we need changes regardless wheather you are ccm or cdm member. Tanzania is regarded as one of the richest nation on earth in terms of natural resources but look at our pace of development when compared to other neughboring leave a lot to be desired.what is requred is completely overhaulong of the governance system of our beloved country."
Who is the clever people then? You? me or? Please advice so that we search for that person because i thinkd we need that person more than we have never needed anything before. Tanzania is sinking and yet people are discouraging others who are showing at least some effort to show us the way to go, even if they might have their personal agenda, but so far i will go for them rather than just seat and say "haiwezekani"
:sick:.
Ni chama cha wachaga aka majambazi.
Jeshi na polishi limesha wasoma CDM siku nyingi, CCM haitaleta vurugu Tanzania ni chama cha majambazi ndio kitaleta vurugu, je huoni hao viongozi wenu wanavyo ropoka kwenye mikutano? Narudia tena hiyo lugha yenu nyie viongozi wa CHAMA CHA MAJAMBAZI ndio inawapeleka kwenye virungu.
Kwa mwendo huu wa maandamano wala cdm hamtafika popote.
Swali: mkimaliza kufanya maandamano mikoa yote mtafanya nini ukizingatia ccm haitabadilisha msimamo wake wa kutowajibisha mafisadi. Kwa kuwa kuwawajibisha mafisadi sie wananchi wenye kusoma situation tumeishaona haitawezekana.
Fisadi anawajibishwa kwa kufilisiwa na siyo kufanya maandanao kama chadema. Na natumai ni Rais wa nchi tu ndio anaouwezo wa kuwafilisi hao mafisadi.
Hivyo chadema hizi ni mbio za sakafuni. Ni bora kama kweli mnaipenda tz mngeanza juhudi kuwasemea na kuwaanika kwa vidhibiti mafisadi na kufuatilia vijisenti wanavyoweka mabenki ya huko ulaya na america ili msaidie intel ya kushinikiza kuwafilisi vizuri.
Just to advice u.
And don't think you are the most clever pple to talk for this nation, no, you are just pple who have ambition to shout against CCM and doubtly not for the nation's benefit.
mnaambiwa muende shule mnang'ang'ania madrasa sasa hayo ndo matatizo yake
Wazo zuri sana! sasa umeongea kitu kwani mimi hupenda zaidi kusikia sababu kubwa ya kufanya mabadiliko mnayotahitaji. Lakini pia tukumbuke tu kwamba bungeni hawa watu hukaa sio zaidi ya siku 100 na pale ndipo wananchi wengi hutazama mwelekeo wa chama. Haya tazama JK ni mwenyekiti wa CCM na muda mwingi yuko nje ya nchi sijui labda niseme siku 236 kwa mwaka huwa nje ya nchi na hakika binafsi sikumbuki kabisa toka mwalimu Nyerere kuna mwenyekiti wa CCM ambaye aliongeza au kuongoza ufanisi wa chama hiki ktk ushindi au matokeo ya maagizo yake kwa wananchi, isipokuwa makatibu wakuu ndio wamekuwa chachu ya chama hiki.. Hizi ndio siasa za Bongo hivyo Dr.Slaa ktk nafasi alonayo akipambana na kina Makamba au kinana nadhani hapo kuna raha zaidi. Wananchi hawajali sana mwenyekiti isipokuwa wanachama wenyewe ndio wanajua yupi anaweza kuwashawishi kichama na ktk nafasi gani.
Binafsi niseme ukweli sikupenda Mbowe achukue kiti cha uongozi wa Upinzani bungeni zaidi ya yeye kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama kwani kaifanya kazi nzuri sana ndani ya chama. Bungeni kinachotakiwa ni safu wa wabishi kama kina Mkandara hapa maadam unalishwa data za kutosha kuweka pingamizi. Watu wasioogopa na wenye kiburi cha kuulizwa maswali magumu pamoja na kuwakilisha zaidi matakwa ya wananchi. Tukumbuke tu nguvu ya Chadema mwaka huu imetoka bungeni na Dr.Slaa kama msemaji mkubwa ndiye amekuwa kiungo kikubwa zaidi kwa wananchi kupata chachu ya Ufisadi na kadhalika. Sina uhakika kama Mbowe anaweza kuendeleza pale alipoachia Dr.Slaa, lakini nina hakika kwamba kumweka Dr.Slaa kama mwenyekiti kunaweza kuleta matatizo mengine ambayo hayana sababu kabisa kuyaendeleza. Na ukumbuke tu wananchi wanachotazama sio mabadiliko hayo kulingana na picha yako, wao wanayaona matatizo ya Chadema ktk sura mbili za Ukabila na Udini na ndicho pekee Chadema wanatakiwa kuondosha dhana hiyo (watu na Mazingira).
