Inafurahisha sana watu wanavyopenda kuharibu hata jambo zuri kwa faida wasizozijua (au hasara)
Mfano, CDM ikiwa juu, wakati inaongozwa na mchaga, ikaleta mabadiliko mazuri tu kwa faida ya watanzania wote kuna shida gani? au ni bora tuendelee na ujinga huu hadi tupatme mtu jasiri mwenye uwezo na kukubalika au kuwa radhi kukaa front line ya haya mapigano ambaye si mchaga, si mkwere, si mkristu, si muislamu, si...... ndo tuanze kumuunga mkono?
Hatudanganyiki,
Ila tunaelewa woga ulionao, mabadiliko hayatakuwa madogo, na inawezekana, maisha yako na wenzako/wenzenu yakabadilika kabisa.
Inawezekana yakawa mazuri zaidi nafsini mwako, na mbele za wanao, ukadhubutu kuwaonyesha watoto wako payslips zako na chanzo cha mapato yako bila hofu, wakati utakapozeeka, utadhubutu kuwashauri watoto wako wapiganie kuwa raia wema wema wa nchi yao, wawe waadilifu.
Manake sijui sasa unawafundisha nini????
Uhakika ni kuwa unafiki wa Watanzania utabadilika na kuwa kifua mbele kusema tunaipenda nchi, viongozi wetu wakiwa mstari wa mbele!!
Tunisubiri hio siku kwa hamu!!!
MAPAMBANO NDO KWANZA YANAANZA
Tunataka mtu jasiri, mkweli, asiye mnafiki, mwenye kuipenda nchi kiukweli, mwenye uchungu wa maendeleo ya watanzania, asidanganya na mafisadi haraka.
Above all mwenye kuona mbele, na mwenye plans. (any tribe/religion) Hata CDM ikifa vita vita itaendelea.
Mfano, CDM ikiwa juu, wakati inaongozwa na mchaga, ikaleta mabadiliko mazuri tu kwa faida ya watanzania wote kuna shida gani? au ni bora tuendelee na ujinga huu hadi tupatme mtu jasiri mwenye uwezo na kukubalika au kuwa radhi kukaa front line ya haya mapigano ambaye si mchaga, si mkwere, si mkristu, si muislamu, si...... ndo tuanze kumuunga mkono?
Hatudanganyiki,
Ila tunaelewa woga ulionao, mabadiliko hayatakuwa madogo, na inawezekana, maisha yako na wenzako/wenzenu yakabadilika kabisa.
Inawezekana yakawa mazuri zaidi nafsini mwako, na mbele za wanao, ukadhubutu kuwaonyesha watoto wako payslips zako na chanzo cha mapato yako bila hofu, wakati utakapozeeka, utadhubutu kuwashauri watoto wako wapiganie kuwa raia wema wema wa nchi yao, wawe waadilifu.
Manake sijui sasa unawafundisha nini????
Uhakika ni kuwa unafiki wa Watanzania utabadilika na kuwa kifua mbele kusema tunaipenda nchi, viongozi wetu wakiwa mstari wa mbele!!
Tunisubiri hio siku kwa hamu!!!
MAPAMBANO NDO KWANZA YANAANZA
Tunataka mtu jasiri, mkweli, asiye mnafiki, mwenye kuipenda nchi kiukweli, mwenye uchungu wa maendeleo ya watanzania, asidanganya na mafisadi haraka.
Above all mwenye kuona mbele, na mwenye plans. (any tribe/religion) Hata CDM ikifa vita vita itaendelea.