kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
- Thread starter
- #61
Najaribu kuwakumbusha wanalia na jambo lile lile kila siku lakini ushirikiano hamtaki jumuiya ya kimataifa pia inawapuuza!Ooh kumbe hatujapeana heri ya mwqka boss. Heri na kwako. Sio kwamba nawaamini tu cha cdm, bali kwangu ndio chama makini ukiachia mapungufu ya hapa na pale ya viongozi wake kama wanadamu. Ni hivi hapa ulkuwa unajaribu kutetea uovu kwa kufunika na lawama ulizowatupia cdm.