km mtanzania wa kawaida ambaye nilipata fursa ya elimu nina uwezo mkubwa wa kutatua matatizo na hasa vikwazo vilivyo mbele yangu, CHADEMA km chama kw ufahamu wangu mdogo ina uwezo mara dufu lakini ktk hili nina mashaka sana mi ningekuwa chama ningefanya hivi:
Mikutano ikizuiliwa --------------------------------------nenda kwenye TV/Radio(target 65% of population)
Magazeti yakizuiliwa ---------------------------------Andaaa vipeperushi/mabango( target 30% of population)
Keep friends close and enemies closer.
Mikutano ikizuiliwa --------------------------------------nenda kwenye TV/Radio(target 65% of population)
Magazeti yakizuiliwa ---------------------------------Andaaa vipeperushi/mabango( target 30% of population)
Keep friends close and enemies closer.