zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Atajipigia kura siyo? Maana CDM hakuna uchakachuaji kama Mabwepande yako Zomba
Hapo ndipo tutapojuwa, Jee, chadema kuna demokrasia au kuna domokrasia.
Atajipigia kura siyo? Maana CDM hakuna uchakachuaji kama Mabwepande yako Zomba
Argumentum Domain itawasababishia vidonda vya tumbo mwaka huu, USHAURI WA BURE, KWA MWANACHAMA YEYOTE MWENYE UCHUNGU NA CHAMA ANDIKA BARUA KWA KATIBU MKUU UKIWASHITAKI HAWA VIJANA. NA UTOE MAPENDEKEZO WAFUKUZWE.
Mwache dadang(komandoo Josehine) aonje kidogo pale magogoni mbona vijana mnatibua, nasi tunahitaji vingola vya kila mara Bukoba. Bahati nzuri Nyerere hakusema 1st lady hasitoke Bk. Kama mliamini katika lingine ambalo nalo ni nadharia sisi ni wajanja kuliko nyie tutatumia nyingine na wapiga debe ni nyie mnaoamini katika nadharia nyingine.
wewe fallla tu kwani umeshindwa siasa mnaanza kuleta ujuha wenu na ninashangaa hivi kwanini chama hakiwachukulii hatua mazombi kama wewe na wakina Ben......
Mwampamba(Ganzi) huyuhuyu ninaemfaham mie?? Hizo guts katoa wapi?? Pigs will fly f what u r saying is the truth!!Mwampamba amemwambia josephine kwamba Firstlady lazima atoke Mbozi ambae ni Juliana shonza kwa hio kunamgogoro mkubwa sana kati ya mwampamba na dk slaa.juliana anahusishwa na zitto.
Na Mwenyekiti wako dhaifu humuoni?Diwani wa sinza kupitia chadema Simple Pamba, sioni anachofanya naona anakula tu good time!
mkuu Zitto ni maji marefu that why nimeamua kutoa list hiyo hapo juu kama chama na hao kinawachukuliaje? Kwani kila mmoja hapo juu ana profile chafu ndani ya chama mpaka wengne huwa wanasema hao ni mapandikizi.
Baada ya CHADEMA kuchukua maamuzi magumu ktk kuwaondoa vigeugeu ndani ya chama tumeshuhudia chama kikifanya maamuzi magumu ktk kuondoa magugu ndani ya chama mfano wale madiwani 5 wa Arusha, na baada ya hapo ni Ibarhim chagulani na Henry matata.
Kiundani ukifatilia utaona idiologies za Chagulani pamoja na hao madiwani waliofukuzwa zote zinaendana ikiwa na UNAFIKI.
Swali langu je CHADEMA kitawaweza hawa vijana ambao nao kwa kila mmoja ana shutuma na tabia hizo hizo ambazo zimewaponza wakina chagulani.... Vijana hao ni
1: Benard Saanane
2: Juliana shonza
3:Mtela mwampamba
pia wapo wengi na baba yao Shibuda.
Tutegemee maamuzi gani?
Zitto vipi? au lile ni fupa lililomshinda fisi?