CHADEMA mtafakari kauli zenu

CHADEMA mtafakari kauli zenu

Jibu maswali yafuatayo,kwanini askari police wanaolinda na bunduki smg kwenye zile block zote Siku hiyo wote hawakuwepo?na kwanini baada ya tukio CCTV Camera kwenye block zote ziling'olewa?na kwanini askari walifika kwenye eneo LA tukio Masaa matatu baada ya tukio ilhali walipata taarifa dk chache baada ya tukio,na kwanini hawakumuohoji wala kuonyesha kumuhitaji dereva wa Lisu Masaa yote aliyokuwepo Hospital Dodoma mpaka alpoenda Nairobi?Na je Mbona hawakuomba kibali kwa serikali ya Kenya ili wakamuhoji Lisu na dereva wake kama sheria ya kimataifa inavyowataka?
Ngoja kihiyo wangu Retired akujibu
 
Kukata mzizi wa fitna ni uchunguzi huru ambao serikali inauogopa kama ukoma,trying to deceive people with hoax blah blah won't work this time around. Kwa maoni yangu kama ni inside job serikali ingeshawaleta wachunguzi huru ili wahusika waumbuke. The guilty are always afraid so the saying goes.
Kama umeoa unategemea majirani wakuamulie jua wewe ni nung’aembe tu! Polisi wetu wanatosha afterall who is TL
 
Lisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Nyie kushindwa interview za kiingereza kosa si la Lissu!!! Wala chuki kwa anaekuzidi uwezo hakukufanyi kulingana naye!!
 
I think everyone in TZ, except himself TL, is a suspect! The only intelligent solution is to keep our fingers crossed! Greetings to my beloved toddler Retired
Keep your fingers crossed whilst no investigations whatsoever going on then what??
 
An extremely poor interpretation as well a weird application of the intended scripture. They are both out of context and totally unbiblical.
Yeah! always ilogical when used against you,but logical when favouring your course. That is typically like you.
 
Hoja hapa siyo kuwajua washambuliaji jibu hoja kuhusu CCTV camera zilipelekwa wapi baada ya tukio? na je walinzi wa maeneo hayo walienda wapi siku ya tukio?. Kama hawakuwepo bila kuambiwa kwanini waendelee kuwa uraiani hao polisi / walinzi ? Kwanini isionekane kwamba wao ndiyo waliokula njama?
Kwa kuzingatia mahali popote penye ulinzi ukitokea uhalifu wa kwanza kukamatwa na kuhojiwa ni walinzi,rejea baada ya yule major general kushambuliwa kwa risasi nyumbani kwake wa kwanza kukamatwa alikua mlinzi wake na yule teller aliyemuudumia Bank,kwahiyo hawa wanaoitetea serikali kuhusika kwake wanajua sema wanajitoa ufahamu
 
Wewe ndo kasuku wa kihindi..maana akili zako zimeshikiliwa lumumba..umebaki kama drone inayoendeshwa kwa computer mahali flani..nina imani bila chenga kichwa chako kina chip implant sio ubongo wako huu..human being hawezi kuwa na mawazo haya ya kwako hata siku moja!
Huyu jamaa nadhani akili hata Lumumba hazipo hili empty box
 
Kwanini camera ya CCTV iliondolewa pale jirani na tukio lilipotokea? Wauaji wanajulikana, tusipotezeane muda. Mkono wa chuma haujawahi kuleta utangamano kwenye nchi yoyote katika dunia hii.
Wewe ulishaiona hiyo CCTV camera au umesikia tu na kukariri!?? Je unajuaje kama wale wauaji walianza kuitoa hiyo camera then kikafuata hicho kitendo?? Msiwe washabiki wa upepo bila fact
 
Kukata mzizi wa fitna ni uchunguzi huru ambao serikali inauogopa kama ukoma,trying to deceive people with hoax blah blah won't work this time around. Kwa maoni yangu kama ni inside job serikali ingeshawaleta wachunguzi huru ili wahusika waumbuke. The guilty are always afraid so the saying goes.
Hili hawawezi kukubali kwasababu wataumbuka wanajua walichokifanya
 
Back
Top Bottom