CHADEMA ndicho chama makini kilichobaki Tanzania

Kubali kataa mbowe bonge la kamabda
Mbowe ndio kiongozi pekee wa upinzani nchini aliyeweza kuitingisha ccm kwa kiwango cha hali ya juu kuliko kiongozi mwingine yeyote ule katika historia ya vyama vyingi nchi tanzania
 
Naungana na wewe kuamini ukweli ulioubainisha,na kwa nyongeza chama hakiwezi endeshwa kwa umaharufu wa watu,razima katiba ieshimiwe na kila mtu.
 
mpango wa ccm kumtumia zitto kuiua chadema umefeli sasa wameamua kumsajili chini ya mwamvuli wa act
 
Na umakini wa chadema ndo maana inastahili kushika dola 2015.viongozi makini jamii ya mbowe na wenzake pale juu huwa hawazaliwi kila mara zaidi kwa karne wanaweza kuwa 2 tu.
 
intelijensia ya chadema iko makini sana ndo maana yote yalitabiliwa yametimia

Mkuu unenena ukweli mtupu mm naamini hakuna gamba ndani ya chadema litashindikana kungolewa
kumngoa zito peke yake ni mfano wa kuigwa na vyama vingine ambavyo wanachama wao wanafanya mambo bila kuzingatia taratibu na sheria
 
Itapendeza mkiendeleza harakati zenu mkaachana ACT make mnawapa credit ccm na kukifanyia ACT promo bila kujua.
 
Mwalimu nyerere watu wanaendelea kumpenda mpaka leo kwa kuwa ni mtu alikuwa anasimamia misingi ya sheria bila kujali nyadhifa ya mtu
 
nilishawah kusikia kastori flani hivi mtaan kuwa mbowe ni mtoto wa nyerere.stor hiz ni za kwel ukihusianisha na harakati zake?
 
Chadema ni chama makini sana kinafuata katiba kanuni na sheria walizojiwekea bila upendeleo wowote wa kuangalia nyadhifa ya mtu au kiongozi yeyote ndani ya chama
ukiwa mwanachama wa chadema lzm ufuate katiba kanuni na sheria
mwalimu nyerere alipata kusema kiongozi yeyote lzm afuate katiba ya nchi na ndio maana kiongozi yeyote ataapisha kwa katiba

Mbowe amebadilisha katiba ili awe mwenyekiti wa milele Chadema wote mko.kimya hakuna wa kumuuliza sababu chama ni cha ukoo wake na mkwe wake Mtei
 
kama watanzania tunataka kupiga hatua katika maendeleo basi hatuna budi kujenga taasisi imara yenye nidhamu lakini kama bado wasomi wanategemea umaarufu wa mtu basi watasubiri sana maana umaarufu wa mtu unakuja kwa fursa na si wakati wote fursa inakuwepo ndo maana kuna watu wengi maarufu leo wako wap? hinyo ni vema tuelekeze nguvu kujenga kujenga taasisi imara zenye nguvu na zinazojitegemea
 
Back
Top Bottom