kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
- Thread starter
- #81
Maoni yako yamepokelewa!Hujajibu swali unajamba jamba tu
Maoni yako yamepokelewa!Hujajibu swali unajamba jamba tu
Umejuaje. Uliwahi kumuuliza?Hawezi kuingia maana hana mtoto asiyetumia ubongo kufikiri..
Mbona BBC na CNN wameripoti au kwakua Kidhungu mlipishana nacho njianiLisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Endelea kulala siku ukiamka ndio utaujua ukweli.Tulimkimbiza nje? Mimi na nani? Hivi unajua nyie vijana ni wajinga sana.
Shahidi wa kwanza ni dereva kwa minajili ipi? Au umesikia wajinga wenzako wakisema hivyo na wewe unabeba tu bila kuchanganua?
Ingekuwa vipi kama dereva na lissu wangekufa? Wauwaji wasingepatikana kwakuwa watu wa kutoa ushahidi wamekufa?
Hivi wewe hicho kichwa chako kipo sawa?
Vituo viwili tu?Mbona BBC na CNN wameripoti au kwakua Kidhungu mlipishana nacho njiani
mkuu usiwe kama kasuku wa kihindi anaekariri maneno!Yani kama kuna mtu anabisha kuwa sirikali haijahusikaa kwenye hili suala bhasi utakua na mtindio wa Ubongooo....!! Kumkosa mtu risasi zote zile sio kwamba eti yule mdunguaji hakuwa na mafunzo ilaa ni mpango wa Mungu tu Lissu asifee... Na yulee jama sijui ka atakua hai maana atakua amebeba siri nzito sanaa aisee... Mwisho wa siku tumuombee tu lissu aponee maana haya mengine ni Ubatilu mtupu..
Jibu maswali yafuatayo,kwanini askari police wanaolinda na bunduki smg kwenye zile block zote Siku hiyo wote hawakuwepo?na kwanini baada ya tukio CCTV Camera kwenye block zote ziling'olewa?na kwanini askari walifika kwenye eneo LA tukio Masaa matatu baada ya tukio ilhali walipata taarifa dk chache baada ya tukio,na kwanini hawakumuohoji wala kuonyesha kumuhitaji dereva wa Lisu Masaa yote aliyokuwepo Hospital Dodoma mpaka alpoenda Nairobi?Na je Mbona hawakuomba kibali kwa serikali ya Kenya ili wakamuhoji Lisu na dereva wake kama sheria ya kimataifa inavyowataka?Nitakuwa wa mwisho kuamini mkono wa Serikali katika suala hili la TL na kama vyombo vya Serikali vilihusika why risasi 30 na isiwe moja! Hii ni inside job ndo maana CDM wanamficha
Nimekutajia hvyo viwili vikubwa Duniani,ambavyo Habari zake zinaangaliwa Duniani nzima vya East Afrika ni dhahir ilikua ni lazima watangazeVituo viwili tu?
Dreva wa Lissu anawafahamu mrudisheni awataje ili polisi waendelee na upeleleziYaani hujaona tu mtu aliyehusika na shambulio hilo la kisiasa dhidi ya Lissu??
Mbunge Tundu Lissu ameminiwa risasi zaidi ya 30 kwenye makazi ya viongozi wa kitaifa zaidi ya miezi 4 iliyopita.
Hadi Leo hii hajakamatwa hata mshukiwa mmoja!
Kwenye hayo makazi, kuna kawaida ya kuwa na walinzi.
Siku hiyo ya kupigwa risasi Tundu Lissu, walinzi "waliondolewa" pale getini!
Kamera za CCTV zilizoko kwenye makazi hayo ya wakubwa zilinyofolewa!
[HASHTAG]#Pombe[/HASHTAG] Atubu
Mpango wa kuzimu uliteketezwa na Damu ya YesuKumbe Lisu ameuawa?
Waachie kazi wapelelezi ndiyo wanajua kazi ya uchunguzi wewe fanyakazi inayokuhusu!!Jibu maswali yafuatayo,kwanini askari police wanaolinda na bunduki smg kwenye zile block zote Siku hiyo wote hawakuwepo?na kwanini baada ya tukio CCTV Camera kwenye block zote ziling'olewa?na kwanini askari walifika kwenye eneo LA tukio Masaa matatu baada ya tukio ilhali walipata taarifa dk chache baada ya tukio,na kwanini hawakumuohoji wala kuonyesha kumuhitaji dereva wa Lisu Masaa yote aliyokuwepo Hospital Dodoma mpaka alpoenda Nairobi?Na je Mbona hawakuomba kibali kwa serikali ya Kenya ili wakamuhoji Lisu na dereva wake kama sheria ya kimataifa inavyowataka?
An extremely poor interpretation as well a weird application of the intended scripture. They are both out of context and totally unbiblical.Mkuu unahangaika nini na hao watoto wa Hajiri mjakazi wa Sara!hata uwape nini hawataridhika,wanachohitaji ni agano na Mungu sasa hiyo siyo kazi yetu,kama agano limefanyika kwa Isaka sisi tufanyeje sasa.
HV zile Noah zilishakuja?Tundu lissu kakata tamaa, mbaya zaidi ujuaji wa kina Mbowe ndo ulioharibu utaratibu wote wa mwanzo wa Namna wabunge huhudumiwa na serikali, wakomae nae tu, unakumbukuka kina Lema walisema watauza figo hata ikibidi?
Nakubaliana na wewe chadema wawe na umakini na kauri zao, Kila kitu ni recorded
Ukasuku upo wapi hapoo!??? Wew ndo tumbili unabishaa kwa mihemkoo na uchamaa...mkuu usiwe kama kasuku wa kihindi anaekariri maneno!
Huo ni upepo tu, utapita.Nimekutajia hvyo viwili vikubwa Duniani,ambavyo Habari zake zinaangaliwa Duniani nzima vya East Afrika ni dhahir ilikua ni lazima watangaze
Yani utaalamu wenu woote wa upelelezi kimataifa na uwezo wenu woote wa kufikiri,umeishia kwa dereva wa Lisu?Kweli Albadir haijawahi kumuacha MTU salamaShahidi wa kwanza ni dereva yuko wapi si mliamua kukimbiza ushahidi nje mtafuteni kwanza yeye aongee na wanahabari wenu hao aseme yalikuwaje
Usiniletee imani za kishirikina.Mpango wa kuzimu uliteketezwa na Damu ya Yesu
Block zote zile zina CCTV Camera ila baada ya tukio ziling'olewa zoteHiyo kamera ilikuwa ya nani? Je ilikuwa nyumbani kwa lisu? Na una uhakika gani kama ilikuwa camera au dome camera.