sipendi kurudia yaliyopita kama wewe ni mwana jf uliyehai unayajua haya kama hujui ben saa nane yupo on line muulize.
 
mbona hii ID inanukia mchemba mchemba, mkuu karibu tena kwi kwi kwi
 
Ni kitendo ambacho siyo kizuri kwa vyama vya siasa kushindwa kuwapa fursa wanasiasa vijana kuweza kufanya kazi za siasa. Ni kitendo cha aibu na ambacho siyo cha kiungwana kwa chama cha siasa kikubwa kama chadema kuendelea kuwakandamiza na kuwanyima fulsa wanasiasa vijana kufanya kazi za siasa pengine ni kwa hofu ya nafasi zao walizonazo kwenye vyama wanavyoviongoza.

Mfano mzuri ni pamoja na Zitto Kabwe ambaye ameonesha ushujaa katika kujenga hoja mbalimbali, lakini kafanyiwa hujuma na baadhi ya viongozi ndani ya chadema. wengine ni Ally Bananga na John Millya ambao chadema iliwahamisha kutoka CCM kwenda chadema na kimeweza kuwatumia kwa mda mchache na badaye kuwadampo na sasa hata kusikika tu hawasikiki tena.

Pia mipango inaendelea kusukwa kumwegua Halima mdee asigombee tena jimbo la kawe badala yake agombee Josefine mshumbushi, ni tetesi ambazo zina ukweli ndani yake.

Wito wangu kwa wanasiasa ni vema vijana wakapewa nafasi kuliko kuwabania kwani siasa za leo siyo za wazee bali vijana wanahitajika kushika siasa za taifa hili.

Nakuunga mkono Mkuu. hivi unakumbuka nini kuhusu Deus Mallya na Ludovick Joseph Rwezaura? hawa jamaa CHADEMA imewatumia sana kwenye harakati zao lakini mwisho wa siku wamewatelekeza
 
sipendi kurudia yaliyopita kama wewe ni mwana jf uliyehai unayajua haya kama hujui ben saa nane yupo on line muulize.

kwaiyo umekubaliana mimi kuwa asilimia kubwa ya uongozi chadema ni vijana sio?
 
Back
Top Bottom