Zakumi,
Mkuu wangu nimepiga makelele sana hapa JF kuhusiana na ubaguzi wa aina yeyote ile lakini ndio kwanza nilikuwa nachochea vitu hivyo. Maadam sisi hatukuzaliwa kwa kupenda kuwa kabila gani basi nasi tusiwapitishe viongozi wetu kwa kufuata vigezo hivyo kwani wajinga wengi hataweza kuona tofauti. Mimi naweza kabisa kukubali Mbowe alikuwa na kila sifa ya kuwa mwenyekiti lakini ni wangapi wanaokubaliana nami?..Hivyo kuna wakati ili kuepuka lawama kama hizi unatakiwa kuchukua maamuzi mazito ambayo hukutaka kuyafanya..
Amini maneno yangu kwamba Chadema ilipofikia leo haihitaji kuendlelea kufikiri kisomi zaidi ktk nchi ya wajinga.. kuna wakati mwingine inabidi nawe uwe mjinga ili upate ku mingle na society unayoiongoza, ukitumia elimu na exposure yako sana mahala hapastahili utaitwa mwizi tu.
mnaambiwa muende shule mnang'ang'ania madrasa sasa hayo ndo matatizo yake
Zitto, Azimio la Arusha is our blue print as Taifa. Tatizo ni kila mtu kuonanisha kushindwa kwetu kujiendesha na hata kukimbilia soko huru kama ndio kigezo ch aAzimio kuwa baya.
Mimi narudi kwenye kule kuwapa Watanzania nguvu na msukumo wa kuwa ni watu wanaojitegemea. Hata tukizungumzia Ujamaa, si ule wa mantiki ya kikomunisti au jinsi CCM walivyofanya. Ama kuna mengi ya kuhakikisha viongozi hawawi tabaka la pekee na kinyonyaji jinsi CCM ilivyo.
Dr. Slaa was a popular figure just after Uchaguzi, Lwakatare is a technocrat who could spend time to carry over party responsibility.
My suggestions were based on freeing all the elected Chadema MPs who happen to be party leadership from the party day to day running and focus more into Serikali as Serikali kivuli.
Mimi nakubaliana na wewe kimsingi on Azimio la Arusha. Lakini haiwezekani tukachukua azimio kama lilivyo. Kuna mambo mengi ya kusahihisha kwa mfano haiwezekani 'all major means of production by state'! Inaweza kuwa all strategic major means na tukadefine hizo kama umeme, reli, bandari etc.
Nikilisoma azimio nakubaliana na code of ethics for leaders na Misingi ya 'kila mtu anastahili heshima, na ule wa binadamu wote ni sawa. Ule wa Ujamaa na kujitegemea ndio njia 'PEKEE' ya kujenga jamii sikubali. Tuboreshe kuwa ujamaa na kujitegemea ni njia bora ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru. Azimio sasa ni kama myth! Maana hata waliokuwa wanalipinga ie petty bourgousie sasa wanalizungumzia. Nadhani Azimio kwa maana ya leadership code (ambayo nchi zote za kibepari zinayo code wakiita 'conflict of interest code') tuichukue.
On kutofautisha kazi za chama na za kibunge naona sense. Kitila pia amekuwa akilisemea hili sana kwenye vikao vya chama. Kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa ya muundo wetu ili kuwa tofauti na CCM. Mfano wakati tunapinga Spika kuingia kwenye vikao vya CC ya CCM, katiba yetu inasema Spika anayetokana na CHADEMA atakuwa mjumbe wa CC! Tumeanza mchakato wa kuangalia upya katiba yetu na hili wazo lako tutaliangalia kwa kina.
