CHADEMA, nafasi ya mbunge mlemavu iko wapi bungeni?

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
WanaJF,

Kuna maazimio yalifikiwa bungeni kuwa, vyama vyote vya siasa vitakavyopata fursa ya kuteua wabunge wa viti maalum, vitoe pia nafasi kwa walemavu katika nafasi hizo za viti maalum ili nao wapate uwakilishi wao bungeni.

CCM imefanya hivyo kwa kuteua albino mmoja na kana kwamba hiyo haitoshi, rais Dkt Magufuli akamfanya naibu waziri. Hivyo CCM imetimiza ahadi iliyowekwa katika maazimio ya bunge.

Je, ndugu zetu CHADEMA, albino wenu yuko wapi? Maana ni nyinyi ndio mlijifanya kutetea haki za walemavu, kuwa wana haki ya kuingia bungeni, iweje nafasi zote mlizokuwa nazo za viti maalum hamkutenga hata moja tu kwa ajili ya mlemavu!?

Taifa litawaamini vipi CHADEMA!? Hii tabia ya ukigeugeu na ndimi mbili itawagharimu milele.
 
WanaJF,

Kuna maazimio yalifikiwa bungeni kuwa, vyama vyote vya siasa vitakavyopata fursa ya kuteua wabunge wa viti maalum, vitoe pia nafasi kwa walemavu katika nafasi hizo za viti maalum ili nao wapate uwakilishi wao bungeni.

CCM imefanya hivyo kwa kuteua albino mmoja na kana kwamba hiyo haitoshi, rais Dkt Magufuli akamfanya naibu waziri. Hivyo CCM imetimiza ahadi iliyowekwa katika maazimio ya bunge.

Je, ndugu zetu CHADEMA, albino wenu yuko wapi!? Maana ni nyinyi ndio mlijifanya kutetea haki za walemavu, kuwa wana haki ya kuingia bungeni, iweje nafasi zote mlizokuwa nazo za viti maalum hamkutenga hata moja tu kwa ajili ya mlemavu!?

Taifa litawaamini vipi CHADEMA!? Hii tabia ya ukigeugeu na ndimi mbili itawagharimu milele.

we sio mzima , na napendekeza MODS huyu bwana apigwe BAN kwa lugha isiyokuwa na staha ya " albino wenu yuko wapi". Huyu mtu asiyekuwa na nidhamu haelewi ulemavu upo wa aina nyingi na CHADEMA bungeni yupo mama mlemavu wa macho na anajenga hoja vema sana.

Ni mimi HARBINDER SING SETH
 
WanaJF,

Kuna maazimio yalifikiwa bungeni kuwa, vyama vyote vya siasa vitakavyopata fursa ya kuteua wabunge wa viti maalum, vitoe pia nafasi kwa walemavu katika nafasi hizo za viti maalum ili nao wapate uwakilishi wao bungeni.

CCM imefanya hivyo kwa kuteua albino mmoja na kana kwamba hiyo haitoshi, rais Dkt Magufuli akamfanya naibu waziri. Hivyo CCM imetimiza ahadi iliyowekwa katika maazimio ya bunge.

Je, ndugu zetu CHADEMA, albino wenu yuko wapi!? Maana ni nyinyi ndio mlijifanya kutetea haki za walemavu, kuwa wana haki ya kuingia bungeni, iweje nafasi zote mlizokuwa nazo za viti maalum hamkutenga hata moja tu kwa ajili ya mlemavu!?

Taifa litawaamini vipi CHADEMA!? Hii tabia ya ukigeugeu na ndimi mbili itawagharimu milele.
Jitahidi kujisomea mambo mengine,Hakuna mbunge yeyote mlemavu wa ngozi ambaye ameteuliwa na CCM katika viti maalum walioteuliwa na CCM.
 
we sio mzima , na napendekeza MODS huyu bwana apigwe BAN kwa lugha isiyokuwa na staha ya " albino wenu yuko wapi". Huyu mtu asiyekuwa na nidhamu haelewi ulemavu upo wa aina nyingi na CHADEMA bungeni yupo mama mlemavu wa macho na anajenga hoja vema sana.

Ni mimi HARBINDER SING SETH

Tulia Wewe. Hiyo Ndiyo SIASA Hutaki JINYONGE Ila Ili Uwe Na AMANI Na FURAHA Nakushauri Tu Hamia au Rudi Chamani CCM Ule Maraha Ya KUTUKUKA.
 
Pombe amemchagua Zeruzeru kuwa waziri kwakuwa ni zeruzeru.
yani uzeruzeru wake umempa uwaziri.
only in Tanzania.
 
