Pole sana Dr.Kitila
Kwa hiyo unakiri wazi kabisa kuwa wenye fedha ndio wanaanzisha vyama
1. Kwa nini vyama hivi vinakosa michango ya watu?
2. Je ni mpaka lini Vyama hivi vitaendelea kuwategema viongozi tu wenye fedha , je wakifilisika chama ndio kimekufa?
3. badala ya kusema tu kuwa 'mnawategema viongozi kifedha' je mmefanya juhudi gani kuepuka tegemezi hizi za viongozi? Obama ansema walichangiwa mpaka dola 1 na watoto wa shule ili washinde uchaguzi
4. Je kama mnategema fedha za viongozi, lengo lao na dhumuni lao ni nini? maana kwa namna hii
(a) Chama kinakuwa hakina demokrasia
(b)kuwapinga kama wakikosea ni kazi..YES si watazira na kuondoka na fedha zao
5.Hivi hao viongozi hizo fedha wanazokopesha wanapolipwa wanalipwa na Interest?
6. Is this project of opposition parties is viable? to you?
Kama mpaka leo ni miaka zaidi ya 15 bado hamjaweza kuwa na uhakika wa michango ya wanachama wanaokipenda, hauoni CHADEMA SIO CHAMA CHA WATU.. CHAMA CHA WAJASIRIAMALI WACHACHE WHICH IS WRONG!
7.Ili nishike nafasi ya Mbowe ninatakiwa kuwa na Capital ya shiling ngapi Dr.??
teh teh teh teh
Wenye fedha wanapoanzisha chama lazima waweke kanuni zitakazolinda masilahi yao. Kama hiyo signatory lazima awe mwenyekiti na mwingine akijaribu kuuwania huo uenyekiti kutokana na kanuni zao ni za kimasilahi wanaona signatory itatoke nje ya control yao.
Wanamkanya kijana kaa chini tunaomba jitoe ,kijana akijitoa wazee wa kanuni wanaona masilahi yao ya u signatory kijana anayatia ktk hali tete ,huyu kijana pamoja amejitoa leo lakini siku za usoni atautaka tena u signatory. sasa kinachofuata ni kuhakikisha tuna m-changanya kijana ama ahame chama ama a give up.