CHADEMA mtafakari kauli zenu

CHADEMA mtafakari kauli zenu

Wewe ulishaiona hiyo CCTV camera au umesikia tu na kukariri!?? Je unajuaje kama wale wauaji walianza kuitoa hiyo camera then kikafuata hicho kitendo?? Msiwe washabiki wa upepo bila fact
Unapajua nyumbani kwa Lisu kuliko Lisu mwenyewe?we kweli ni ndezi
 
Povu la nini wakati kichwani ni zaidi ya kihiyo
Kihiyo ni mama yako maana alikuwa mwalimu wangu, lawama ni za mama yako, my teacher, primary school teacher! hakunifundisha maana naye alikuwa kihiyo. Mwalimu wangu kabisa
 
I think everyone in TZ, except himself TL, is a suspect! The only intelligent solution is to keep our fingers crossed! Greetings to my beloved toddler Retired
Toddler ni mama yako ambaye hakunifunza adabu nzuri maana alinilea yeye
 
Tumesikia viongozi wa CHADEMA wakilalamika tangu kiongozi wa chama chao alipopigwa risasi hakuna mtu yeyote mpaka leo hii aliekamatwa na polisi kuhusiana na tukio hilo la shambulizi.

Hapa kidogo inatia ukakasi, polisi wanafanya kazi yao kwa weledi mkubwa hawawezi kujikamatia tu mtu yeyote, wangefanya hivyo CHADEMA mngekua wa kwanza kusema wanakamatwa watu wasio na hatia, wa pili ingekua ile taasisi ya kutetea haki za CHADEMA Tanzania inayoongozwa na mwanamke polisi waliona suala limegubikwa na siasa.

Polisi walitaka kwenda Nairobi mheshimiwa akapaza sauti polisi wa Tanzania hawana uwezo wa kwenda kumuhoji Nairobi Hospitali, leo hii ni ajabu unaposema dereva anasumbuliwa nae pia anatakiwa kuhojiwa inashangaza unapotaka wengine wakamatwe lakini dereva hutaki nae aah hapa kidogo mjitafakari na hii siasa mbaya.

Mheshimiwa unaposema Muhimbili kuna huduma mbovu na usimamizi mbovu hapa unaendelea kujaza siasa wakati tulimuona mwenyekiti wenu wa kanda ya Pwani alilazwa pale na akasifia masuala yako na bunge.

Wewe pambana nao kimya kimya kudai haki yako kwanza mlisema hamtaki kikao na viongozi wa bunge kikao kiliitishwa Karimjee na Mbatia akahudhuria kwakuwa mlikua bado mna hasira muafaka haukufikiwa leo hii nini sasa mnalia na serikali.!
Je, ni lazima polisi wamwambie Lissu na CHADEMA, kwa ujumla, hatua iliyofikiwa katika suala hili la kupigwa risasi 36/38/40/16/8/7?
 
Wewe ndo kasuku wa kihindi..maana akili zako zimeshikiliwa lumumba..umebaki kama drone inayoendeshwa kwa computer mahali flani..nina imani bila chenga kichwa chako kina chip implant sio ubongo wako huu..human being hawezi kuwa na mawazo haya ya kwako hata siku moja!
Jikite kwenye hoja sio kumshambulia mleta hoja!
 
Lisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Africa highlights: Tanzania MP shooting an 'assassination bid', mercy for twin-selling mother
Kama hili hulijui bsi jua sasa. Athari zake ni kubwa kwa taifa lililokuwa linaheshimika duniani kwa amani na demokrasia
 
Hapana hapana siyo sawa kabisa tofauti yakimtazamo ikufanye umpoteze binadamu mwenzako, ivi kuna umuhimu gani wa mtu mzima na minguvu yake kumnyoga mtoto kisa kazomewa! Kiongozi siyo mtu wakulinda hadhi yake kwa wakosoaji wake kwa kumwaga damu...Yeye tiyari ni Raisi asimamie anayoyaamini akunjue moyo awe tiyari kuyapokea yote, aongoze nchi yetu kwa amani itokayo mioyoni asiwapake mikono damu wana wa ardhi hii kwa kulinda hadhi...km kweli yeye anaona inafaa kumwaga damu basi aamuru aletewe wakosoaji wake sirini na kwa mikono yake awamiminie risasi wakosoaji wake, vinginevyo unawapaka mikono damu wasiohusika kwa kuwalisha sumu ya #uzalendo_uchwara
 
Unaposema haliwezi kujikamatia tu mtu yeyote unamaanisha nini?

Yani wafanye uchunguzi halafu wajikamatie mtu yeyote? Nini maana ya uchunguzi?

Anamaanisha wanapotaka kumkamata dereva kutokana na uchunguzi wasizuie au kuleta vikwazo halafu walalamike eti hakamatwi mtu
 
Yeah! always ilogical when used against you,but logical when favouring your course. That is typically like you.
There will never be a reason that can justify the wrong use of scriptures, It does not matter if the application is in my favour or not. Both misinterpretation and misapplication of scriptures are wrong regardless of whom is being favoured, hata kaa ni mimi.
 
Back
Top Bottom