Tunatumiaje Azimio CHADEMA Rev? We are a centre right party in the family of Concervative party of UK and Canada, the Republican party, CDU of germany etc.
Sijaelewa reforms unazopendekeza are informed with what? Unaposema Lwakatare awe Katibu Mkuu unazingatia nini? Unaposema Slaa awe mwenyekiti una maanisha nini pamoja na majukumu uliyoweka.
Mbowe afanye kazi gani? Zitto? Halafu Lwakatare akiwa mbunge tutafute KM mwingine? Can you suggest reforms without names?
Rev. Kishoka ume andika mambo mengi ya ushauri kwa CDM kutokana na mtazamo wako lakini sio utafiti/research na omba ni toe angalizo chama hiki kime pitia uongozi wa Mzee Mtei, Mzee Bob Makani na sasa Mbowe unaweza uka angalia ni wkatigani chama hiki kimeonekana na mtazamo wakitaifa zaidi na kuku balika kwa watu wengi zaidi.Hivyo kusema mbowe hafai kuwa mwenyekiti wa chama hiki eti hana mvuto nisigefurahi kabisa kuona zina rudiwa rudiwa na wana jamvi.Tatizo sio mbowe na wala sio chadema na wala sio upinzani tujaribu kuwa scientific na realistic ni kitu gani ambacho mbowe kafanya hadi umeona anakiangusha chama,hakika huna jambo lolote la msingi juu ya hilo na unatoa ushauri kabisa kwamba aondoke madarakani ampishe Dr. Slaa kwa uchaguzi upi? Kumbuka hiki nichama cha demokrasia kama kinavyo jipambanua.Acheni kabisa kutoa ushauri usio nautafiti kabisa kwani huu ni upotoshaji.
Unasema CDM iungane na vyama vingine kama CUF hivi nikweli unashauri kwania njema au una mpango gani Mchungaji,hawa CUF mkono wakulia ni CCM mkono wa kushoto ni wapinzani labda Mchungaji ndoa ya CCM na CUF huitambui, vyama vya namna hii huwezi kushirikiana kwasababu hawa eleweki na mtazamo wao hautabiliki.
Hawa wengine kama TLP unajua kabisa ni matawi ya CCM, mwenyekiti wake msimamo wake umesha onekana kweli CDM tunahitaji kufanya kazi na vyama vya namana hii,NCCR mageuzi nao ni wale wale kutwa wako mahakamani na vitisho kwa CDM hivi tuungane tunavyo taka kufanya nini hapo sija kuelewa.au mchungaji unataka vyama viungane halafu viitwe vimeungana kwa hiyo vina umoja, huo umoja kwa ajili ya kufanya nini? mara ngapi CDM haijaweka mgombe uraisi na kime waunga mkono hao unaotaka leo wa ungane nao nini kimetokea baada ya hapo? majibu utakuwa nayo mchungaji
Mchungaji una shauri chama kiwe na mshina toka kijijini hadi mkoani hivyo umeona kama hiyo ndio njia pekee yakuondoa ufisadi katika nchi hii? umefanya utafiti liability ya kumaintain huo mfumo?au una shauri bila kuwa na scietific research! Unafikiri kuondoa ufisadi nchi hii ina hitaji chama chenye wanachama wangapi? jaribuni kuwa logical jamani CCM ina wanachama wangapi naime pata kura ngapi pamoja na uporaji wa waziwazi ulio fanyika na tume au huelewi kilicho tokea?
Angalieni mnapo toa ushauri base yenu nini hasa!acheni kupotosha uma Please! huna utafiti unatoa ushauri wakubadirisha uongozi wa CDM baada yakuona nini eti kiongozi hana mvuto samahani mchungaji naomba nikukosoe mvuto hapo hapo anatafutwa mchumba hapo? tunahitaji uwezo wakuleta mabadiliko maisha yetu yawe safi.Nyie hamueleweki kwakuangalia sura ndio mnasema kiongozi mzuri mwaka 2005 wengine walisema eti mgombea wa chama fulani nichaguo la mungu leo wako wapi uliza kama wanajibu au watarudia tena kauli zile.
Nakataa kabisa ushauri wako