Ni kitendo ambacho siyo kizuri kwa vyama vya siasa kushindwa kuwapa fursa wanasiasa vijana kuweza kufanya kazi za siasa. Ni kitendo cha aibu na ambacho siyo cha kiungwana kwa chama cha siasa kikubwa kama chadema kuendelea kuwakandamiza na kuwanyima fulsa wanasiasa vijana kufanya kazi za siasa pengine ni kwa hofu ya nafasi zao walizonazo kwenye vyama wanavyoviongoza.
Mfano mzuri ni pamoja na Zitto Kabwe ambaye ameonesha ushujaa katika kujenga hoja mbalimbali, lakini kafanyiwa hujuma na baadhi ya viongozi ndani ya chadema. wengine ni Ally Bananga na John Millya ambao chadema iliwahamisha kutoka CCM kwenda chadema na kimeweza kuwatumia kwa mda mchache na badaye kuwadampo na sasa hata kusikika tu hawasikiki tena.
Pia mipango inaendelea kusukwa kumwegua Halima mdee asigombee tena jimbo la kawe badala yake agombee Josefine mshumbushi, ni tetesi ambazo zina ukweli ndani yake.
Wito wangu kwa wanasiasa ni vema vijana wakapewa nafasi kuliko kuwabania kwani siasa za leo siyo za wazee bali vijana wanahitajika kushika siasa za taifa hili.
Mfano mzuri ni pamoja na Zitto Kabwe ambaye ameonesha ushujaa katika kujenga hoja mbalimbali, lakini kafanyiwa hujuma na baadhi ya viongozi ndani ya chadema. wengine ni Ally Bananga na John Millya ambao chadema iliwahamisha kutoka CCM kwenda chadema na kimeweza kuwatumia kwa mda mchache na badaye kuwadampo na sasa hata kusikika tu hawasikiki tena.
Pia mipango inaendelea kusukwa kumwegua Halima mdee asigombee tena jimbo la kawe badala yake agombee Josefine mshumbushi, ni tetesi ambazo zina ukweli ndani yake.
Wito wangu kwa wanasiasa ni vema vijana wakapewa nafasi kuliko kuwabania kwani siasa za leo siyo za wazee bali vijana wanahitajika kushika siasa za taifa hili.