CHADEMA na Lowassa kwa Ushindi huu wa Raila Odinga mtaweka wapi sura zenu?

Wewe ndo uwaze, utaiweka sura yako wapi pindi UKAWA utakapochukua nchi! Mlipompoka Urais Maalim Seif kule Znz kwani tuliweka wapi sura zetu? Imeonesha wazi kuwa Mahakama ya Kenya haina uamuzi wa "kutegeshea", haina "amri kutoka juu"!
Sasa hv CCem mnawoga wa "mbuni ". Mnaona HATARI inakuja, mnaficha kichwa shimoni huku "minofu yote(kiwiliwili) iko nje, UKAWA hatuwaachi, tunaondoka na "minofu "! Subirini muone!!!!
 
Hila tulisema chadema kaeni kimya lowasa afanye kwa mapenzi yake. Sasa kuna wengi wanaumia na kusononeka kwa maamuzi hayo. Kuna siku watasema.
 
HADI MAJAJI WAMEKUBALI UCHAGUZI URUDIWE UJUE HAPO KUNA UCHAKACHUAJI ULIOONEKANA DHAHIRI..NA NDIO MAANA HATA UHURU HAKUBISHA BAADA YAKUONA LIMESANUKA..
TUKUMBUKE HAPAHAPA TZ WAKAT WA UCHAGUZI WALIKAMATWA FASTAAAA HAO WATU WALIOKUA WAKITAKA KUCHAKACHUA KURA KUPITIA MITANDAONI(HACKERS)
WAKIWEMO RAIA WA KOREA,WAJERUMANI,NA WATZ PIA
BAADA YA KUDAKWA TU HAO JAMAA NGUVU NA IMANI ILITOWEKA KABXAA KWA WAPINZANI

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Hata mimi naamini LOW IQ ndiyo shida.

IQ yakutisha supreme court! IQ ya kumpoteza Chris.
Lowassa ni rafiki wa Nkurunzinza....jiandaeni kumsupport mudab ukifika.

CHADEMA YA SASA HAINA TOFAUTI YEYOTE NA CCM. OVYO KABISA.
Pole sana hakuna anyemtetea Kenyatta,bali tunamsupport sababu ya IQ yake tu
 
Hata mimi naamini LOW IQ ndiyo shida.

IQ yakutisha supreme court! IQ ya kumpoteza Chris.
Lowassa ni rafiki wa Nkurunzinza....jiandaeni kumsupport mudab ukifika.

CHADEMA YA SASA HAINA TOFAUTI YEYOTE NA CCM. OVYO KABISA.

Pole sana kuitisha au kutoitisha ni hulka ya Binadamu kupokea changamoto zinazomjia.
 
Chadema wanamsuport Uhuru Kenyata na walisema uchaguzi wa kenya ulikua wa huru na haki wakati huo huo wakimuita Kenyata kama "Father of Democracy" in Africa . (Hii ilikua as soon as matokeo yalivyotangazwa na IEBS).

Baada ya Kutenguliwa kwa Uchaguzi uliompa Kenyetta Uraisi ,sasa wamerudi a pongezi kwa alichokiamua Jaji "David Kenani Maraga".

Sijayaelewa baadhi mambo kuhusu kigeu geu hiki cha CDM.

Chadema walikua wa kwanza kusema uchaguzi ulikua Huru na Haki,iweje sasa Maamuzi ya Jaji yawe Sahihi zaidi kuliko walichokishuhudia kabla ya maamuzi ya jaji .
Tuache misimamo "bendera fuata" upepo na muwe na aibu na misimamo mnayojiwekea .
Binafsi nadhani hamjui mnachokisupport kuhusu uchaguzi wa Kenya bora mkae kimya kwani hata huyu Kenyeta na Jubelee kwa ujumla hawawaelewi wa kuwatambua.
97b5b127ef6943a18af97b4c5f602c15.jpg
 
Nguvu hiyo hiyo anayoitumia polepole kuikana kauli ya Kikwete

Ndio nao wanatumia ndio iliitwa siasa ndio ilivyo

That's how politicians behave .
 
Nilitegemea kuwa kwa ushindi mnaushangilia wa odinga mngeshauri na nchi yetu iwena uwezo wa akina odinga wetu nao waweze kuhoji ushindi waakina kenyata wetu bila hivyo ushangiliaji wenu ni aina fukani za maporojo
 
Mahakama ya juu(Supreme Court) imetoa maamuzi ambayo yamebatilisha matokeo ambayo yalimpa Ushindi ya kiti cha Urais Bwana Uhuru Kenyatta pale Agosti 8 mwaka huu.

Ikumbukwe kwamba chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mwenyekiti wake Freeman Mbowe walitangaza kumuunga mkono Bwana Uhuru Kenyatta katika uchaguzi huo.

Hiyo ilishangaza watu kwani kwa mara ya kwanza chama cha upinzani kiliunga mkono chama tawala kushinda uchaguzi.

Baada ya hapo tulimshuhudia Mjumbe wa kamati kuu ya chadema lowassa akajipeleka nchini Kenya akapanda jukwaani kumnadi Bwana Uhuru Kenyatta.

Baada ya matokeo ya uchaguzi viongozi na wanachama wa chadema walifurahia sana baada ya Uhuru kushinda uchaguzi na wakasema eti Kenya kuna demokrasia na uchaguzu ulikua wa huru na haki.

Sasa kwa maamuzi haya ya leo ambayo mahakama imegundua kasoro nyingi ambazo ziliufanya uchaguzi ule wa tarehe 8 Agost usiwe huru na haki,sijui lowaasa na chadema yote wataziweka wapi sura zao kwani hii ni habari mbaya kwao .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli kabisa huu ww ni mweupe mno kichwan, ulitaka chedema wapinge matokeo ya court Kama chama chako cha ccm kinavo vunja sheria za nchi,
Nikupoteza muda kubishana na wewe
 
Back
Top Bottom