Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
usiwaalike nguruwe mezani! waache wajishibishe kwenye kinyesi chao!JF its for great thinkers,sasa mkuu hata wewe kama hujishindanishi na kujiwekea malengo bila shaka upo njia moja ya kushindwa,strong oppositions unaifanya serikali ya siku nayo kuwa imara;ukitoa simba au yanga kwenye ligi hiyo ligi sidhani kama itakuwa na msisimko tuliokuwa nao sasa.sasa naogopa wewe usije kuwa mmoja wapo watakao kuwa wanaulizia upinzani uchaguzi ujao wakati unashuhudia upinzani ukifutwa ndani ya nchi,kutofautiana kisiasa kwa sasa tumeshaanza kutokuzikana,wapinzani sio watanzania ni maadui hizi ni lugha mbaya mno.