kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
- Thread starter
- #41
Toa boriti kwenye jicho lako kwanza!Toba ni kitu muhimu sana
Toa boriti kwenye jicho lako kwanza!Toba ni kitu muhimu sana
Tundu lissu kakata tamaa, mbaya zaidi ujuaji wa kina Mbowe ndo ulioharibu utaratibu wote wa mwanzo wa Namna wabunge huhudumiwa na serikali, wakomae nae tu, unakumbukuka kina Lema walisema watauza figo hata ikibidi?Tumesikia viongozi wa CHADEMA wakilalamika tangu kiongozi wa chama chao alipopigwa risasi hakuna mtu yeyote mpaka leo hii aliekamatwa na polisi kuhusiana na tukio hilo la shambulizi.
Hapa kidogo inatia ukakasi, polisi wanafanya kazi yao kwa weledi mkubwa hawawezi kujikamatia tu mtu yeyote, wangefanya hivyo CHADEMA mngekua wa kwanza kusema wanakamatwa watu wasio na hatia, wa pili ingekua ile taasisi ya kutetea haki za CHADEMA Tanzania inayoongozwa na mwanamke
polisi waliona suala limegubikwa na siasa.
Polisi walitaka kwenda Nairobi mheshimiwa akapaza sauti polisi wa Tanzania hawana uwezo wa kwenda kumuhoji Nairobi Hospitali,
leo hii ni ajabu unaposema dereva anasumbuliwa
nae pia anatakiwa kuhojiwa inashangaza unapotaka wengine wakamatwe lakini dereva hutaki nae aah hapa kidogo mjitafakari na hii siasa mbaya.
Nheshimiwa unaposema Muhimbili kuna huduma mbovu na usimamizi mbovu hapa unaendelea kujaza siasa wakati tulimuona mwenyekiti wenu wa kanda ya Pwani alilazwa pale na akasifia
masuala yako na bunge.
Wewe pambana nao kimya kimya kudai haki yako kwanza mlisema hamtaki kikao na viongozi wa bunge kikao kiliitishwa Karimjee na Mbatia akahudhuria kwa kua mlikua bado mna hasira muafaka haukufikiwa leo hii nini sasa mnalia na serikali.!
Wewe ni mpuuzi na limbukeni tu.






Ndege ikianguka na kiboksi cheusi nacho kinapoteza kumbukumbu?! Fikiri kw kutumia akili.Kwanini camera ya CCTV iliondolewa pale jirani na tukio lilipotokea? Wauaji wanajulikana, tusipotezeane muda. Mkono wa chuma haujawahi kuleta utangamano kwenye nchi yoyote katika dunia hii.
Na malipo ni hapahapa Duniani.
Mungu atalipa tu,tena kwa adhabu Kali.
Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana.
Responsively militant; how?...Mbona unakua responsively millitant namna hii?..
Responsively militant; how?
Ha ha ha, fanya utakalo. Hainisumbui.Ukishaanza kuona mtu anaanza na mambo ya "how",huyo ni wa kuweka kwenye Ignore List!
Done!
Makaburu walitawala miaka 124imetawala miaka 50 kusingebaki mtu tafuteni jengine!
Halafu dereva wamemtelekeza Nairobi.Imeshakua sasa dereva anasumbuliwa!
Shahidi wa kwanza ni dereva yuko wapi si mliamua kukimbiza ushahidi nje mtafuteni kwanza yeye aongee na wanahabari wenu hao aseme yalikuwajeUnaposema haliwezi kujikamatia tu mtu yeyote unamaanisha nini?
Yani wafanye uchunguzi halafu wajikamatie mtu yeyote? Nini maana ya uchunguzi?
Hiyo kamera ilikuwa ya nani? Je ilikuwa nyumbani kwa lisu? Na una uhakika gani kama ilikuwa camera au dome camera.Kwanini camera ya CCTV iliondolewa pale jirani na tukio lilipotokea? Wauaji wanajulikana, tusipotezeane muda. Mkono wa chuma haujawahi kuleta utangamano kwenye nchi yoyote katika dunia hii.
Indeed 100%Nitakuwa wa mwisho kuamini mkono wa Serikali katika suala hili la TL na kama vyombo vya Serikali vilihusika why risasi 30 na isiwe moja! Hii ni inside job ndo maana CDM wanamficha
Kwanza nikutakie heri ya mwaka mpya mdogo wangu tindo,hivi bado unaliamini hili genge la wapenda pesa hapa hakuna propaganda ila kuna kukumbushana tu!
shirikisha ubongo ndugu ...serikali haija mpa mafunzo mtu miaka jinsi ya kushika bunduki na kutumia halafu huyo mtu akaenda kutumia risasi zaidi 30 kwa mtu aliye mbele ya macho yake amka ndugu kesi hii ipo wazi sana ndio maana chadema walikimbiza ushahidi wote nchi jirani. Subiri huyo mgonjwa apate akili zake timamu za kulitafakari hili jambo lote ndio atajua kikulacho kinguoni mwake.LISSU hajafa plani zenyu zimebuma na hamkuwa na plan b
Sasa subirini kibano demokrasi naona imewashinda
Mnategemea
Marisasi yooote mliyommiminia mungu kasema LISSU HAFIIIII NG'OOOOOOO
Shwainn
Na bado wanatawala!Makaburu walitawala miaka 124
Tuliaminishwa anatibiwa saikoloji lakini baada ya yale mapicha ya selfie na kina lowassa watambuzi tulianza kupata mashaka!Halafu dereva wamemtelekeza Nairobi.
Tumesikia viongozi wa CHADEMA wakilalamika tangu kiongozi wa chama chao alipopigwa risasi hakuna mtu yeyote mpaka leo hii aliekamatwa na polisi kuhusiana na tukio hilo la shambulizi.
Hapa kidogo inatia ukakasi, polisi wanafanya kazi yao kwa weledi mkubwa hawawezi kujikamatia tu mtu yeyote, wangefanya hivyo CHADEMA mngekua wa kwanza kusema wanakamatwa watu wasio na hatia, wa pili ingekua ile taasisi ya kutetea haki za CHADEMA Tanzania inayoongozwa na mwanamke polisi waliona suala limegubikwa na siasa.
Polisi walitaka kwenda Nairobi mheshimiwa akapaza sauti polisi wa Tanzania hawana uwezo wa kwenda kumuhoji Nairobi Hospitali, leo hii ni ajabu unaposema dereva anasumbuliwa nae pia anatakiwa kuhojiwa inashangaza unapotaka wengine wakamatwe lakini dereva hutaki nae aah hapa kidogo mjitafakari na hii siasa mbaya.
Mheshimiwa unaposema Muhimbili kuna huduma mbovu na usimamizi mbovu hapa unaendelea kujaza siasa wakati tulimuona mwenyekiti wenu wa kanda ya Pwani alilazwa pale na akasifia masuala yako na bunge.
Wewe pambana nao kimya kimya kudai haki yako kwanza mlisema hamtaki kikao na viongozi wa bunge kikao kiliitishwa Karimjee na Mbatia akahudhuria kwakuwa mlikua bado mna hasira muafaka haukufikiwa leo hii nini sasa mnalia na serikali.!