CHADEMA naichukia kutoka moyoni

CHADEMA naichukia kutoka moyoni

Agogwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
2,742
Reaction score
3,009
ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:
 
ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:

Pole sana, kumbe bangi na sembe mbaya kiasi hicho? Yaani imekufanya vitu vizuri na vibaya unaviona kinyume chake! Kapate ushauri kwa Ray C uweze kupata unafuu.
 
Pole sana !jifunze kuzoea na kuivumilia hali hiyo!

makamanda 2.jpg
 
Ndio mapenzi yalivyo, baada ya miezi 9 kutematema mate, kichefuchefu kitaisha kabisa trust me
 
...kwa bahati nzuri ndo kwaaanza cdm ipo chapter two,utaipenda tu....
 
chadema sio mbaya ila wahuni wake ndio bangi tupu.
 
We kweli mjinga, jutahidi usitumie mlango wa kupitishia manure kufikiria,tumia ubongo utajua tu taratibu
 
ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:


Chuki dhidi ya mtu au kitu chochote bila sababu ni ajabu sana, unamimba Agogwe

maana hii inaweza kusababisha mtu kuchukia kitu bila sababu! kama siyo basi hauko salama mkuu
 
Ritz acha kuwapa wadogo zetu sembe hasa inayotoka mexico ni balaa, dogo tumekusoma na cdm ila utakufa utatuacha na ukombozi wa pili.
 
Baada ya mambo yako kuaribika lazima utaichukia chadema sana kila ulilofanya liko hadharani dunia nzima inafaham kama kuiba mali za uma ,ufisadi,kumwagia watu tindikali kuwang`oa kucha ,kuua waandishi wa habari ,kuwafanya watanzania mapunda ya kubeba unga na kali kuliko zote una meli uliyokuwa na bangi itali ikakamatwa ulisahau ukavuka mipaka itali siyo bongo utumie ufisadi wako kule ni sheria tuu huna baahati umekwisha kweli lazima uichukie chadema
 
we huna tofauti na kuku asiyejua anachkifanya. tukupeleke mirembe nahisi dish lako limeyumba
 
Back
Top Bottom