The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Jamani wale waliotazama tv leo mmeona nchimbi
alivyozungumza kuhusu mbio za mwenge mwaka huu
utasema jambo la maana sana......
sasa najiuliza hivi hizi mbio za mwenge zitapigwa lini
marufuku?????????
hivi sera za vyama vingine hasa CHADEMA kuhusu
hizi mbio za mwenge ni nini?????????
mimi nataka kuona zinapigwa marufuku haraka sana...........
alivyozungumza kuhusu mbio za mwenge mwaka huu
utasema jambo la maana sana......
sasa najiuliza hivi hizi mbio za mwenge zitapigwa lini
marufuku?????????
hivi sera za vyama vingine hasa CHADEMA kuhusu
hizi mbio za mwenge ni nini?????????
mimi nataka kuona zinapigwa marufuku haraka sana...........