Ccm ni wapuuzi sana,Yani mmewageuza alibino mtaji wenu kisiasa,Mungu atawapiga mishipa wote kama ilivyokuwa kwa mkuu wenu,Alipwigwa Tezi.Zote ni dhambi za kuamini alibino ni utajiri.Ndio maana siku zote nasemaga CCM ni Zimwi nyonya damu.
 
WanaJF,

Kuna maazimio yalifikiwa bungeni kuwa, vyama vyote vya siasa vitakavyopata fursa ya kuteua wabunge wa viti maalum, vitoe pia nafasi kwa walemavu katika nafasi hizo za viti maalum ili nao wapate uwakilishi wao bungeni.

CCM imefanya hivyo kwa kuteua albino mmoja na kana kwamba hiyo haitoshi, rais Dkt Magufuli akamfanya naibu waziri. Hivyo CCM imetimiza ahadi iliyowekwa katika maazimio ya bunge.

Je, ndugu zetu CHADEMA, albino wenu yuko wapi? Maana ni nyinyi ndio mlijifanya kutetea haki za walemavu, kuwa wana haki ya kuingia bungeni, iweje nafasi zote mlizokuwa nazo za viti maalum hamkutenga hata moja tu kwa ajili ya mlemavu!?

Taifa litawaamini vipi CHADEMA!? Hii tabia ya ukigeugeu na ndimi mbili itawagharimu milele.
MABADILIKOOOO LOWASSAAA
 
WanaJF,

Kuna maazimio yalifikiwa bungeni kuwa, vyama vyote vya siasa vitakavyopata fursa ya kuteua wabunge wa viti maalum, vitoe pia nafasi kwa walemavu katika nafasi hizo za viti maalum ili nao wapate uwakilishi wao bungeni.

CCM imefanya hivyo kwa kuteua albino mmoja na kana kwamba hiyo haitoshi, rais Dkt Magufuli akamfanya naibu waziri. Hivyo CCM imetimiza ahadi iliyowekwa katika maazimio ya bunge.

Je, ndugu zetu CHADEMA, albino wenu yuko wapi? Maana ni nyinyi ndio mlijifanya kutetea haki za walemavu, kuwa wana haki ya kuingia bungeni, iweje nafasi zote mlizokuwa nazo za viti maalum hamkutenga hata moja tu kwa ajili ya mlemavu!?

Taifa litawaamini vipi CHADEMA!? Hii tabia ya ukigeugeu na ndimi mbili itawagharimu milele.


Bado kuna kiti kimoja Lubuva ameihatamia
 
possy yuko vizuri sana kuliko hata uyo mbunge wa shanga
jana Bungeni ameongea sentensi moja tu akadhihirisha akili zake ni kama za kibajaji na wewe.
au ndo mnawadekeza zeruzeru hata wakikosea ili msionekane wabaguzi?
 
WanaJF,

Kuna maazimio yalifikiwa bungeni kuwa, vyama vyote vya siasa vitakavyopata fursa ya kuteua wabunge wa viti maalum, vitoe pia nafasi kwa walemavu katika nafasi hizo za viti maalum ili nao wapate uwakilishi wao bungeni.

CCM imefanya hivyo kwa kuteua albino mmoja na kana kwamba hiyo haitoshi, rais Dkt Magufuli akamfanya naibu waziri. Hivyo CCM imetimiza ahadi iliyowekwa katika maazimio ya bunge.

Je, ndugu zetu CHADEMA, albino wenu yuko wapi? Maana ni nyinyi ndio mlijifanya kutetea haki za walemavu, kuwa wana haki ya kuingia bungeni, iweje nafasi zote mlizokuwa nazo za viti maalum hamkutenga hata moja tu kwa ajili ya mlemavu!?

Taifa litawaamini vipi CHADEMA!? Hii tabia ya ukigeugeu na ndimi mbili itawagharimu milele.
Kwani ulemavu ni ualbino pekee? unataka mpaka atajiwe nani ni mlemavu? baadhi ulemavu ni ujuao mimi ni pamoja na kuwa na Mshedede mkubwa kupita kiasi.
 
we sio mzima , na napendekeza MODS huyu bwana apigwe BAN kwa lugha isiyokuwa na staha ya " albino wenu yuko wapi". Huyu mtu asiyekuwa na nidhamu haelewi ulemavu upo wa aina nyingi na CHADEMA bungeni yupo mama mlemavu wa macho na anajenga hoja vema sana.

Ni mimi HARBINDER SING SETH
Minaona wewe ndio unayakuza
 
Cdm ni wabaguzi sana
Kama kuteua viti maalum nivituko hilo watalifanya
 
Mbunge mlamavu wa CHADEMA anaitwa Dr. Hellen Macha (PhD) ni mlemavu wa macho!

Mlemavu si lazima awe zeruzeru!
 
Back
Top Bottom