Masaningala
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 543
- 199
Uhuru aliungwa mkono pekee kama mgombea. Ndio maana mahakama ilimsafisha kuwa hana hatia katika kesi hii. Mwenye hatia ni IEBC kutokuendesha uchaguzi kwa kufuata katiba. IEBC wamelitia taifa la Kenya hasara na nadhani hata Uhuru mwenyewe atawawajibisha. Kumuunga mkono mgombea tarajia mawili; kushinda au kushindwa na unapostahimili hili na kushindwa, wewe ni jasiri. Kuhama ni woga.Aibu Mi nahama Chadema
Sent using Jamii Forums mobile app