Nikiwa mtanzania mwenye uchungu na adha waipatayo walalahoi katika hospitali za serikali, chonde chonde uongozi wa CHADEMA uwaangukie madaktari kokote walipo na wawaombe warudishe majeshi, kwani uongozi wa CCM unachojali ni maisha yao tu na pamoja na familia zao.
Dr. Slaa tumia fursa hiyo kukutana na madaktari, kwani madaktari wanachohitaji hivi sasa ni faraja ili warudi kuwatumikia watz wenzao. Hiyo fursa ni adimu sana, thubutuni kuitumia na kurejesha imani kwa watanzania kuwa mnaweza kumaliza migogoro hatimaye watz wakapata huduma bora.
Natumaini baadhi ya washauri wa Dr. Slaa na Mbowe mpo hewani JF, tafadhali pokeeni ushauri wangu, MTAFAIDIKA SANA KISIASA NCHINI TANZANIA!!
Dr. Slaa tumia fursa hiyo kukutana na madaktari, kwani madaktari wanachohitaji hivi sasa ni faraja ili warudi kuwatumikia watz wenzao. Hiyo fursa ni adimu sana, thubutuni kuitumia na kurejesha imani kwa watanzania kuwa mnaweza kumaliza migogoro hatimaye watz wakapata huduma bora.
Natumaini baadhi ya washauri wa Dr. Slaa na Mbowe mpo hewani JF, tafadhali pokeeni ushauri wangu, MTAFAIDIKA SANA KISIASA NCHINI TANZANIA!!