KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
ritz kwanza ushawezeshwa na nape pia mafisadi wa ccm kununua laptop?? maana uliwai kulalamika kuwa huna kitendea kazi yani laptop, for sure kwa pumba ulizotoa ata wanao wasojua lolote watahoji credibility ya kilichomo katika kichwa chako kwani kama c tope basi umejaza mikamasi, maana ulichoandika ni ugolo mtupu.
ccm ndo inawaburuza watu kwa kuwahonga ili kuchaguliwa, pia kuwasafirisha watu kt mafuso ili kuhudhuria mikutano yao na kuonyesha kuwa ina mashaiki, we acha ktumia masaburi katika kujena hoja zisokuwa na mashiko.
zaid unasumbuliwa na njaa kwani ni wazi unatumwa na mafisadi pia magamba wa ccm kujibu na kupinga kila kilicho sahihi kwa chadema.
ccm ndo inawaburuza watu kwa kuwahonga ili kuchaguliwa, pia kuwasafirisha watu kt mafuso ili kuhudhuria mikutano yao na kuonyesha kuwa ina mashaiki, we acha ktumia masaburi katika kujena hoja zisokuwa na mashiko.
zaid unasumbuliwa na njaa kwani ni wazi unatumwa na mafisadi pia magamba wa ccm kujibu na kupinga kila kilicho sahihi kwa chadema.