Nakupongeza sana mkuu kwa kuliona hilo!!!! Una mtazamo wa kimapinduzi kabisa. Wengi wanaoisapoti sisiem ni wale wenye maslahi nayo, wale wajinga wasioelewa chochote na wafanyabiashara wanahofia chama kingine kikiingia madarakani kitafichua mbinu zao za kukwepa kodiHoja ya ukabila ni janja ya sisiemu ya kujihami. Kwa taarifa yako CHADEMA inakubalika katika miji mikubwa ya Tanzania ikiwemo Mbeya, Arusha, Moshi, Iringa, Mwanza n. k ambako kuna mchanganyiko wa makabila. It is too late now for sisiemu kusema CHADEMA ni chama cha wachaga!! Watanzania wameamka na hawadanganyiki tena na sisiemu. Watu ambao bado wanaisupport sisiemu kwa sasa ni wale walio kwenye system pamoja na familia zao, mafisadi na watanzania waishio vijijini na wasio na uelewa wa mambo. Shame upon sisiemu!!!