Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Pesa ndo huwa inaongea tu kwakeEl kiboko!
Alimtongoza Mbowe hadi akaingia laini!
Utafikiri hajui kuongea
Pesa ndo huwa inaongea tu kwakeEl kiboko!
Alimtongoza Mbowe hadi akaingia laini!
Utafikiri hajui kuongea
Hoja zako haziko mashiko,unajitekenya na kucheka mwenyeweKUNA UCHUNGUZI NIMEUFANYA YA KWAMBA KUELEKEA 2020 NI SIKU YA ANGUKO LA CHADEMA
NA HIZI NDIO DALILI ZA ANGUKO LA CHADEMA.
1.TUNDU LISU KUGOMBEA URAISI TLS HAPA NINA MAANA 2020 ALISHAGUNDUA HAWEZI TENA KURUDI BUNGENI HIVO AMESHAJIANDAA HATA AKIUKOSA UBUNGE BASI ATABAKI KUWA RAISI WA TLS.
2.UCHAGUZI WA UDIWANI NDANI YA KATA 21 AMBAPO CCM ILICHUKUA KATA 20 CHADEMA 1
3.THE RISE OF ACT WAZALENDO AS OPPOSITION POLITICAL PARTY HAPA NINA MAANA 2020 HIKI NDO CHAMA KITAKACHOLETA UPINZANI.
4.UKIMYA WA JOHN MNYIKA NA TETESI ZA KUHAMIA ACT WAZALENDO.
5.UWEPO WA LOWASSA, SUMAYE KINGUNGE HADI 2020 UNAIFANYA CHADEMA KUWA NA MUONEKANO WA CCM B KWA SABABU WOTE WALIKUWA NDANI YA SYSTEM YA CCM.
6.CHADEMA KUKOSA AGENDA YA UFISADI AMBAYO ILIWAFANYA KIPINDI CHA NYUMA CHINI YA DK.SLAA ILIOIFANYA CHADEMA KUPOTEZA UMARUFU
7.KUKOSEKANA KWA DK.SLAA KAMA KATIBU MKUU AMBAYE NDIYE ALIYEIJENGA CHADEMA KUPITIA HOJA ZAKE KAMA EPA, RICHMOND, ETC .
MWISHO NINGEPENDA KUSEMA CHADEMA 2007 AGENDA ILIYOIFANYA IWE RAISED UP NI AGENDA YA UFISADI NA RICHMOND PALE MWEMBEYANGA SASA HIVI TANGU AONDOKE SLAA ILE CREDIBILITY YA CHAMA IMEZIDI KUSHUKA SANA .
HILI NI SOMO KWA WANACHADEMA AMBAO BADO WANA AMINI LEO IKIFIKA 2020 CHADEMA ITASHINDA WAKATI NDIO IMEZIDI KUPOTEZA MWELEKEO
Huwezi kutenganisha Serikali na CCMSiku hizi Kila shughuli ya W/Mkuu, Waziri, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa ni mkutano wa CCM. Kijani na njano ziko wazi. Hawafichi.
Ccm ndio serikali,huwezi kufananisha ccm na cdmMagufuli na mawaziri huwa wanafanya nini?
Nawashauri hawa ndugu zangu wa Chadema na wapinzani wote wajipange vizuri maana jinsi siku zinavyoenda naona dalili kabisa kwamba CCM watachukua nchi kiulaini sana
Kwa ufupi ni kama kwasasa Tanzania hakuna chama chochote cha upinzani chenye uwezo wa kuing'oa CCM 2020,upinzani umekosa hoja za maana kutwa kucha kujadili hoja za kipuuzi tu mara makonda mara bashite,wamesahau kabisa kuna watanzania wana shida ya maji,wanafunzi hawana madawati,madawa hospitallini hakuna na mambo mengine kibao.
Unauliza au unaota?Hapo umewaza kwa sauti au kimyakimya
Wamekuwa kama fisi anayemfuata binadamu kwa nyuma akidhani mkono utadondoka aule..matokeo yake wanaangukia kwa kina wema sepetu mfuga mashoga..kweli hakuna marefu yasiyo na ncha..the last days of chama cha demokrasia na maendeleoNawashauri hawa ndugu zangu wa Chadema na wapinzani wote wajipange vizuri maana jinsi siku zinavyoenda naona dalili kabisa kwamba CCM watachukua nchi kiulaini sana
Kwa ufupi ni kama kwasasa Tanzania hakuna chama chochote cha upinzani chenye uwezo wa kuing'oa CCM 2020,upinzani umekosa hoja za maana kutwa kucha kujadili hoja za kipuuzi tu mara makonda mara bashite,wamesahau kabisa kuna watanzania wana shida ya maji,wanafunzi hawana madawati,madawa hospitallini hakuna na mambo mengine kibao.
Namaanisha.wajipange wapate hoja nzuri ambazo zitauzika wmkwa wananchi 2020 huwenda wananchi wakawachagua lakini wakitegemea kwenda kama walivyo sasa hivi ikilu wataendelea kuiona TBC.Wajipange ya nini wakati una uhakika kuwa mtashinda?
Hapo sasaWajipange ya nini wakati una uhakika kuwa mtashinda?
Najwambia hawa watu ikilu wataisikia kwenye magazeti na Tv tu.Wamekuwa kama fisi anayemfuata binadamu kwa nyuma akidhani mkono utadondoka aule..matokeo yake wanaangukia kwa kina wema sepetu mfuga mashoga..kweli hakuna marefu yasiyo na ncha..the last days of chama cha demokrasia na maendeleo
Sasa kama ndiyo hivyo nini maana ya kuwa na upinzani?Suala la maji, madawati, matibabu ni la CCM maana vipo madarakani, vipi uzungumzie vyama pinzani kuwa vinawaza upuuzi? Je unafikiri vitoe maji na madawa pamoja na madawati ndo vichukue nchi au kipi ccm mpka sasa kimefanya cha msingi?