Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
We made......Shensi sake
Labda anataka gawio la damu , kama mashirika yanapumulia mashine yanatoa wapi gawio ?
Acheni kujidanganya, ndio imetoka hiyo....upinzani bila mitaa mnajua kinachofuata mwakani? Yaani siasa itabakia JF na Twitter ...
Wewe ndiye unjifariji! Wana ccm wangelijitokeza, kuonyesha kuunga mkono, nao wamekataa!Mmhh kujifariji huku,
Watu hawajapiga kura sababu mfumo wa chama kimoja Hakuna umuhim wa kura
Nadhani sasa hata wanaccm wenye akili sasa wameanza kumgundua kuwa anaharibu nchi.
Wale washabiki viazi wao wanaendelea kumfuata kama watu walio lishwa limbwata la kizigua
subirini na 2020 msusie mkose na wabunge vitaasisi vyenu vife kifo cha mendemakuwadi wa ccm wenye vijimadaraka ni wachache sana. kiganjani hawajai. tuendelee kuwasusia hivi hivi hata 2020 na kuendelea ili mpaka ifike mahala siku ya kupiga kura wakapigiwe kura na watu wa familia zao tu. aibu ikawashike waaibike mpaka waitubu dhambi ya kusigina Katiba ya nchi.
maana ni kizazi kisichojitambua wacha labda watakuja wenye akiliMkuu hivi Akili yako inaona mbali kweli.. Unapoteza mitaa na vijiji harafu unasema Ni hatua nzuri kisiasa?
Hivi unapoambiwa Siasa Ni mchezo Mchafu huwa unaelewa Nini?
Kwa Hali hii CCM itaendelea kukaa Madarakani mpaka hiki kizazi kitakapotoweka.
Mkuu si ufurahi mepata ushindi wa mezani,Acheni kujidanganya, ndio imetoka hiyo....upinzani bila mitaa mnajua kinachofuata mwakani? Yaani siasa itabakia JF na Twitter ...
Who cares?Kibaka amekupora halafu unashawishi watu wasimkimbize ili umkomoe halafu akishatokomea kusikojulikana na mali yako unajisifia ulivyowashawishi raia wasimkimbize.
upinzani unachekesha sana. Tukubali tu hata kama inaleta hasira ila ccm imetushika penyewe. Haya what is next? 2020 tuna mpango wa kusema tumeibiwa au tutasusa? Kwa sasa ccm Baba Lao.
Utoto raha..muulize baba yako wakati wa mwalimu enzi ya chama kimoja kama watu hawakujitokeza hivi kupiga kuraSasa Kama wapinzani wameondelewa au wamejitoa unaenda uwanjani kufanya Nini? Hata JPM hakwenda kwa sababu hiyo hiyo
kama kweli ww ni mpinzani na unataka kuitoa ccm madarakani you should care, otherwise ni wale upinzani kelele na mafuriko Ila nyuma ya pazia wanaifanyia kazi chama Baba Lao kwa sasa.Who cares?
Upo vizuri upstair waliojitoa kushiriki uchaguzi kwa amri ya viongozi wa vyama basi vyama hivyo ndiyo vimezikwa rasmi hapa wanangojea tu mtifuano wa mwisho kabla ya uchaguzi mkuu wa mwakani halafu kila mtu afe na ubao wake,kuna wenyeviti kutoka upinzani wanatakiwa kukabidhi ofisi baada ya kutoshiriki kugombea kwa maelekezo ya chama na walikuwa na asilimia kubwa za kushinda sasa leo utamfata umwambie akusaidie ili ushinde udiwani,ubunge au urais!? Atakuelewa!!? 😜😜Acheni kujidanganya, ndio imetoka hiyo....upinzani bila mitaa mnajua kinachofuata mwakani? Yaani siasa itabakia JF na Twitter ...