CHADEMA msijipe moyo, Chama chenu kitasambaratika kabla ya 2015

CDM haifiki 2015

Mmethubutu usanii mmeuweza na sasa mnasonga mbele!!!! Gamba limewashinda kulivua sasa mnaendeleza usanii.


peace.gif
peace.gif
peace.gif
 
Kuna watu hapa vichwa vya vimejaa pamba badla ya akili. Sasa uktaka amini hutaki acha. Mi ni mtu wa karbu sana na mtu wa juu wa cdm. Kuna mbunge mmoja kijana atapata tumuma nzito ktk chama ambapo kutazuka mjadala mkubwa wengine wakitaka apigwe chini wengine wakimkingia kifua. CDM itagawanyika mpande mawili na kupoteza uelekeo..Haya wababa na wamama.
 
soma maneno hayo hapo chini kama unajuwa kiingerza kama hujui acha kuwaza kwa kutumia sehemu ya kutolea uchafu chini ya mgongo
 
Kuna uwezekano wa CDM kufa kabla ya 2015 ingawa hakuna mwenye akili timamu atakayependa hilo litokee including watu wenye akili wa CCM.
Ikiwa CDM itapotea kabla ya 2015 kitakachotokea si Al Shabab bali Al Shababa.
ndio maana wenye akili hawakutaka CUF ife Zanzibar ingawa walikuwa na uwezo wa kutia fitina na kukisambaratisha lakini waliiona ukiwaondoa hawa angalau mnaoweza kukaa na kuzungumza ina maana unawakaribisha wasiozungumza bali watu wa vitendo.
 
kila itakavyokuwa CDM ndio inazidi kupanda kitaifa, Ccm imeshafika katika ukuta. Na Kikwete amalizi kipindi cha pili cha Utawala wake.Yeye ni mtu ambaye anazo sababu zote zitakazomfanya kuachia madaraka ya Urais kabla ya mwaka 2015.
 
Hawa Jamaa Sasa wamekosa sera, wanaanza kujaribu kubadilisha mwelekeo wa siasa kwakusema CDM Haitofika 2015,
Kumbukeni kuwa watanzania wa Sasa sio wajinga, maana tuliona miaka ya nyuma watu wengi walikuwa wakifuata mkumbo kwasababu ya elimu duni, ila Sasa watu wameelimika sana wakiamua kusema Hapana wanamaanisha kweli, Jiulizeni wana CCM yakuwa mna ushawishi kiasigani kwa wananchi, nyakati hizi za science na technology? Zama za ukweli na uwazi? Kila mtu anaona kuwa hapa anatendewa hali na anapodhulumiwa anajua ni nani kamdhulumu? Mambomengi yana wakandamiza wapigakura kwamfano, hakuna Ajira zakutosha, uchumi wa nchi unayumba kila kukicha, Miundombinu mibovu, MAFISADI WANAZIDI KUKUMBATIWA, MAAIKINI WANAZIDI KUWA MASIKINI, Namambo mengine mengi ambayo ata tukitumia mwezi hayataisha kwakuyataja...Sasa Wewe mtoa mada unadhani kuiuwa cdm ni jambo lelemama? Watu tutakufa ila chama hakitakufa milele, sahau juga kwa CDM maana kilasiku tunakuwa, na wananchi wamechoka kudanganywa na t-shirt, Kanga, Kofia, na pesa, Sasa wakotayari kufa masikini ili kusaidia vizazi vijavyo, IYO 2015 usikimbie Imus maana ninajua ndio mwisho wenu CCM!
 
CDM haifiki 2015

Uchambuzi wa kitoto na fikra za kijinga za watu kama huyu ndio tunazitegemea kuleta mabadiliko kwenye jamii yetu...Hivi kwa akili ya kawaida kabisa mtu anakwambia CDM haifiki 2015 bila kukupa misingi ya hoja yake utamuita jina gani mtu kama huyu? Tunahitaji watu wanaofikiria na sio kuja na hoja uharo hapa JF bila kutoa wapi hoja yako imesimama...kweli inaweza ikatokea hivyo kwa chama chochote na sio CDM tu hata hao majambazi CCM...Lakini unapokuja na hoja nzito kama hii mbele ya watu wanaofikiri kwa mapana yake unapaswa kuwa na utetezi wa kutosha kwa hoja yako...vinginevyo itakuwa ni porojo kama za akina Mzee Yusuph na Khadija Koppa....Jifunze namna ya kuandika hoja nzito wewe mtu,acha kuhara hapa JF...
 
Ukitokea hapa

Rejao mawazo yako yanafanana na hiyo avatar yako....jaribu kuwa mtu mzima,utoto unaofanya ni aibu kwa mke wako na watoto wako...wana baba anayefanya mambo ya aibu mbele ya jamii...
 

Rejao mawazo yako yanafanana na hiyo avatar yako....jaribu kuwa mtu mzima,utoto unaofanya ni aibu kwa mke wako na watoto wako...wana baba anayefanya mambo ya aibu mbele ya jamii...
Usipende kuwa serious kwenye mambo ambayo siyo serious.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom