Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,297
Hakuna kitu kibaya sana katika maisha ya binadamu kama kuwa VUGUVUGU. Ni bora mtu Uwe baridi au moto. WanaSiasa wanatupotezea muda wetu Watanzania.Nimeshangazwa na maandiko ya hawa ndgu zetu likiweko la Mtatiro. Mnachanganya sana, aliposhinda Kenyatta mlikuwa wa kwanza kupongeza wakati Nasa wanalalamika kuibiwa, tena mkasema Odinga hajaibiwa atulie, leo matokeo yametupiliwa mbali mmekuwa tena mle mle na kudai demokrasia imetumika hivi nyie mko upande gni? My take tukio la jana mi naliona kma lina +ve impact kwa upande wa ukawa ambayo inataka demokrasia ya ukweli na kule kuunga mkono kwa kwanza kubalini kuwa mlipotea..nawakilisha.