Mtafaruku wa kisiasa ndani ya CDM halmashauri ya manispaa ya ARUSHA unazidi kuendelea. Madiwani waliofukuzwa na CDM wameandaa kikao jioni ya leo mjini Arusha kwa lengo la kuwapa wananchi hali halisi kuhusiana na sakata zima la CDM hapo A town. Tunaomba kwa mwenyezi mungu, sakata la CDM liishe salama ili chama kizidi kuchanja mbuga na kushiriki vizuri mchuano wa IGUNGA wasije kupata kisingizio watapopata kipigo cha mbwa mwizi jimboni IGUNGA wasije na kisinngizio cha mtafaruku wa A town.
Asante sana mwakilishi wao sikuwa naelewa kumbe kupeleka wagonjwa kwa babu ni jukumu la mbunge ngoja nimtafute mbunge wangu.1. matakwa ya chadema hayatekelezeki 2. wananchi wanataka kuona mabadiliko tangu wapewe madaraka 3. mbunge hakupita kuchukua hoja za kwenda nazo bungeni kutoka kwao pia hana msaada kwao mfano hakupita kwenye kata zao kuchukua wagonjwa na kuwapeleka kwa babu, 4. kutuhumiwa kuchukua rushwa kitu ambacho sio kweli na hili ndiyo wanataka kufungua kesi ili chadema iwasafishe kwenye mikutanoitakayofanywa na chadema...hayo ni baadhi ya madai yao..ila ngongo akija atayaelezea vema zaidi..
jamani msinisakame bure mimi nimemjibu huyo alieuliza madai yao..na kwa ukweli nimekuwa nikiwasiliana na madiwani hawa kujua madai yao lakini kamwe siwaungi mkono..nisomeni vizuri mabandiko yanguAsante sana mwakilishi wao sikuwa naelewa kumbe kupeleka wagonjwa kwa babu ni jukumu la mbunge ngoja nimtafute mbunge wangu.
<br />Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...<br />
<br />
NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!<br />
<br />
Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama. <br />
<br />
Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. <b>Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.</b><br />
<br />
Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...<b>ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!</b><br />
<br />
Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..<br />
<br />
...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.<br />
<br />
DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!<br />
<br />
Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!! <br />
<br />
Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
haha haha..mkuu usinichekeshe wakati nina hasira..ongopa mtu una msapoti kwa hari na mali..leo anasimamia madai kama eti mbuge hana msaada wowote hakuja kuchukua wagojwa kwenye kata yangu kwenda kwa babu kweli huyu ndie diwani tulie mhangaikia..Hivi hata wewe crashwise umeshachakachuliwa?
Mimi namweshimu sana crashwise kwa jinsi anavyotuletea habari za AR lakini siku za hivi karibuni anaonekana kama kaumizwa na kitendo cha madiwani kufuzwa ila bado anajitahidi sana ku balance habari asionekane yuko upande gani.Hivi hata wewe crashwise umeshachakachuliwa?
Kweli kuna kitu kinanipanda ninaporudishwa kuwafikiria "Madiwani waliofukuzwa" Sahihisho nijuavyo mimi wamefukuzwa uanachama CDM kwa hiyo mimi nakushauri elekeza mawazo yako kwenye kuboresha siasa za Arusha hata kama ni kufikiria ubora wa CCM ambao sisi wa Arusha hutuuoni.
Labda nikupe wazo la kufikiri. Kwani lazima kuwa madiwani? Kama jibu ni ndio wakatafute chama cha kugombea mbali na CDM.
Ingekuwa ni upuuzi kwa namana yeyote ...kuwakubali na kuwa nyeyekea madiwani kwa namna mambo yalivyokuwa...
NIDHAMU NA UWAIBIKAJI ...ni muhimu ...lazima wafukuzwe na wafukuzwe waende mbali kabisa.... MATOKEO YOTE TUTAYAPOKEA!!
Bora kutokee kitakachotokea kuliko kuanza kunyeyekeaana na kukubali vitisho .... vya aina hiyo ndani ya chama.
Hiyo haiatkuwa na HESHIMA WALA NIDHAMU yeyote sasa na siku zijazo. Lazima kukubali uamuzi hata chamamkivunjieke ...lakini kivunjike kwa heshima.
Kuogopa kupoteza mtu au kikundi cha watu ...kwani Chama kitavunjika ...ni Ujinga ...ujinga na udhaifu wa hali ya juu ..ule ambao umifikisha CCM na taifa hapa lililopo..Lina sambaratika kwa kuogopana na kupigiana magoti...!
Ujinga unaofanywa na vijikampeni vya kitoto vya KUVUANA MAGAMBA kwa woga na kutetemekeakea kule CCM ..IWE NI MWIKO ..
...NDIO IWE NI MWIKO CHADEMA ....NA HESHIMA YA CHADEMA IWE HIYO ..CHAMA KIBAKI AU KISIBAKI ..HATUTAKI MAMBO YA KIJINGA KAMA YA KUVUANA GAMBA...kwa udhaifu wa kutia Aibu chama na Taifa la Tanzania.
DO WHAT MUST BE DONE ...DO THE IMPOSSIBLE...TAKE WHATAEVER THE CONSIQUECESES! ..AND GOD BLESS IT..!!!
Hiiki ndicho kinakosekana nchini..hakuna ujasiri, ushujaa wenye upendo wa maamuzi mazito ulioshehini nidhamu na uwajibikaji!!
Hilo haliwezi kukwepa ili kurudisha heshima ya nchi na waasisi wake!
<br />CDM kazi wamemaliza na wamerudisha heshima ya chama. Wahuni hawana nafasi ndani ya chama makini.
<br />Mimi sina wasiwasi kabisa hata samaki akivuliwa huwa hafi mara moja atarukaruka baadae atanyooka mwenyewe <br />
hata hawa tuwape muda tutawasahau muda si mrefu.
Saharavoice,
Afadhali tukose viti in the short term ili tujenge uongozi bora in the long term.