CHADEMA naichukia kutoka moyoni

CHADEMA naichukia kutoka moyoni

ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:

Agongwe wewe NYANI sasa chadema utaipenda vipi? Vyama vya manyani wenzio si vipo. Profile yako inajieleza kwamba wewe ni nyani MGONGWAJI HEHEHEHE
 
Duh! Mkuu punguza kidogo hasira sote tunajua kuwa chadema ni chama cha ajabu mkuu.
 
Agongwe wewe NYANI sasa chadema utaipenda vipi? Vyama vya manyani wenzio si vipo. Profile yako inajieleza kwamba wewe ni nyani MGONGWAJI HEHEHEHE
Wazazi wako wanahasara sana haya matusi yanatoka kinywani mwako kweli wafuasi wa chadema vichaa.
 
Wazazi wako wanahasara sana haya matusi yanatoka kinywani mwako kweli wafuasi wa chadema vichaa.

Nani kakuambia mimi chadema, Kumbe na wawe NYANI pia. Am too busy kuwa mfuasi wa chama chochote. Mauchawi na mauongo ntayaweza wapi? Making money is more important to me. Wewe KIMA endelea kua mfuasi wa wala pesa. Huo ndio UKIMA
 
eleza sababu za kuichukia CDM siyo unaharisha tu hapa jamvini.Pili,mtz yoyote anayeichukia CDM vyovyote vile anatembea gizani na CDM imemfunua madudu yake yamewekwa hadharani.
 
ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:



Wewe ni msanii tu wa fleva. Kama kweli ungekuwa na moyo na unayafikiria hayo unayoyasema sidhani kama kweli ungeichukia Chadema. Ilibidi kwanza ujiulize toka tupate uhuru mpaka leo hii TANU/CCM imekusaidia nini cha maana zaidi ya huzuni moyoni?
 
ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:
Pole sana. Kila binadamu anazo hisia zake kuhusu mambo mbalimbali. Ni kama mimi. Naichukia mno......(Angalia signature yangu)
 
Mimba inaweza ikakufanya ukachukia hata mumeo aliyekupa mimba
 
ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:

Kuna jinga moja huku niliko, linasema linayachukia MAJI toka ndani ya mtima wake.
 
ukweli toka ndani ya mtima wangu naichukia chadema vibaya sana sijui tu.:shut-mouth:

Nawapenda haters, cku zote wanafanya napiga hatua, so ukiichukia CDM itaendelea kupiga hatua mwisho wa siku utajibeba
 
Back
Top Bottom