Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Mtaishia kunusa tu na kusikia harufu lakini Hamli ng,oo.
nchi ina wenyewe hii
Picha hizo zinaanza kuja
Wakuu.Habari!!!
Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.
Kutoka Kahama
Reagia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
Je inawezekana kumtoa mtu aliyewekwa madarakani kwa wingi wa kura za wananchi na kuapishwa kisheria. Chadema lazima mtumie japo akili kidogo kujua kuwa hamtaweza kumng'oa JK mpaka miaka mitano yake imalizike. sasa msituletee balaa kwa maneno yenu ya uchochezi na kufarakanisha watu ili damu imwagike.
Sisi tunazidi kuomba amani itawale na wenye nia tofauti na hiyo Mola awaadhibu sana.
Hongera dada yangu na Mungu awatangulie daima tupo pamoja nanyi. Ninaomba nifahamu mikakati ya kuimarisha ofisi za CDM wilaya na mikoa kwa kweli nguvu inahitajika kufanikisha hili ninaamini hata ikiitishwa harambee tutafanikisha hili, kwa mfano ofisi ya CDM mkoa wa Dodoma inatia huruma ninaamini hata wewe dada yangu unapokuwa dodoma huwa haikupi hata hamu ya kwenda kupumzika au kufanyia kazi zako mahali pale. Mimi nipo tayari kulitetea hili la uimarishaji au ujenzi wa ofisi hizi
Hizi habari kama vile sizielewi au sijazitegemea...!?Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili..
Wakuu.Habari!!!
Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.
Kutoka Kahama
Reagia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
Naongeza zingine
Sisi tunazidi kuomba amani itawale
amani ya k*i*s*e*n*g*e anaitaka nani?
kikwete lazima ang'oke kwa maana dhambi alizotenda nchi hii ni kosa sawa na kosa la uhaini dhidi ya serikali yake mwenyewe.
nchi kama china RA na AL wangekuwa wamenyongwa.
lakini jk na genge lake wanamuandaa AL kuwa Rais.
this is purely ridiculous
Je inawezekana kumtoa mtu aliyewekwa madarakani kwa wingi wa kura za wananchi na kuapishwa kisheria. Chadema lazima mtumie japo akili kidogo kujua kuwa hamtaweza kumng'oa JK mpaka miaka mitano yake imalizike. sasa msituletee balaa kwa maneno yenu ya uchochezi na kufarakanisha watu ili damu imwagike.
Sisi tunazidi kuomba amani itawale na wenye nia tofauti na hiyo Mola awaadhibu sana.